Mke wa x wangu

Huyo atakuwa amevurugwa mi nkajua kafumania kumbe kaona watsup!Aaah sasa alijua mmewe bikra?Wala haihusuu ila na ww km bdo uko nae huyo kidumu cjui pipa achana nae kwn angekupenda angekuoa hana jipya kivuruga 2 huyoo
 
Huyo atakuwa amevurugwa mi nkajua kafumania kumbe kaona watsup!Aaah sasa alijua mmewe bikra?Wala haihusuu ila na ww km bdo uko nae huyo kidumu cjui pipa achana nae kwn angekupenda angekuoa hana jipya kivuruga 2 huyoo

Hapana simuhitaj hata kdg
 
nina siku nyingi sijagusa cm ya mme wangu
ila yeye kutwa kupekua yangu,nikioga atavizia unakuta kapekenyua
na kuchukua baadhi ya namba thn anawapigia watu,ni ujinga tu
nafanya yangu yenye akili,akitembeze akichoka atatulia!!
 
Mi nikianza relation mpya wa zamani wote bye maana juzi kidogo iue relationship yangu
 
sometimes kama huwezi kumshauri mtu ni bora kukaa kimya....
 
Awali ni awli tu hakuna awali mbili, inaonekana kuna vitu fulani ulivikosa ndo maana akaoa ila sasa kajikuta kuna vitu fulani anavihitaji kwako kule havipati, hapo mtachangia tu maana mwanamke mkiachana hafu muendelee kuchati lazima mtakaribisha kufanya makumbusho japo mara moja moja.

 

Kwa hiyo una ruhusu jamaa achapiwe? hehehehe! humu ndani mafuska ni wengi sijawahi kuona!
 
Bado haujafungua danguro tu ili uache ndoa za watu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…