Mke wa Said Fella unatuharibia wadada hapa mjini

Tunaishi miaka 70+ na inabidi kutumia huu muda kudhihirisha kile Mungu alichokiumba katika miili na akili zetu.
Ukimuona binadamu kwa kutumia akili ile ile aliyonayo akaamua kuubadilisha hadi mwili wake kiasi hicho ni dhahiri hajikubali kama alivyo na hajui anachokitaka (she doesn't know what she wants).
Kwa maana hiyo anatumia akili ya bandia na yeye ni mtu bandia na ukisikuliza mawazo yake unapoteza muda wako japo hutojua. Hata tunavyocomment hapa tunapoteza muda sema tu ni kama angalizo kwa ambao wanaelekea huko kama bado hawajafika.
 

Sa ndiyo nini hiki?
 
Huyo alivyo jichubua ukikaa nae karibu huwa wanatoa harufu flani kama mzoga! TFDA sijui wanafanya kazi gani, Bidhaa za Tanzania huwa zinaingia nchini zikiwa na nembo ya tbs kabisa!!
lol...hap9 kwenye mzoga pamenishangaza..mm kuna harufu ya mafuta yao..huwa inanitia kinyaaa
 
Lipia tangazo. Hapo uliposema ana mikorogo inayoleta weupe ndani ya wiki moja tu ndo biashara yenyewe hiyo ukiamini utapata wateja. Umeshtukiwa. Fumbo mfumbie mjinga.
 
tuma basi hizo hela za hayo mapochopocho ya chura mkuu ahahaa
 
ahahaa hata sasa ninae tumaa tu

Ha haaaa... ila chura wako umesema sio mweupe sana... but hata kama sio mweupe sana, awe amenona bana... mie mgonjwa wa chura aliyefuraaa naturally... haaaaaa... alafu wee mtundu ww Miss
 
Kwani ana wapaka kwa lazima, acha wababuke waoze kabisa kwa ujinga wao

Tena ukikuta mwanamke aliejichubua hua wana sehemu za siri mbaya yani kwengine kuna badilika rangi kuna kua kweupe ila sasa chini kuharibika katikati ya mapaja anakua mbaya ukijani uliochanganyika na weusi mbayaa
 
Ngoja siku
Mh kwani mmelazimishwa kujikoboa, c madem wenyewe mmeipenda, yani ukilazaeer umewajaa tuu, acha atumie opportunity kwa vilazaer
Madhara yamtokee demu wako ama mama ako ndio Utajua sio watu watu wanajua Madhara yake
 
View attachment 395404

Ukweli huyo mdada mke wa said fella anatuharibia wadada, kwa maana yeye ndiyo Muuza mikorogo wazi wazi tena mikorogo ya kila aina.

Anayo mpaka ya wiki unakuwa mweupe

TFDA mpo wapi?
Wadada wenyewe wanaonunua ni wajinga pia......wakiacha kununua yeye atauza?TFDA wapo ila to me ni toothless institution like TBS or TCRA kwa makampuni ya simu hapa Tanzania
 
Chura?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…