aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
- Thread starter
- #41
Kaka watu wanaharibika sana rangi kama masanamu inakera hasamkuu aka2030 haya mambo mbona mimi niliyasemaga tangu zamani sana kwenye hii thread hapa chini
Serikali, waziri wa viwanda, chakula wapo kimya watu kuchezea kemikali majumbani mwao