Mke wangu akiwa nami 'full kununa' ila tukiwa na rafiki zangu anatabasamu na kucheka sana

Mke wangu akiwa nami 'full kununa' ila tukiwa na rafiki zangu anatabasamu na kucheka sana

Unaweza jisumbua na simu yake kumbe walaa. Hivi ujue yale maudhi yenu madogo madogo na makubwa kama ya kucheat huwa mnafikiri tunasamehe eeh? Sasa hayo ndio huwa matokeo yake, unakuta mtu ulimpenda ila ndio akakuletea upuuzi upendo ukaanza kupungua mwisho unaishi nae basi tu ilimradi ulee watoto.
Dah, haturudii tena wapenzi wetu mtusamehe tuwe kama mwanzo
 
Unaweza jisumbua na simu yake kumbe walaa. Hivi ujue yale maudhi yenu madogo madogo na makubwa kama ya kucheat huwa mnafikiri tunasamehe eeh? Sasa hayo ndio huwa matokeo yake, unakuta mtu ulimpenda ila ndio akakuletea upuuzi upendo ukaanza kupungua mwisho unaishi nae basi tu ilimradi ulee watoto.
Hapo kwel....nakumbuka enz hzo kuna shemej yenu wa zaman aligundua nmecheat.akanambia...kukuacha sikuach ilaa chamoto utakiona...nakwel..chamoto nilikiona had ilibid tuachane tu walah.
 
Dah, haturudii tena wapenzi wetu mtusamehe tuwe kama mwanzo
Kuna mama hajawahi kumsaliti mumewe na ameapa hatomsaliti ila hana upendo na mumewe kabisaaa. Anadai hakuwahi kufikiria kuwa ipo siku mwanaume alompenda vibaya sana itafikia hatua amuone kama mdudu, yes kama "mdudu". Anasema mumewe amemtesa sana na mambo ya michepuko hivyo moyo wake umekufa ganzi hata asafiri mwaka hata hammiss na uwepo wake nyumbani huwa ni kero kwake. Yupo tu kwaajili ya kulea wtoto basi.
 
Hii tam kwa madem wenye dramaz! Na saingine kanajinunisha ili ukapige mwiko tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu we faller utakuwa mzinzi sana we[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanamke mtundu hakika huwa mtamu sana
 
Hapo kwel....nakumbuka enz hzo kuna shemej yenu wa zaman aligundua nmecheat.akanambia...kukuacha sikuach ilaa chamoto utakiona...nakwel..chamoto nilikiona had ilibid tuachane tu walah.
Utashangaa hakupikii tena, hafui nguo zako wala unyumba hakupi au ndio ile anakupa ilimradi. Maana haufurahii uwepo wako. Mnaanza oooh wanawake mkishaolewa mnabadilika kumbe wewe ndio umembadilisha.
 
Kuna mama hajawahi kumsaliti mumewe na ameapa hatomsaliti ila hana upendo na mumewe kabisaaa. Anadai hakuwahi kufikiria kuwa ipo siku mwanaume alompenda vibaya sana itafikia hatua amuone kama mdudu, yes kama "mdudu". Anasema mumewe amemtesa sana na mambo ya michepuko hivyo moyo wake umekufa ganzi hata asafiri mwaka hata hammiss na uwepo wake nyumbani huwa ni kero kwake. Yupo tu kwaajili ya kulea wtoto basi.
Dah hili swala ni zito sana aisee ntajitahidi nisimsaliti wife ila endapo hatonletea upuuzi wa kuninyima tunda kimasihara au usumbufu wa kijinga
 
Kuna mama hajawahi kumsaliti mumewe na ameapa hatomsaliti ila hana upendo na mumewe kabisaaa. Anadai hakuwahi kufikiria kuwa ipo siku mwanaume alompenda vibaya sana itafikia hatua amuone kama mdudu, yes kama "mdudu". Anasema mumewe amemtesa sana na mambo ya michepuko hivyo moyo wake umekufa ganzi hata asafiri mwaka hata hammiss na uwepo wake nyumbani huwa ni kero kwake. Yupo tu kwaajili ya kulea wtoto basi.
Huyu anaweza kuua
 
Utashangaa hakupikii tena, hafui nguo zako wala unyumba hakupi au ndio ile anakupa ilimradi. Maana haufurahii uwepo wako. Mnaanza oooh wanawake mkishaolewa mnabadilika kumbe wewe ndio umembadilisha.
Sasa hapo si anajikomoa mwenyewe?
 
Umewahi kumsaliti?
Kwakweli hata mimi niko kwenye hali hiyo na mume wangu, tokea anisaliti to be honest sijisikii kumpenda wala kumfurahia tena. Na sijui tu natokaje kwenye hali hii.
Muache...
 
Utashangaa hakupikii tena, hafui nguo zako wala unyumba hakupi au ndio ile anakupa ilimradi. Maana haufurahii uwepo wako. Mnaanza oooh wanawake mkishaolewa mnabadilika kumbe wewe ndio umembadilisha.
Kimsingi kwa hili nikiri tu kweli inaumiza sana hisia za mwenza naona inachangia sana kuharibu feelings za mrembo!

Nina rafiki yangu nae amefikia kwenye hii situation ya ganzi jamaa yake wanaishi tu sababu anamlisha yeye na mtoto ila ameapa akipata kazi anasepa!
 
Back
Top Bottom