Mke wa x wangu

Mke wa x wangu

hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh

kidudu gani hiko!!!!!!!!!
 
wanaume kuacha michepuko ni kazi sana sisemi hawapo ila dah ni wachache saaaaaaaaaaaana,
 
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh

Mimi sijakuwepo hapa kwa muda, hivi miss chaga umeolewa
 
Shkmoon wakuu
Ban jana nkiw nmejilaz kitndn kwngu naperuz jukwaa l siasa hum si ghafla ikaingia text whtsu p kuchek nmba geni( imea ndkwa nakusalimia tu,nka jibu snte nan l kn " knijib m e mke wa nokia8 (he was m y boy frnd tulipokuwa chuo huyo nokia8) tukachana yy akaoa mwaka jana bonge la harus na mie nlienda chez kwaito san)mke w nokia 8
Najua ushawahi date na nokia 8 ina maana hamkuachana?
Mi nkamuliza kivp ckwelewi?
Akanijibu nimeona chatng zenu whtsup meanz mnakumbushiaga
Me nkamwambia kama umeona chatng kila kitu chajieleza mumeo ndiye anantaka me simuhitaji naheshimu ndoa yenu ,nakupenda swez fanya hvyo mwambie mumeo aache kunisumbua"
Yule dada akanpigia simu
Nkapokea akaanza aisee kama mume nimepata sijui kama naweza"inavyoonekana huyo mke wa x wangu aliona mengi katka simu ya mumewe,mie nlichomwambia ndoa yenu ni changa sana kumbuka uliyoahidi kanisani siku ile,ukae utulie akanijibu siwezi!basi for sure nlifili vibaya sana yan kama vle ndo mie yamenkuta alafu mie nkamwambia kama vipi mamii na wewe tafuta mchepuko ujitulize utajakufa siku syo syoyMnaboazako kwa presha,,hakunijib
Sasa nyie wanaume niwaulize hivi mnakjwaga mnalazimishwa kuoa??kabint ka watu ndo kwanza kadogo kukaliza kila siku kama ulikuwa hujamaliza kuchovya hilo dunguso lako y uoe?
Mnaboa sana me nlichomshauri huyo dada nmemwambia nae atafute mchepukooo

Aisee huu uandishi unanishinda kabisaaaaa!!!!!!
 
Tatizo wewe umukagame ulikuwa unampa mwenzio 0714 sasa ameshakuwa adicted,kuwa makini utajavunja ndoa ya watu wewe!
 
Hujaolewa, ukiolewa utafahamu na kugundua wanaochungulia simu za wapenzi wao wengine hawakuwa na mpango huo! Ndoa ni zaidi ya neno ndoa! Ina mapana na marefu. Achana na kuona dalili za wazi wazi ama kusikia ya kuwa mke/mme unayemwamini anatoka nje ya ndoa huku akikuinjoy wewe kwa kujifanya innocent! Take it from me miss chagga!
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh
 
Last edited by a moderator:
mwenyewe hapo ndo umetoa bonge la ushauri!!!!!........hatare!!!!!
 
As far as i andastand...ukiamua kuoa means ure wife means everythn...km n uzuri bas yy ndio unatakiwa umuone ivo...km n mautundu n mke wako uyu kihalali na mungu anabaraka zake mfundishe mautundu yote....

Ni upuuz et unamke alaf unaanza kumwambia x umemmic unataman upuuuz....ni ujinga wa hali ya juu...hata km ni kwel ummemic uyo x hauna sababu ya kuweweseka!...kama alikua bora si angemuoa uyo x?...
 
hahahaaaa hata hapo imemaliza muda mrefu!! nisingeshangaa pia ningesikia jamaa kaanza "kuchepuka" kabla hata ya wiki 2 toka aoe
 
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh

wewe ndiyo mwanamke sasa! Safi kabisa
 
Shikamoo wakuu,

Basi jana nikiwa nmejilaza kitandani kwangu naperuzi jukwaa la siasa humu si ghafla ikaingia text whatsup kuchek namba geni(imeandikwa nakusalimia tu,nikajibu asante nani lakini" kanijibu me mke wa nokia8 (he was my boy friend tulipokuwa chuo huyo nokia8) tukachana yeye akaoa mwaka jana bonge la harusi na mie nilienda cheza kwaito sana)mke wa nokia 8.

Najua ushawahi date na nokia 8 ina maana hamkuachana?

Mi nikamuliza kivipi sikuelewi?

Akanijibu nimeona chating zenu whatsup means mnakumbushiaga...

Me nikamwambia kama umeona chating kila kitu chajieleza mumeo ndiye anantaka me simuhitaji naheshimu ndoa yenu,nakupenda siwezi fanya hivyo mwambie mumeo aache kunisumbua"

Yule dada akanpigia simu

Nikapokea akaanza aisee kama mume nimepata sijui kama naweza"inavyoonekana huyo mke wa x wangu aliona mengi katika simu ya mumewe,mie nilichomwambia ndoa yenu ni changa sana kumbuka uliyoahidi kanisani siku ile,ukae utulie akanijibu siwezi!

Basi for sure nIlifili vibaya sana yani kama vile ndo mie yamenkuta alafu mie nikamwambia kama vipi mamii na wewe tafuta mchepuko ujitulize utajakufa siku siyo zako kwa presha,,hakunijibu

Sasa nyie wanaume niwaulize hivi mnakuaga mnalazimishwa kuoa?

Kabinti ka watu ndo kwanza kadogo kukaliza kila siku kama ulikuwa hujamaliza kuchovya hilo dunguso lako why uoe?

Mnaboa sana me nlichomshauri huyo dada nmemwambia nae atafute mchepukooo.

Wewe ndio unataka ushauri au u just share this
 
Back
Top Bottom