Ongeza Isaac newton, franz kafka, the apostle paul, prophet daniel, jeremiah kwa kweli GREAT FIGURES of the past hakuwah kujihusisha na mapenz..
Huyo kuna kitu kamaanisha, kwamba hiyo safari huyo mwanamke anasafiri na boss wake, na mumewe hana tatizo anakubali??
Itakuwa wifi kampa taarifa ya safari ya kikazi, presha imempanda mpk uzi kashindwa kuuweka vizuri..!! Kifupi kavurugwa ๐๐Sasa mbona anaweweseka kwenye kuandika uzi kwa ufasaha...!!!
Itakuwa wifi kampa taarifa ya safari ya kikazi, presha imempanda mpk uzi kashindwa kuuweka vizuri..!! Kifupi kavurugwa ๐๐
are you crazy or what?Adam mtu wa mwanzo alikuwa na mke...
Ibrahim baba wa imani alioa...
Mfalme Daudi alioa...
Mfalme Sulaiman alioa tena wake wengi tu...
Hauna hoja...
are you crazy or what?
myths from a storybook written by a stone age society mean something to you?
bible literalism is for the simple
arudi na kimpira๐คฃTulia mtu asafiri, arudi na perdiem muongeze mchele ndani. Au hujui safari zina hela?
Kama ni wa kuokoteza vimpira atakiokota hata ukishinda nae nyumbani.arudi na kimpira๐คฃ
Hata Mama wa nyumbani wanapewa maelekezo na Bodaboda.Kwahiyo boss wake akimpa maelekezo au akitaka asafiri mume inabidi atulie tu.
Umemkandia sana Mkuu, mpe break kidogo labda ana waza UE ๐๐are you crazy or what?
myths from a storybook written by a stone age society mean something to you?
bible literalism is for the simple
Jukumu la kuondoa umaskini sio la mke.Kwa akili hizi kitakachokutenganisha na umasikini ni kifo tu
nikiona wafia dini wanaquote vijitabu vyao nateseka mkuu๐คฃUmemkandia sana Mkuu, mpe break kidogo labda ana waza UE ๐๐
Mke kasafiri wiki 3 kaenda semina.Kwahiyo boss wake akimpa maelekezo au akitaka asafiri mume inabidi atulie tu.
Hahahnikiona wafia dini wanaquote vijitabu vyao nateseka mkuu๐คฃ
ukikutana na mmasai handsome kazini hutookota kimpira?๐Kama ni wa kuokoteza vimpira atakiokota hata ukishinda nae nyumbani.
๐๐ mpaka nikafikia kusema Yes I do to him means mliobaki na watakaozaliwa wapya wote hamna jipya kaka zanguukikutana na mmasai handsome kazini hutookota kimpira?๐
au ninakoenda ni mbali?