cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
[emoji3][emoji3][emoji3]Hii pombe uliokunywa imekupenda usiiache [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]Hii pombe uliokunywa imekupenda usiiache [emoji23]
Chunguza simu yake, majibu yapo humoNa experience hicho kitu kwa mkewangu watu wengine anaongea nao vzr tu kwa bashasha lkn kwangu anakua na majibu ya mkato.
Kweli alafu home narudi bila ya taarifa na muda tofauti tofautiChunguza simu yake, majibu yapo humo
Hahahah wanakera kinoma yani mie sasa huyo mke wa hivyo ndio lazima nimzabue mikofi! Akinijibu kishoga namuwasha kofi!Sipendi manawake ya style iyo,yanapenda kununa, kukasilika na kutoa majibu yamkato.
Tunaambiwa "Usikosee kuowa" ukipata mke mwema shukulu sana kiongozi.
Hahahah..wanawake ni viumbe wa ajabu snaa..ila mi nimeshawazoea skuhiz huwa nakaa kimya tu....Ahahahahah manzi ni snitch laaana[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanaume ananunaga ukimu entertain ila akikutana na chuma kamili hawezi kuleta utoto 😂😂😂!!! Pole huyo ni mamaz boyKuna na wanaume wenye hii tabia in short wanachefua
[emoji3][emoji3][emoji3]akinuna una mwacha ka alivo na naendelea na mengine, mtoto wa kiume kununa haipendezi.Mwanaume ananunaga ukimu entertain ila akikutana na chuma kamili hawezi kuleta utoto [emoji23][emoji23][emoji23]!!! Pole huyo ni mamaz boy
Mama mbona analeta mapepe sasa siku zote anawahudumia 😆😄😄 haoni kama anakutaka ila siku ambayo hajakuuliza kinywaji,,,likely alikuwa off mood ndio manzi yako anamaindi loh!!!Hahahah..wanawake ni viumbe wa ajabu snaa..ila mi nimeshawazoea skuhiz huwa nakaa kimya tu....
Kuna sku1 tuko na shemej yenu mitaa ya goba kwenye baa moja inaitwa triple b...sasa wale jamaa wana counter nying nying pale..mi napendaga kaa kaunta ya nyuma hapa kuna dada m1 yuko kaunta hapo ana shape ya ajab..sasa amenizoea flan..bas namwambiaga ukiniona na shemej yako uwe na adab.sasa nikiwa nae tunakula vitu...huyo dada wa kaunta anakuja tuhudumia mwenyew.yaan anatoka kaunta kwa ajil yetu....sasa sku1 kaja wakat anauliza vinywaj akamuuliza shemej yenu pekee yake..mi akaniacha sabab anajua vtu vyangu..sasaa alivyotoka...shemej yenu akasema "hee mbona hajakuuliza..anakutaka nin"
Ikabid nianze kucheka...akasema..."huyo dada simtak atuhudumie hapa"....nkasema sawa mama ucjal hatotuhudumia tena.
Alinuna usikumzima...et.."yule dada anakuchekea anakutaka yule..nmegundua kitu...sio kawaida"
Mi ilibid niwe nacheka tu nkasema..dah wanawake hawa akil zao
Bwege nazi huyo! Kununa anune mwanamke na dawa yake inakuwa mkwaju tu hadi acheke😂😂😂[emoji3][emoji3][emoji3]akinuna una mwacha ka alivo na naendelea na mengine, mtoto wa kiume kununa haipendezi.
Hapo utamuwezaKweli alafu home narudi bila ya taarifa na muda tofauti tofauti
[emoji3][emoji3]Bwege nazi huyo! Kununa anune mwanamke na dawa yake inakuwa mkwaju tu hadi acheke[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli mie ukiwa manz yangu nikigundua unanuna kwa dramaz nakutekenya af ukianza cheka nakuchakata 😂😂😂[emoji3][emoji3]
Atleast u can make some jokes na GF wako, wengine makauzu una make some jokes anakuwa kama anaona gogo tu au bango barabarani! Kwann mwanamke asinune ssa, anakuwa bored kwakweli. Uchangamfu muhimu sana kwenye mahusiano na mmoja wenu anawezajitahd kuchangamsha mahusiano had akachoka maana hakuna anachopalilia kabisa, uchangamfu wake hauna support.Hyo ndo tafsir halis ya hawa ndugu zetu..unafki wa kiwango cha juu
Huwa simuelew demu wangu inapotokea tuko wote halaf akutane na rafik yake ..yaan jinsi watakavyoanza sifiana hapo..mara hee una glow tu..unapendeza jaman..sasa ngoja huyo rafik yake aondoke..utaskia...mhhh..huyu nae ndo kunenepaje hvyo...au aisee mbona mtoto wa kike yuko rafu hiv skuhiz..huwa namwangalia nacheka..utamskia..
"Niiiin"..
Mi nabak kusema..hapana mkuu sio kitu..well mi na dem wangu tunaitana "mkuu"
Hahaaaa, abiria kachunga mzigo wake ipasavyoHahahah..wanawake ni viumbe wa ajabu snaa..ila mi nimeshawazoea skuhiz huwa nakaa kimya tu....
Kuna sku1 tuko na shemej yenu mitaa ya goba kwenye baa moja inaitwa triple b...sasa wale jamaa wana counter nying nying pale..mi napendaga kaa kaunta ya nyuma hapa kuna dada m1 yuko kaunta hapo ana shape ya ajab..sasa amenizoea flan..bas namwambiaga ukiniona na shemej yako uwe na adab.sasa nikiwa nae tunakula vitu...huyo dada wa kaunta anakuja tuhudumia mwenyew.yaan anatoka kaunta kwa ajil yetu....sasa sku1 kaja wakat anauliza vinywaj akamuuliza shemej yenu pekee yake..mi akaniacha sabab anajua vtu vyangu..sasaa alivyotoka...shemej yenu akasema "hee mbona hajakuuliza..anakutaka nin"
Ikabid nianze kucheka...akasema..."huyo dada simtak atuhudumie hapa"....nkasema sawa mama ucjal hatotuhudumia tena.
Alinuna usikumzima...et.."yule dada anakuchekea anakutaka yule..nmegundua kitu...sio kawaida"
Mi ilibid niwe nacheka tu nkasema..dah wanawake hawa akil zao
Yaani iko hivi
Ukiwa na mke wako mkiwa wawili hacheki kabisa yaani full kununiana full ukauzu
Ila sasa wakiwepo washkaji na marafiki zako wa wa kazini au hata mtaani unakuta tabasamu halikauki usoni mwake
Yaani ni kucheka mwanzo mwisho
Bashasha za hapa na pale hatari yaani hadi unaona aahh
Sasa wakuu hiki ni nini????
Imekaaje hii
Hahahah..ndo wanawake zetu hawa..Mama mbona analeta mapepe sasa siku zote anawahudumia [emoji38][emoji1][emoji1] haoni kama anakutaka ila siku ambayo hajakuuliza kinywaji,,,likely alikuwa off mood ndio manzi yako anamaindi loh!!!
Haha hiyo ya kimasihara ya wapenzi inakuwaga tamu balaaKweli mie ukiwa manz yangu nikigundua unanuna kwa dramaz nakutekenya af ukianza cheka nakuchakata [emoji23][emoji23][emoji23]
Unaweza jisumbua na simu yake kumbe walaa. Hivi ujue yale maudhi yenu madogo madogo na makubwa kama ya kucheat huwa mnafikiri tunasamehe eeh? Sasa hayo ndio huwa matokeo yake, unakuta mtu ulimpenda ila ndio akakuletea upuuzi upendo ukaanza kupungua mwisho unaishi nae basi tu ilimradi ulee watoto.Chunguza simu yake, majibu yapo humo
Hii tam kwa madem wenye dramaz! Na saingine kanajinunisha ili ukapige mwiko tu 😂😂😂Haha hiyo ya kimasihara ya wapenzi inakuwaga tamu balaa
Ni hatar....ila ndo wanawake zetu hawa..changamotoHahaaaa, abiria kachunga mzigo wake ipasavyo