Mke wa x wangu

Mke wa x wangu

Huyo atakuwa amevurugwa mi nkajua kafumania kumbe kaona watsup!Aaah sasa alijua mmewe bikra?Wala haihusuu ila na ww km bdo uko nae huyo kidumu cjui pipa achana nae kwn angekupenda angekuoa hana jipya kivuruga 2 huyoo
 
Huyo atakuwa amevurugwa mi nkajua kafumania kumbe kaona watsup!Aaah sasa alijua mmewe bikra?Wala haihusuu ila na ww km bdo uko nae huyo kidumu cjui pipa achana nae kwn angekupenda angekuoa hana jipya kivuruga 2 huyoo

Hapana simuhitaj hata kdg
 
nina siku nyingi sijagusa cm ya mme wangu
ila yeye kutwa kupekua yangu,nikioga atavizia unakuta kapekenyua
na kuchukua baadhi ya namba thn anawapigia watu,ni ujinga tu
nafanya yangu yenye akili,akitembeze akichoka atatulia!!
 
Mi nikianza relation mpya wa zamani wote bye maana juzi kidogo iue relationship yangu
 


Basi for sure nIlifili vibaya sana yani kama vile ndo mie yamenkuta alafu mie nikamwambia kama vipi mamii na wewe tafuta mchepuko ujitulize utajakufa siku siyo zako kwa presha,,hakunijibu

Mnaboa sana me nlichomshauri huyo dada nmemwambia nae atafute mchepukooo.
sometimes kama huwezi kumshauri mtu ni bora kukaa kimya....
 
Awali ni awli tu hakuna awali mbili, inaonekana kuna vitu fulani ulivikosa ndo maana akaoa ila sasa kajikuta kuna vitu fulani anavihitaji kwako kule havipati, hapo mtachangia tu maana mwanamke mkiachana hafu muendelee kuchati lazima mtakaribisha kufanya makumbusho japo mara moja moja.

Shikamoo wakuu,

Basi jana nikiwa nmejilaza kitandani kwangu naperuzi jukwaa la siasa humu si ghafla ikaingia text whatsup kuchek namba geni(imeandikwa nakusalimia tu,nikajibu asante nani lakini" kanijibu me mke wa nokia8 (he was my boy friend tulipokuwa chuo huyo nokia8) tukachana yeye akaoa mwaka jana bonge la harusi na mie nilienda cheza kwaito sana)mke wa nokia 8.

Najua ushawahi date na nokia 8 ina maana hamkuachana?

Mi nikamuliza kivipi sikuelewi?

Akanijibu nimeona chating zenu whatsup means mnakumbushiaga...

Me nikamwambia kama umeona chating kila kitu chajieleza mumeo ndiye anantaka me simuhitaji naheshimu ndoa yenu,nakupenda siwezi fanya hivyo mwambie mumeo aache kunisumbua"

Yule dada akanpigia simu

Nikapokea akaanza aisee kama mume nimepata sijui kama naweza"inavyoonekana huyo mke wa x wangu aliona mengi katika simu ya mumewe,mie nilichomwambia ndoa yenu ni changa sana kumbuka uliyoahidi kanisani siku ile,ukae utulie akanijibu siwezi!

Basi for sure nIlifili vibaya sana yani kama vile ndo mie yamenkuta alafu mie nikamwambia kama vipi mamii na wewe tafuta mchepuko ujitulize utajakufa siku siyo zako kwa presha,,hakunijibu

Sasa nyie wanaume niwaulize hivi mnakuaga mnalazimishwa kuoa?

Kabinti ka watu ndo kwanza kadogo kukaliza kila siku kama ulikuwa hujamaliza kuchovya hilo dunguso lako why uoe?

Mnaboa sana me nlichomshauri huyo dada nmemwambia nae atafute mchepukooo.
 
Shikamoo wakuu,

Basi jana nikiwa nmejilaza kitandani kwangu naperuzi jukwaa la siasa humu si ghafla ikaingia text whatsup kuchek namba geni(imeandikwa nakusalimia tu,nikajibu asante nani lakini" kanijibu me mke wa nokia8 (he was my boy friend tulipokuwa chuo huyo nokia8) tukachana yeye akaoa mwaka jana bonge la harusi na mie nilienda cheza kwaito sana)mke wa nokia 8.

Najua ushawahi date na nokia 8 ina maana hamkuachana?

Mi nikamuliza kivipi sikuelewi?

Akanijibu nimeona chating zenu whatsup means mnakumbushiaga...

Me nikamwambia kama umeona chating kila kitu chajieleza mumeo ndiye anantaka me simuhitaji naheshimu ndoa yenu,nakupenda siwezi fanya hivyo mwambie mumeo aache kunisumbua"

Yule dada akanpigia simu

Nikapokea akaanza aisee kama mume nimepata sijui kama naweza"inavyoonekana huyo mke wa x wangu aliona mengi katika simu ya mumewe,mie nilichomwambia ndoa yenu ni changa sana kumbuka uliyoahidi kanisani siku ile,ukae utulie akanijibu siwezi!

Basi for sure nIlifili vibaya sana yani kama vile ndo mie yamenkuta alafu mie nikamwambia kama vipi mamii na wewe tafuta mchepuko ujitulize utajakufa siku siyo zako kwa presha,,hakunijibu

Sasa nyie wanaume niwaulize hivi mnakuaga mnalazimishwa kuoa?

Kabinti ka watu ndo kwanza kadogo kukaliza kila siku kama ulikuwa hujamaliza kuchovya hilo dunguso lako why uoe?

Mnaboa sana me nlichomshauri huyo dada nmemwambia nae atafute mchepukooo.

Kwa hiyo una ruhusu jamaa achapiwe? hehehehe! humu ndani mafuska ni wengi sijawahi kuona!
 
Bado haujafungua danguro tu ili uache ndoa za watu?
 
Back
Top Bottom