mimi siamini kipodozi chochote hapa bongo
ndo maana natengeneza mafuta yangu ya nazi kila week najipaka
unakuta mtu kachanika sijui michirizi utadhani nyoka mjane wa miaka mia
bora nionekane mshamba
natamani kuongeza chura wangu kidogo maana huku mjini msingi chura ila nitafanya tu mazoezi
lol...hap9 kwenye mzoga pamenishangaza..mm kuna harufu ya mafuta yao..huwa inanitia kinyaaaHuyo alivyo jichubua ukikaa nae karibu huwa wanatoa harufu flani kama mzoga! TFDA sijui wanafanya kazi gani, Bidhaa za Tanzania huwa zinaingia nchini zikiwa na nembo ya tbs kabisa!!
tuma basi hizo hela za hayo mapochopocho ya chura mkuu ahahaaKweli, ongeza CHURA mumy... sisi wanaume mjini ugonjwa wetu chura... churaa huyoo jamani churaaa... churaaaa..
Ukiwa huna churaaa hutapata soko au hata kuolewa mjini ni kazi... nenepesha chura sana na ujue kuitumia kwa yule atakaye kuoa...
Alafuuu nikupe siri, ukitaka chura anenepe haraka kula sana nazi kwa dagaa, nazi kwa mboga mboga, pia usisahau kula supu kidogo kwa chapati...
Chura atakuwa anaruka ruka tu, ata ukiwa unakaa au kutembea kidogo sana chura anarukaaa sanaaa
Mjini msingi churaaa.. tunenepesheee.. kisha ni pm
sio lazima unijibuSa ndiyo nini hiki?
tuma basi hizo hela za hayo mapochopocho ya chura mkuu ahahaa
ahahaa hata sasa ninae tumaa tuHaaaa... usijali... wee chura akianza kuruka pm tu, hela zinafuata chura kiulainiii... haaaa
View attachment 395404
Ukweli huyo mdada mke wa said fella anatuharibia wadada, kwa maana yeye ndiyo Muuza mikorogo wazi wazi tena mikorogo ya kila aina.
Anayo mpaka ya wiki unakuwa mweupe
TFDA mpo wapi?
Dawa yake ni wanaume kuanza kuoa wanawake weusi
kopo 1 elf 50,mawili 70 manne lakiye alivyo tu anatisha sasa wewe mdada unaenda kununua hiyo kitu kwake akili yako haina akili
ahahaa hata sasa ninae tumaa tu
Wadada wenyewe wanaonunua ni wajinga pia......wakiacha kununua yeye atauza?TFDA wapo ila to me ni toothless institution like TBS or TCRA kwa makampuni ya simu hapa TanzaniaView attachment 395404
Ukweli huyo mdada mke wa said fella anatuharibia wadada, kwa maana yeye ndiyo Muuza mikorogo wazi wazi tena mikorogo ya kila aina.
Anayo mpaka ya wiki unakuwa mweupe
TFDA mpo wapi?
Chura?mimi siamini kipodozi chochote hapa bongo
ndo maana natengeneza mafuta yangu ya nazi kila week najipaka
unakuta mtu kachanika sijui michirizi utadhani nyoka mjane wa miaka mia
bora nionekane mshamba
natamani kuongeza chura wangu kidogo maana huku mjini msingi chura ila nitafanya tu mazoezi