Mke wako wako asikuzidi jina, nyumba yako itambulike kwa baba au mzee fulani na sio kwa mama au bibi fulani


Kimsingi shule hiyo niya Mkewe
 
Nyumba ni yangu na mke ni wangu.

Mimi hata baadhi ya majirani zangu hawajui sura yangu. Kwa nature ya shughuli zangu natoka almost daily saa 11 asubuhi na kurudi saa 2 usiku.

Kwangu kunajulikana kwa umaarufu wa Mama Fulani, kumaanisha mke wangu na hiyo haijanipunguzia hata chembe ya uanaume wangu ama ukweli wa kuwa nyumba ni mali yangu.
 

😀😀😀
Lucas Mwashambwa anajua hili
 

Huwezi elewa.
Ingawaje siô Kosa kuwa na mtazamo wako.
 
Taikon wa Fasihi Kuna sehemu kama Ume fail kufikiria Vizuri, Mostly Men ni Low Profile mitaani uko unless awe political figure, Ntakupa Mfano wangu Mimi familia Nime center Sehemu fulani let say Kibaha ila throughout my life nimekuwa mtu wa Trips za Mikoani sana Tangu niwahamishie pale Nimekaa sana Home ni siku nne napotea Sasa Wife na watoto wao ndio Wako busy na huo mtaa kwanini Pale watu wasipaite kwa mama fulani? Sijawahi Kuwaza kabisa kama hio ni shida na Mimi ni very low profile hata majirani tu wengi hawanijui na wala sioni umuhimu wa Kujulikana hapo mtaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…