Mke wa zamani wa Bilionea Bill Gates kwenye mahusiano mapya

Mke wa zamani wa Bilionea Bill Gates kwenye mahusiano mapya

Unapokuwa tajiri sana na mtumwa wa hela, unakuwa busy sana, ratiba iko tight kinoma, huna muda wa ku enjoy wala kula good time na mkeo.
Basi wale vijana makapuku ndio huwa
wanakusaidia kumburudisha mkeo.

Ninakataa kuwa mtumwa wa pesa, pesa zitanitumikia na hazita nitesa.
Mke wa zamani wa Billionea wa Microsoft Bill Gates, Bibi Melinda Gates (58) ameangukia kwenye penzi jipya na Mwana habari Jon Du Pre.

Wawili hao walionekana Kwenye mchezo wa Kikapu pamoja na muda mwingine kwenye Mapumziko Binafsi.

Kwa mujibu wa TMZ kupitia vyanzo vyao vya kuaminika inaonesha wawili hao ni wapenzi wa muda na wamekuwa wakionekana sehemu kadhaa pamoja lakini hawajaeleza ni lini walikutana.

Jon Du Pre ni mwandishi nguli wa zamani mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 35 katika utangazaji, uzalishaji wa video na uandishi.

Bill na Melinda ndoa yao ilivunjika baada ya kudumu kwa takribani miaka 25.

A
 
Msifanye masihala na upweke kuna muda itafika kipindi uinaona unahitaji mtu.

Kuna wale mimi nitazalisha sioi kuna mda hasa 50+ lazima afeel upweke.

Alafu kuna wale dada zangu "......mimi nina hela yangu nina kazi yangu mwanaume wa nini najitimizia mahitaji yangu mwenyewe.........sijui nini na nini.............." hawa wanakuwaga na hali mbaya mpaka unawaona kama wamechanganyikiwa,japo financial yupo stable.

Wawili wawili tu sababu sio kila kitu kinahitaji hela sometimes unahitaji kupendwa, kufarijiwa, kupewa nguvu na moyo unapopitia magumu.........unahitaji msiri nk.
 
Kwani mbususu yenye mvi haina genye[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaah..hapana bwana nyege za uzeeni tena[emoji16][emoji16][emoji16]sidhani km wanafeeel chochote...mwanamke tena jamani[emoji38][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1]
 
Ngoja na we ufikie huko ndiyo utajuwa

Ova
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]wanawake wa kibongo wengi umri huo wakiwa wajane wanatulia mnoo siwaoni wakihangaika la da hii mishangazi ya mjini ndo Ina mambo meusi ila huku kwetu mitaani wengi wanakua wanalea vijukuu,kusali, kuswali,kufuga n.k yaani wengi wanakua wanarudi kwa Mungu wao
 
So sad nini? Ulitaka akae mpweke kama bibi ako kijijini?

Yeye sio mtu? Hahitaji kampani? Au mnadhani mapenzi ni kutiana tu?

Tena kwa huo umri anahitaji mtu wa kupeana kampani, kuongea, moral support. Watoto wameshakuwa wakubwa wameondoka. Nyumbani umebaki peke yako.

Utakaa kama jini ufe kwa mawazo na stress?
Ewaa hapo sawa kampani ya kuongea nayo,ushauri n.k mmekuelewa Sasa![emoji38][emoji38]
 
Ila wazungu bwana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!uzee huo Bado anatafuta bwana [emoji16] so saad
Ogopa sana kitu kinaitwa upweke. Ukifiwa na mwenza au mkiachana ukiwa mzee utaelewa nachokwambia. Maana uzeeni hata watoto wako hawatakaa na wewe. Watakuwa zao busy na mambo yao

Mtu pekee wa kukupa faraja ni mwenza wako
 
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]wanawake wa kibongo wengi umri huo wakiwa wajane wanatulia mnoo siwaoni wakihangaika la da hii mishangazi ya mjini ndo Ina mambo meusi ila huku kwetu mitaani wengi wanakua wanalea vijukuu,kusali, kuswali,kufuga n.k yaani wengi wanakua wanarudi kwa Mungu wao

Kuna mambo nyuma ya pazia, hao wa kibongo ukute wanafanya Kwa kujificha, ogopa kitu kinaitwa upweke, hata usali sala gani upweke hauondoki....na ndo mana Mungu hakumuacha Adam peke yake, akampa mwenza.....ni maumbile.
 
So sad nini? Ulitaka akae mpweke kama bibi ako kijijini?

Yeye sio mtu? Hahitaji kampani? Au mnadhani mapenzi ni kutiana tu?

Tena kwa huo umri anahitaji mtu wa kupeana kampani, kuongea, moral support. Watoto wameshakuwa wakubwa wameondoka. Nyumbani umebaki peke yako.

Utakaa kama jini ufe kwa mawazo na stress?
Wabongo tumezoea maisha ya kukariri ngojea wenzetu watuoneshe namna ya kuishi
 
Ngoja tuone Bill gate yeye ataopoa goma gani?

Hivi sababu za kuachana na mtalaka wake zilisemekana kuwa nini ?
 
IMG_6739.png
 
Watu wanataka kupelekewa moto vizuri basi hizo zingine mbwembwe tuu.
Wee mtombee demu vizuri kila leo atakuwa anakuletea

Sidhani kama ni kweli mkuuu,Kuna dwmu nilachana nae kwa sababu ya rafiki yake,Wa mwanzo alikuwa anapenda sana kuchakachwa,na akawa anamsimulia mwenzie ila huyu mwenzio hataki hayo mambo anasema anapenda nnavyokuwa kwakwe....dushe mara chache sana kuniomba
 
Back
Top Bottom