Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Huwezi kununa mbele za wageni, mkigombana wawili, wageni wakija inabidi mjichekeshe wakiondoka mnuno unaendelea....Kwanini asinune kama anavyonuna ndani na mume wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kununa mbele za wageni, mkigombana wawili, wageni wakija inabidi mjichekeshe wakiondoka mnuno unaendelea....Kwanini asinune kama anavyonuna ndani na mume wake?
Naunga mkono hoja mkuuNdoa ni ngumu jamani. Acheni tu!
Uigizaji...Huwezi kununa mbele za wageni, mkigombana wawili, wageni wakija inabidi mjichekeshe wakiondoka mnuno unaendelea....
Egizaktili!!!Kwa haraka haraka, huyu jamaa anamkera mke, ila mke akiona watu inabidi avunge tu acheke...
Mpenzi na ujuzi wapi na wapi,yalimshinda Adam kwa Lilth tutayaweza sie.Kila jambo ni gumu ukiwa huna ujuzi nalo, halafu kila jambo lina umuhimu wake.
Tujitahidi kujifunza mambo ambayo hatuna ujuzi nayo ili tuweze kuyakabili kadri ya mahitaji yetu
Utaishia kupata Sukari, BP na Figo kufail kama utajifanya unamfuchia mwanamke Siri huku unaumiaKihekima siri za ndoa hazipaswi kutolewa nje/kujulikana ovyo ovyo bila sababu maalumu.
Kila mwana ndoa anapaswa kuficha siri za ndoa yake.
Hiki kitendo cha kununiana mkiwa pekee yenu halafu mnachangamkiana mkiwa public ni mojawapo ya mbinu ya kutunza siri za ndoa.
Hatuyawezi ila hatuwezi kushindwa kujitahidi.Mpenzi na ujuzi wapi na wapi,yalimshinda Adam kwa Lilth tutayaweza sie.
Siri anapaswa itolewe kwa sababu maalum, sio ovyo ovyo kama tunavyofikiriaUtaishia kupata Sukari, BP na Figo kufail kama utajifanya unamfuchia mwanamke Siri huku unaumia
Hii ndio style yangu mkuu kwa mkewangu ila ni hatari maana akipata jamaa anaejua kuongea na kumchekesha unaweza ukapigiwaMkuu ndivyo walivyo hawa viumbe...ukirudi home salimia, kula, oga, lala kesho amka mapema nenda zako kazini.
Kwahio atekenywe auSasa kama humsisimui acheke nini?
AhahahahahHiyo ni noma.....
hiyo anakuonyesha sio we pekee unayeweza kumletea furaha