TANZIA Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Salim Ahmed afariki dunia

TANZIA Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu Salim Ahmed afariki dunia

Nimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!

Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall

Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana
Poleni sana
 
Nimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!

Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall

Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana
Pole kwa familia na wewe kuondokewa na mate (shikamoo)
 
Nimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!

Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall

Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana
Kumbe we Muhenga.
R.I.P mama yetu
 
Nimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!

Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall

Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana
Shikamoo babu Pohamba, sikujua una umri huu.
Wasalimie Ilala

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Pumzika kwa amani mama.
Pole sana kwa mzee wetu Salim na familia nzima.
 
Inna lillahi wainna illayhi rrajiuun...

Poleni femili ya comrade Salim A Salim...

The World Is Not Our Home...
 
pole ila Sijui kwanini huwa hamtangai watu wakiwa hai, kama ni wa kupongezwa ama kulalamikiwa iwe hivyo ila mnatutangaia marehemu?
okay pole bi fatma karume kwa kufiwa na aunti,
Jaji, Marehemu alikuwa Aunt wa Fatme Karume ?, tufafanulie Mkuu
 
Watoto wa Kinana ushawahi kuwaskia?

Kuna watu uwekezaji kwa watoto wao umefanikiwa nje ya ulingo wa Siasa na kandarasi hewa za kiserikali
Unajua kuna prominent figures ambazo habari zao ni HOT NEWS!
 
Back
Top Bottom