Mke wangu akiwa nami 'full kununa' ila tukiwa na rafiki zangu anatabasamu na kucheka sana

Namsifu ana busara angekutana na siye kina mwajuma mnuno unaanzia ndani mpaka nje
watu wanabaki kufinyana

bro solve issues na mkeo inawezekana kuna mambo hayapo sawa or haumpi vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…