Ingekuwa Bongo watu mngemlalamikia Shigongo
Ingekuwa Bongo watu mngemlalamikia Shigongo
Mi nilidhani mkewe ni mwanaume..!!? Mbona anadanga watu huyu bazazi!!
Yaani nchini kwao huo mwili ndo unaotakiwa,hapo yupo super sexyHana nyama kabisa yani.
Hana nyama kabisa yani.
Hana nyama kabisa yani.
yep..ni zaidi ya flat skrin...😛ound:😛ound:Duh! ana background mbovu kishenzi..
Hapo ndo nasemaga kwenye haya mambo wazungu hawanaga macho
Huo ni uongo na huyo si mke wa Cameron.Pamoja na kile kinachoıtwa utamaduni wao, mke wa Waziri Mkuu Uingereza hawezi kujiachia hvyo hata sıku moja.Km kuna nchi duniani wapo strict na maadili ya viongozi wake basi Uingereza ni mojawapo.Hyo picha si halisi!
Ana umbo ka la mwanaume hafu ana flat screen hatari eti hapo anavutia.