Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ipo wapi kwani?
Mumeo ana boss mwanamke?
Kwa hiyo anapewa maelekezo ya kusafiri na Boss na umekaa umetulia tu..
Kama ni majukumu ya kikazi, hakuna nongwa.
😂😂😂😂😂🙌Wasafiri tu hata waende nchi za nje mke wangu we nenda hata mwezi, ili mradi kazi ifanyike
Haya ni mawazo yanayo dumaza uchumi wa waTanzaniaKwahiyo boss wake akimpa maelekezo au akitaka asafiri mume inabidi atulie tu.
Ni sawa. 😁😁Boss wa mumeo ambaye ni mwanamke mzuri amepanga safari ya kikazi na mumeo kwa wiki mbili Dubai.
Hapo labda ondoa ma air hostess tu, wengine wako hatarini sana.Kuna mademu ambao Wana asilimia 99.96 za kuliwa kazini na mabosi wao Tena wanaambiwa TU vua chupi weka pale.
1:ma sekretari.
2:mademu wahudumu wa ndege.
3:wahudumu wa bar.
4😀emu anayedaiwa mkopo
Hutaki afanye kazi, basi mrudishe home lakini per month uwe unampa amount anayolipwa sasa.Kwahiyo boss wake akimpa maelekezo au akitaka asafiri mume inabidi atulie tu.
Hao uliowataja una uhakika walishawahi kuwepo kwa ushahidi na sio nadharia?Adam mtu wa mwanzo alikuwa na mke...
Ibrahim baba wa imani alioa...
Mfalme Daudi alioa...
Mfalme Sulaiman alioa tena wake wengi tu...
Hauna hoja...
Utadhani mnamaanisha kweli[emoji16][emoji16] mpaka nikafikia kusema Yes I do to him means mliobaki na watakaozaliwa wapya wote hamna jipya kaka zangu
Hao uliowataja una uhakika walishawahi kuwepo kwa ushahidi na sio nadharia?