Mke wa x wangu

Hakuna mwanaume wa peke ako watu tunashindwaga tu kukubali ukweli, Maji kayavulia nguo ayaoge kwani hakuyaona hayo kabla ya ndoa????? ndo wake huyo amuombee Mungu ambadilishe.

Siyo kweli kabisaaaaaa!!!!!!!!
 
miss chagga hope wewe bado hujaolewa ndo maana unaujasiri wa kusema hivyo,siku ukiolewa au ukiwa kwenye strong relationship ndo utajua kama kuna umuhimu wa kufyokonyoa sim au hamna.

sawa mama ila siwezi fyokonyoa mama yangu naogopa pressure
 
hivi kufyokonyoa simu ya mpenzi wako mume wako iliiweje ... mimi weka hapo utajijua tu elimradi matumizi yangu yawepo na kumsisitiza kutumia kinga huko anaporuka ruka inatosha siwezi kufa kisa kidudu loh
Uliyoyasema yametoka moyoni mwako mkuu?
 
Poleni wa Mjini, mwombe huyo dada ahamie huku bush maana town "kwa mtu mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani"
 

Hahahahahaha, naisi hujaolewa ndo maana unasema ivo, unaujua uchungu wa mume wewe?
 


UMUKAGAME introducing new Vocabulary DUNGUSO. Kwahiyo huku papuchi huku Dunguso, hapo ngoma droo dadadadadeeeekiii!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…