Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechanganyikiwa mama[emoji23][emoji23][emoji23] Uzi wa kifo unaleta mambo ya LissuMagufuli hawezi kurudia tena kumuahidi Lissu kazi ndogo ndogo amuachie urais.
Acha kuquote na kubadili nilichoandika vinginevyo unafanya Jambo lililo kinyume na Sheria za jamiiforums!Sasa mkuu umeandika nini? Hapa tunaomboleza wewe unaleta chuki dhidi ya Magufuli[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji1533][emoji1533][emoji1533]
Sky Eclat
pole ila Sijui kwanini huwa hamtangai watu wakiwa hai, kama ni wa kupongezwa ama kulalamikiwa iwe hivyo ila mnatutangaia marehemu?Kwa mshutuko mkubwa nimepokea habari ya kuondokewa na Bi Amne Rifai Salim, Mkewe na Mh Salim Ahmed Salim. Inna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiiuun.
Saguda47 mtu wangu inakuwajeAcha kuquote na kubadili nilichoandika vinginevyo unafanya Jambo lililo kinyume na Sheria za jamiiforums!
Endelea!
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'unKwa mshutuko mkubwa nimepokea habari ya kuondokewa na Bi Amne Rifai Salim, Mkewe na Mh Salim Ahmed Salim. Inna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiiuun.