Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Mzee Baba kumbe tunakuchukulia poa tu. Chumvi umekula ya kutosha. Hongera sanaNimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!
Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall