Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwa haraka haraka, huyu jamaa anamkera mke, ila mke akiona watu inabidi avunge tu acheke...Jibu hili ambalo lipo kwa mtindo wa swali ni zuri.
Swali la mleta mada pia zuri linafikirisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa haraka haraka, huyu jamaa anamkera mke, ila mke akiona watu inabidi avunge tu acheke...Jibu hili ambalo lipo kwa mtindo wa swali ni zuri.
Swali la mleta mada pia zuri linafikirisha.
Mke anajitahidi kutunza siri ila jamaa bado hajagunduaKwa haraka haraka, huyu jamaa anamkera mke, ila mke akiona watu inabidi avunge tu acheke...
Ukweli ni upi sasa??Hamna sio kweli kabisa
Basi ana utoto, ana umri gani?Hata ukiongea naye yeye anaona sawa tu uukimwambia hupendi tabia hizo ananuna
Inawezekana umeoa ka binti kadogo bado hakajamaliza utoto wakeUtoto na wakati anajua yuko ndoani na anapaswa kumfanya mume ajihisi amani na utulivu ukizingatia majukumu yanatimizwa vile inavyopaswa?
Wazo mujarabu kabisahuyo ana kisirani, mtafutie mchepuko
Hahahaaaaaaaa nisamehe nilikua nasherehesha jukwaaaa tu ila jitahidi kutoka nae usku mkatulie hotel ili mjadiliane tatizo nini mtaelewana tu.Namba yake ili iweje
Jiangalie bhana
naona umeamka vizuri leo.Mtaftie mwanamke mwenzake umurushe roho kidogo
Namsifu ana busara angekutana na siye kina mwajuma mnuno unaanzia ndani mpaka njeKihekima siri za ndoa hazipaswi kutolewa nje/kujulikana ovyo ovyo bila sababu maalumu.
Kila mwana ndoa anapaswa kuficha siri za ndoa yake.
Hiki kitendo cha kununiana mkiwa pekee yenu halafu mnachangamkiana mkiwa public ni mojawapo ya mbinu ya kutunza siri za ndoa.
[emoji3][emoji3] mbona siku zote huwa Niko vizuri tu loh.naona umeamka vizuri leo.