Mke wa x wangu

hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh

kidudu gani hiko!!!!!!!!!
 
wanaume kuacha michepuko ni kazi sana sisemi hawapo ila dah ni wachache saaaaaaaaaaaana,
 
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh

Mimi sijakuwepo hapa kwa muda, hivi miss chaga umeolewa
 

Aisee huu uandishi unanishinda kabisaaaaa!!!!!!
 
Tatizo wewe umukagame ulikuwa unampa mwenzio 0714 sasa ameshakuwa adicted,kuwa makini utajavunja ndoa ya watu wewe!
 
Hujaolewa, ukiolewa utafahamu na kugundua wanaochungulia simu za wapenzi wao wengine hawakuwa na mpango huo! Ndoa ni zaidi ya neno ndoa! Ina mapana na marefu. Achana na kuona dalili za wazi wazi ama kusikia ya kuwa mke/mme unayemwamini anatoka nje ya ndoa huku akikuinjoy wewe kwa kujifanya innocent! Take it from me miss chagga!
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh
 
Last edited by a moderator:
mwenyewe hapo ndo umetoa bonge la ushauri!!!!!........hatare!!!!!
 
As far as i andastand...ukiamua kuoa means ure wife means everythn...km n uzuri bas yy ndio unatakiwa umuone ivo...km n mautundu n mke wako uyu kihalali na mungu anabaraka zake mfundishe mautundu yote....

Ni upuuz et unamke alaf unaanza kumwambia x umemmic unataman upuuuz....ni ujinga wa hali ya juu...hata km ni kwel ummemic uyo x hauna sababu ya kuweweseka!...kama alikua bora si angemuoa uyo x?...
 
hahahaaaa hata hapo imemaliza muda mrefu!! nisingeshangaa pia ningesikia jamaa kaanza "kuchepuka" kabla hata ya wiki 2 toka aoe
 
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh

wewe ndiyo mwanamke sasa! Safi kabisa
 

Wewe ndio unataka ushauri au u just share this
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…