Mke wangu akiwa nami 'full kununa' ila tukiwa na rafiki zangu anatabasamu na kucheka sana

Mke wangu akiwa nami 'full kununa' ila tukiwa na rafiki zangu anatabasamu na kucheka sana

Namsifu ana busara angekutana na siye kina mwajuma mnuno unaanzia ndani mpaka nje
watu wanabaki kufinyana

bro solve issues na mkeo inawezekana kuna mambo hayapo sawa or haumpi vizuri
Sasa mtu kwenye Mambo anatoa ushirikiano hadi mwisho ila tatizo unaona liko palepale
 
baadhi ya wanawake ni wahanga wa hali hiyo hasa kama migogoro ya ndani haipati ufumbuzi, kiasili mwanaume hupotezea mambo bt ke hutunza ndo maana unaweza gombana na mkeo akawa anakumbushia hata yalopita miaka 2 nyuma kitu ambacho ni tofauti kwa wanaume

jitahidi kutatua changamoto za ndani kwa wakati ili kuwe na amani ndani kwako..
 
baadhi ya wanawake ni wahanga wa hali hiyo hasa kama migogoro ya ndani haipati ufumbuzi, kiasili mwanaume hupotezea mambo bt ke hutunza ndo maana unaweza gombana na mkeo akawa anakumbushia hata yalopita miaka 2 nyuma kitu ambacho ni tofauti kwa wanaume

jitahidi kutatua changamoto za ndani kwa wakati ili kuwe na amani ndani kwako..
Labda maana kwa hali hii hapana
 
Yaani iko hivi

Ukiwa na mke wako mkiwa wawili hacheki kabisa yaani full kununiana full ukauzu

Ila sasa wakiwepo washkaji na marafiki zako wa wa kazini au hata mtaani unakuta tabasamu halikauki usoni mwake
Yaani ni kucheka mwanzo mwisho
Bashasha za hapa na pale hatari yaani hadi unaona aahh


Sasa wakuu hiki ni nini????
Imekaaje hii
Una kibamia au gwaride halimtoshi
 
Yaani iko hivi

Ukiwa na mke wako mkiwa wawili hacheki kabisa yaani full kununiana full ukauzu

Ila sasa wakiwepo washkaji na marafiki zako wa wa kazini au hata mtaani unakuta tabasamu halikauki usoni mwake
Yaani ni kucheka mwanzo mwisho
Bashasha za hapa na pale hatari yaani hadi unaona aahh


Sasa wakuu hiki ni nini????
Imekaaje hii
Inawezekana wewe huwaga hunaga story za utani utani na mkeo,at least wakija washikaji zako mnataniana na unafurahi naye anafurahi pia.Cheki upya style yako ya maisha hapo home kwako,pia yeye hajawahi kuona tabasamu lako usikute.

Ukikuta mkeo anakuogopa kupitiliza hata hakufanyii mzaha wowote,ujue hiyo ndoa inamtesa sana
 
Easy tu. Mkuu

Mpandishe cheo tu inaonekana cheo alichonacho amekichoka ana miaka kadhaa hajapanda daraja usiwe kama jpm mkuu toka aanze kazi ya kuwa mke anatumikia daraja la TGTS B

KIFUPI ONGEZA MKE AWE MKE MKUBWA
 
Kihekima siri za ndoa hazipaswi kutolewa nje/kujulikana ovyo ovyo bila sababu maalumu.

Kila mwana ndoa anapaswa kuficha siri za ndoa yake.

Hiki kitendo cha kununiana mkiwa pekee yenu halafu mnachangamkiana mkiwa public ni mojawapo ya mbinu ya kutunza siri za ndoa.
Mkuu ila hizi zinazoitwa SIRI muda "mwingine" ni hatari saana ...kwa ustawi wa ndoa .
 
1. Haupo fun wala huna story za mara kwa mara au labda personality zenu zinafanana kama ni wakimya au labda hazirandani, mwenzio labda anapenda story af ww unapenda ukimya automatically anakuona Boring

2. Mmezoeana na mnaishi kimazoea yaani kama ubunifu wa kutengeneza furaha ndogo ndogo ni kama upo ukingoni. Kiufupi Hakuna bashasha wala hakuna jipya

3. Mazoea yetu ya kibongo kwenda extra miles kwa ajili ya kufurahisha wageni au ndugu ili kutengeneza CV nzuri ya Nyumba hata kama ndani kunaungua. mfano kutumia vyombo au vyakula special , kuacha kutumia Pc au smartphones ilhali ni addicts wazuri tu

Ila Wote humu Tunabashiri tu maana hakuna anaekujua wewe wala mkeo katika personal level hivyo, majibu sahihi zaidi yapo humo humo ndani mwenu
 
Back
Top Bottom