Mke wako wako asikuzidi jina, nyumba yako itambulike kwa baba au mzee fulani na sio kwa mama au bibi fulani

Mke wako wako asikuzidi jina, nyumba yako itambulike kwa baba au mzee fulani na sio kwa mama au bibi fulani

Hahahah bro, maisha sio marahisi hivyo na sio magumu pia namna hiyo. Bro wangu na mkewe walipojenga huko Bunju wameweka na shule ya watoto hapo hapo na mkewe kwa sababu ana taaluma ya ualimu ndiye mkuu wa shule na ndiye anafahamika zaidi mahali hapo. Unavijua hivi vi daycare vya mtaani, ilianza bila jina, madam Winnie ni maarufu sana mahali pale.
Kwa faida ya kibiashara, familia na n.k bro ameendelea kuwa anonymous na maisha yanaendelea.

Kimsingi shule hiyo niya Mkewe
 
Nyumba ni yangu na mke ni wangu.

Mimi hata baadhi ya majirani zangu hawajui sura yangu. Kwa nature ya shughuli zangu natoka almost daily saa 11 asubuhi na kurudi saa 2 usiku.

Kwangu kunajulikana kwa umaarufu wa Mama Fulani, kumaanisha mke wangu na hiyo haijanipunguzia hata chembe ya uanaume wangu ama ukweli wa kuwa nyumba ni mali yangu.
 
Sitegemei kuendeshea maisha kisa Wanasiasa la hasha ila Nina switch accordingly na dance zao.

Wao wakatane hata miguu Mimi hainihusu walasiwezi ku sympathise nao maana wote ni matapeli wanatafuta kitu kimoja,washike Dola Kwa maslahi Yao na familia zao at our expenses

😀😀😀
Lucas Mwashambwa anajua hili
 
Nyumba na yangu na mke ni wangu.

Mimi hata baadhi ya majirani zangu hawajui sura yako. Kwa nature ya shughuli zangu natoka almost daily saa 11 asubuhi na kurudi saa 2 usiku.

Kwangu kunajulikana kwa umaarufu wa Mama Fulani, kumaanisha mke wangu na hiyo haijanipunguzia hata chembe ya uanaume wangu.

Huwezi elewa.
Ingawaje siô Kosa kuwa na mtazamo wako.
 
Taikon wa Fasihi Kuna sehemu kama Ume fail kufikiria Vizuri, Mostly Men ni Low Profile mitaani uko unless awe political figure, Ntakupa Mfano wangu Mimi familia Nime center Sehemu fulani let say Kibaha ila throughout my life nimekuwa mtu wa Trips za Mikoani sana Tangu niwahamishie pale Nimekaa sana Home ni siku nne napotea Sasa Wife na watoto wao ndio Wako busy na huo mtaa kwanini Pale watu wasipaite kwa mama fulani? Sijawahi Kuwaza kabisa kama hio ni shida na Mimi ni very low profile hata majirani tu wengi hawanijui na wala sioni umuhimu wa Kujulikana hapo mtaani
 
Back
Top Bottom