Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahio atekenywe au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwahio atekenywe au
Hii pombe uliokunywa imekupenda usiiache 😂Mtaftie mwanamke mwenzake umurushe roho kidogo
Duh ukweli mchungu😅Kuna rafiki yangu na yeye aliwahi kuniambia kisa Kama chako .Mke wake toka wameoana hajawahi kucheka wakiwa pamoja lakini akiwa na msaidizi wa kazi cheko Kama shangingi kaona bia za uvuguvugu.Yeye akaenda mbali zaidi mume akirudi ye anaingia chumbani ,mume akiingia chumbani ye anaenda sebuleni.Kufupisha stori hakuna ndoa Sasa hivi washaachana.Hakupendi huyo.
"Kila kitu" is such a strong word.Furaha ipi sasa wakati kila kitu anatimiziwa kwenye ndoa
Una uhakika ni mke lakini? Asije akawa ni girlfriend.Yaani iko hivi
Ukiwa na mke wako mkiwa wawili hacheki kabisa yaani full kununiana full ukauzu
Ila sasa wakiwepo washkaji na marafiki zako wa wa kazini au hata mtaani unakuta tabasamu halikauki usoni mwake
Yaani ni kucheka mwanzo mwisho
Bashasha za hapa na pale hatari yaani hadi unaona aahh
Sasa wakuu hiki ni nini????
Imekaaje hii
Sasa hivi kuwa wewe wa kwanza kukasirika, usimchekee mwezi mzima ishi nae kama kambi ya jeshi...Yaani iko hivi
Ukiwa na mke wako mkiwa wawili hacheki kabisa yaani full kununiana full ukauzu
Ila sasa wakiwepo washkaji na marafiki zako wa wa kazini au hata mtaani unakuta tabasamu halikauki usoni mwake
Yaani ni kucheka mwanzo mwisho
Bashasha za hapa na pale hatari yaani hadi unaona aahh
Sasa wakuu hiki ni nini????
Imekaaje hii
Hatari mkuu na yeye aliambiwa akadai ni mambo ya wanawake tu atakaa sawa .Mara akawa hata kusafiri anadai kila mtu apande usafiri anaoujua mwisho wa jamaa yangu umekuwa mbaya sana aisee.Mambo yanaanzaga hivyo hivyo taratibu taribu.Duh ukweli mchungu😅
Wa hivyo wanatakaga atoe gundu tu ila kimsingi anakuwa hayupo tayari na ndoa😅😅😅!!! Kuna mmoja jana aliniambia kamwe nisije nikamlaghai na vitu mwanamke ili nimdrag into marriage ile sijui unampa hela na kumuonesha vitu vyako mwanamke ili akukubali! It never works well in the future time! Mara nyingi wanakuwa hawana true love ila wana fake tu waolewe kuheshimishwa!Yani mkuu Extrovert accha kabisa, minawake ya kibongo unaowa alakini ukubali umeolewa, ila wachache sana wanaojitambua.
Yani mambo ya kawaida kutengwa na mkeo bila sababu! Haaa jamaa alijipa false hopes ila hilo tu la mke kunitamkia kila mtu apande usafiri wake ningefukuza hio nyoka!Hatari mkuu na yeye aliambiwa akadai ni mambo ya wanawake tu atakaa sawa .Mara akawa hata kusafiri anadai kila mtu apande usafiri anaoujua mwisho wa jamaa yangu umekuwa mbaya sana aisee.Mambo yanaanzaga hivyo hivyo taratibu taribu.
Ila ni upumbavu tofauti ambazo huwezi kuzisema unampa hard gestures tu mwenzio hio inakuwa ndoa au upumbavuSafi hiyo kwani hataki watu wajue tofauti zenu!
Hahahah jamaa anajiuliza mpaka sasa nini ni nini na kwanini? Hana jibu maskini😂😂😂Mke anajitahidi kutunza siri ila jamaa bado hajagundua
😂😂😂😂😂😂 hilo ni swala mtambuka, peculiar issues!!!Kama mambo unapewa vizuri relax endelea na maisha yako
nikajua unanuniwa mpaka kwenye mambo
Ahahahahah manzi ni snitch laaana😂😂😂Hyo ndo tafsir halis ya hawa ndugu zetu..unafki wa kiwango cha juu
Huwa simuelew demu wangu inapotokea tuko wote halaf akutane na rafik yake ..yaan jinsi watakavyoanza sifiana hapo..mara hee una glow tu..unapendeza jaman..sasa ngoja huyo rafik yake aondoke..utaskia...mhhh..huyu nae ndo kunenepaje hvyo...au aisee mbona mtoto wa kike yuko rafu hiv skuhiz..huwa namwangalia nacheka..utamskia..
"Niiiin"..
Mi nabak kusema..hapana mkuu sio kitu..well mi na dem wangu tunaitana "mkuu"
Anapaswa kujitathmini haraka sanaHahahah jamaa anajiuliza mpaka sasa nini ni nini na kwanini? Hana jibu maskini[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mke mwanzo alikuwa anacheka na ghafla ameanza kuwa mtu wa kunununia uwepo wa jamaa hio ni indicator ya kuwa “Fun Department” kuna walakiniAnapaswa kujitathmini haraka sana
Akichunguza simu ya mkewe ghafla atapata jibu kamiliHapo kuna kijana keshambandua mbususu tayari