Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
Lotion milioni?nikipaka nakuwaje?duh mie lotion ikizidi elfu 6 sinunuiyaani pale kuna hadi lotion ya milioni eti
nenda ukanionee yaani sabuni tu elf 50
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lotion milioni?nikipaka nakuwaje?duh mie lotion ikizidi elfu 6 sinunuiyaani pale kuna hadi lotion ya milioni eti
nenda ukanionee yaani sabuni tu elf 50
lip shine ya buku pale 35 elfLotion milioni?nikipaka nakuwaje?duh mie lotion ikizidi elfu 6 sinunui
Duh?kweli kazi ipolip shine ya buku pale 35 elf
Yeye mwenyewe kajiharibu tayariView attachment 395404
Ukweli huyo mdada mke wa said fella anatuharibia wadada, kwa maana yeye ndiyo Muuza mikorogo wazi wazi tena mikorogo ya kila aina.
Anayo mpaka ya wiki unakuwa mweupe
TFDA mpo wapi?
Akiwemo Said Fella mume wa mhanga.Tatizo sio yeye bali wale wanaotaka wawe weupe
Kioo kilimcheza...hivi ana kioo huyu?
Nakuunga mkono,muongeze chura,ndo mtaji mjini bhana,akifikia kimo cha kutosha itabidi tukae kama kamati tuzungumze kwa kina...mimi siamini kipodozi chochote hapa bongo
ndo maana natengeneza mafuta yangu ya nazi kila week najipaka
unakuta mtu kachanika sijui michirizi utadhani nyoka mjane wa miaka mia
bora nionekane mshamba
natamani kuongeza chura wangu kidogo maana huku mjini msingi chura ila nitafanya tu mazoezi
Nipo kungwi.Kungwi wa mahabat... upo kweli..?
Unaongeleaje Churaa churaaa huyoooo...
Watu wanahangaika na uso wakati habari ya mujini ni churaaa...
Kungwi umepotea sana
Afu huwa hujiulizi kwanini picha nyingi anazopiga ni za uso tu?Sikujua kama Mrs Fella ni uso wa mbuzi hivyo! Nilidhan ni dizain ya akina Masogange lkn duuuu
Mungu anamuonaAfu huwa hujiulizi kwanini picha nyingi anazopiga ni za uso tu?
Akipiga full basi kavaa Abaya au dera au dishdash?
Yaani kuna siku akajichanganya akatuma ya full akiwa kavaa pedo...yaani miguu ni myeusi tiiii.....halafu imepinda, yaani ana umbo la simba dume.
Ila kwa nyodo ndo hafai.
Itakuwa kamroga Fella, mpaka akamuacha mke wake wa kwanza akaja kwa huyu mnuka ngozi
Tatizo hili ingawa ni la TFDA lakini tunao wajibu wa kuwatahadhalisha wanajamii wenzetu ili waachane na kuiwHuyo alivyo jichubua ukikaa nae karibu huwa wanatoa harufu flani kama mzoga! TFDA sijui wanafanya kazi gani, Bidhaa za Tanzania huwa zinaingia nchini zikiwa na nembo ya tbs kabisa!!
Nipo kungwi.
Tatizo vijana wa sasa wanazaliwa washapitia jando tangi tumboni.
Hivo tunakosa wa kuwafunda
Asante mkuu.Kungwi sijakuona long longtime humu...
Ili mradi mzima wa afya nashukuru, nakuombea uzima tele sana kwa sana ya sanaaaa..
Hawa vijana hawajui mapenzi, jando kweli wanaefanyiwa wakiwa hata macho hawajafungua...!! Sasa malezi ya familia inakua shida sana, unakuba baba kaoa, alafu suruali kata k... mara wengine wanajichubua hadi wanaonekana kama vinyago....
Nakuombea mema sana, barikiwa sana
Kungwi, ucku mwema...!!
hapo umenikuna moyoShaka ondoa