Mke wangu akiwa nami 'full kununa' ila tukiwa na rafiki zangu anatabasamu na kucheka sana

Mke wangu akiwa nami 'full kununa' ila tukiwa na rafiki zangu anatabasamu na kucheka sana

Ahahahahah manzi ni snitch laaana[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah..wanawake ni viumbe wa ajabu snaa..ila mi nimeshawazoea skuhiz huwa nakaa kimya tu....

Kuna sku1 tuko na shemej yenu mitaa ya goba kwenye baa moja inaitwa triple b...sasa wale jamaa wana counter nying nying pale..mi napendaga kaa kaunta ya nyuma hapa kuna dada m1 yuko kaunta hapo ana shape ya ajab..sasa amenizoea flan..bas namwambiaga ukiniona na shemej yako uwe na adab.sasa nikiwa nae tunakula vitu...huyo dada wa kaunta anakuja tuhudumia mwenyew.yaan anatoka kaunta kwa ajil yetu....sasa sku1 kaja wakat anauliza vinywaj akamuuliza shemej yenu pekee yake..mi akaniacha sabab anajua vtu vyangu..sasaa alivyotoka...shemej yenu akasema "hee mbona hajakuuliza..anakutaka nin"

Ikabid nianze kucheka...akasema..."huyo dada simtak atuhudumie hapa"....nkasema sawa mama ucjal hatotuhudumia tena.

Alinuna usikumzima...et.."yule dada anakuchekea anakutaka yule..nmegundua kitu...sio kawaida"

Mi ilibid niwe nacheka tu nkasema..dah wanawake hawa akil zao
 
Kuna na wanaume wenye hii tabia in short wanachefua
Mwanaume ananunaga ukimu entertain ila akikutana na chuma kamili hawezi kuleta utoto 😂😂😂!!! Pole huyo ni mamaz boy
 
Hahahah..wanawake ni viumbe wa ajabu snaa..ila mi nimeshawazoea skuhiz huwa nakaa kimya tu....

Kuna sku1 tuko na shemej yenu mitaa ya goba kwenye baa moja inaitwa triple b...sasa wale jamaa wana counter nying nying pale..mi napendaga kaa kaunta ya nyuma hapa kuna dada m1 yuko kaunta hapo ana shape ya ajab..sasa amenizoea flan..bas namwambiaga ukiniona na shemej yako uwe na adab.sasa nikiwa nae tunakula vitu...huyo dada wa kaunta anakuja tuhudumia mwenyew.yaan anatoka kaunta kwa ajil yetu....sasa sku1 kaja wakat anauliza vinywaj akamuuliza shemej yenu pekee yake..mi akaniacha sabab anajua vtu vyangu..sasaa alivyotoka...shemej yenu akasema "hee mbona hajakuuliza..anakutaka nin"

Ikabid nianze kucheka...akasema..."huyo dada simtak atuhudumie hapa"....nkasema sawa mama ucjal hatotuhudumia tena.

Alinuna usikumzima...et.."yule dada anakuchekea anakutaka yule..nmegundua kitu...sio kawaida"

Mi ilibid niwe nacheka tu nkasema..dah wanawake hawa akil zao
Mama mbona analeta mapepe sasa siku zote anawahudumia 😆😄😄 haoni kama anakutaka ila siku ambayo hajakuuliza kinywaji,,,likely alikuwa off mood ndio manzi yako anamaindi loh!!!
 
[emoji3][emoji3][emoji3]akinuna una mwacha ka alivo na naendelea na mengine, mtoto wa kiume kununa haipendezi.
Bwege nazi huyo! Kununa anune mwanamke na dawa yake inakuwa mkwaju tu hadi acheke😂😂😂
 
Hyo ndo tafsir halis ya hawa ndugu zetu..unafki wa kiwango cha juu

Huwa simuelew demu wangu inapotokea tuko wote halaf akutane na rafik yake ..yaan jinsi watakavyoanza sifiana hapo..mara hee una glow tu..unapendeza jaman..sasa ngoja huyo rafik yake aondoke..utaskia...mhhh..huyu nae ndo kunenepaje hvyo...au aisee mbona mtoto wa kike yuko rafu hiv skuhiz..huwa namwangalia nacheka..utamskia..

"Niiiin"..

Mi nabak kusema..hapana mkuu sio kitu..well mi na dem wangu tunaitana "mkuu"
Atleast u can make some jokes na GF wako, wengine makauzu una make some jokes anakuwa kama anaona gogo tu au bango barabarani! Kwann mwanamke asinune ssa, anakuwa bored kwakweli. Uchangamfu muhimu sana kwenye mahusiano na mmoja wenu anawezajitahd kuchangamsha mahusiano had akachoka maana hakuna anachopalilia kabisa, uchangamfu wake hauna support.
 
Hahahah..wanawake ni viumbe wa ajabu snaa..ila mi nimeshawazoea skuhiz huwa nakaa kimya tu....

Kuna sku1 tuko na shemej yenu mitaa ya goba kwenye baa moja inaitwa triple b...sasa wale jamaa wana counter nying nying pale..mi napendaga kaa kaunta ya nyuma hapa kuna dada m1 yuko kaunta hapo ana shape ya ajab..sasa amenizoea flan..bas namwambiaga ukiniona na shemej yako uwe na adab.sasa nikiwa nae tunakula vitu...huyo dada wa kaunta anakuja tuhudumia mwenyew.yaan anatoka kaunta kwa ajil yetu....sasa sku1 kaja wakat anauliza vinywaj akamuuliza shemej yenu pekee yake..mi akaniacha sabab anajua vtu vyangu..sasaa alivyotoka...shemej yenu akasema "hee mbona hajakuuliza..anakutaka nin"

Ikabid nianze kucheka...akasema..."huyo dada simtak atuhudumie hapa"....nkasema sawa mama ucjal hatotuhudumia tena.

Alinuna usikumzima...et.."yule dada anakuchekea anakutaka yule..nmegundua kitu...sio kawaida"

Mi ilibid niwe nacheka tu nkasema..dah wanawake hawa akil zao
Hahaaaa, abiria kachunga mzigo wake ipasavyo
 
Wala usiwe na wasiwasi. Ni kuchokana tu kwa sababu ya kukaa pamoja muda mrefu. Inatokea katika familia nyingi. Hata kwa upande wa wanaume.
Yaani iko hivi

Ukiwa na mke wako mkiwa wawili hacheki kabisa yaani full kununiana full ukauzu

Ila sasa wakiwepo washkaji na marafiki zako wa wa kazini au hata mtaani unakuta tabasamu halikauki usoni mwake
Yaani ni kucheka mwanzo mwisho
Bashasha za hapa na pale hatari yaani hadi unaona aahh


Sasa wakuu hiki ni nini????
Imekaaje hii
 
Mama mbona analeta mapepe sasa siku zote anawahudumia [emoji38][emoji1][emoji1] haoni kama anakutaka ila siku ambayo hajakuuliza kinywaji,,,likely alikuwa off mood ndio manzi yako anamaindi loh!!!
Hahahah..ndo wanawake zetu hawa..
 
Chunguza simu yake, majibu yapo humo
Unaweza jisumbua na simu yake kumbe walaa. Hivi ujue yale maudhi yenu madogo madogo na makubwa kama ya kucheat huwa mnafikiri tunasamehe eeh? Sasa hayo ndio huwa matokeo yake, unakuta mtu ulimpenda ila ndio akakuletea upuuzi upendo ukaanza kupungua mwisho unaishi nae basi tu ilimradi ulee watoto.
 
Back
Top Bottom