Mke wangu alibadilika baada ya kumfungulia biashara. Nifanye nini kuokoa ndoa yangu?

Mrudishe kwao hata kwa miezi mitatu, alafu kula mikausho mikali. Alafu yeye mwenyewe atajifunza kama mama yake,hao ndugu zake na hao jamaa zake wanaomtumia meseji wataweza kumhudumia na kumtunza kama ufanyavyo....akirudi atakuwa na funzo la maisha.
Huu ndio ushauri wa kufuata. Mnawachekea sana hawa wanawake. Mie hata nikirudi nyumbani hamna kuongea ongea na simu ukiconcentrate na simu unakula makofi na kurudi kwenu uje na wazazi na maelezo yaliyonyooka

Nikulishe ,nikuvishe nikufungulie biashara nikununulie magari, nitunze ukoo wenu halafu unizingue akili. Silei ujinga hata wanangu wanajua hilo
 
Pole Sana mkuu, Kaaa muongee na mkeo kwanza, muwekane Sawa kuhusu Hilo, ongeza upendo kwa mke wako. Mjali na kuweka ratiba ya kutoka naye out, ukiweza mpitie mrudi naye nyumabn baada ya kaz, pata muda wa kupumzika ili umgonge vizuri. unavyohangaika na hela na ndoa lazima uihangaikie ili kuilinda. Ukiwa makini na ndoa yako hata huyo rafiki yako hawez kupata nafas kwa mkeo.
 
Mada za mapenzi siku hizi zimekuwa nyingi mno alafu wanaume ndio wengi tunaolalamika sana siku hizi hii inasikitisha sana, hawa wanawake siku hizi wamekuwa ni wakuwaumiza wanaume tu sijui tunafeli wapi???
 
Mkuu pole kwa hili, ila halitakiwi kukupa shida sana. Ukweli ni kwamba wake zetu wanatongozwa kila mahali iwe kwenye usafiri, kanisani/msikitini, makazini na mahali pengine popote wanapoweza kukutana na mwanaume. La muhimu ni mke kujua nini maana ya kuwa mke wa mtu na ajielewe. Akitongozwa na kukubali basi ajue anajinajisi yeye, mme wake na familia kwa ujumla.
Kwa mazingira hayo, wacha mke aendelee na biashara, awe makini zaidi na muaminifu pale anapokuwa na changamoto ya namna hii, inayomshinda akushirikishe muitatue pamoja.
Jenga uaminifu na imani kwake na yeye hivyo afanye hivyo kwako pia. Maisha yataendelea kuwa swafi kabisa.
Matatizo mengi ya ndoa yanamalizwa kwa kuzungumza, hivyo hata ninyi zungumzeni. Kukiwa na nia njema kwa kila mmoja wenu, kila kitu kitakaa sawa.
 
Yes, kumbe wanaume halisi wenye miiko na maadili yetu ya asili ya kiafrika bado wapo? Sikujua hili, hongera kaka umetuwakilisha. Mungu abariki kazi za mikono yako.
 
Wanawake wakianza kushika hela huwa wanaanza dharau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo sio biashara Bali ni tabia za mkeo.
 
Tatizo wanaume wengi tukishaoa tunakua busy Sana na maisha. Mke anahitahi ukaribu, kumjali na tendo la ndoa. Ukijisahau akatokea boya akamfanyia hayo atachukua nafas yako. Lazma tutenge muda kwa ajili ya ndoa. Asilimia kubwa ya ndoa zenye migogoro wanaume hatuzip nafas ndoa. Ila ni muhimu hata Kama mke wako ana tabia gan. Ukimiweka karibu na ukaongeza utundu na ubunifu kwenye tendo anatulia. Ila Kama utaachukulia Hilo Kama Jambo la ziada kikubwa kutafuta maisha, vijana wa mtaani watachukua nafas yako. Na wakigonga wanagonga kweli. Jaman tufanye maisha Ila tutenge muda wa ndoa.
 
Kusanya mtaji taratibu na mwisho mwambie umetapeliwa
 
mtu uangaike juani kulisha na kuitunza familia na kitandani napo ukomae tena duh!
Kweli no body can stop reggae.
 
Mwanamke hatakiwi kuwa na cofidence yoyote ile na akiwa nayo atakusumbua akiwa mzuri atakudharau akiwa na hela atakutishia mpaka ngumi ndo maana wazee wetu walikuwa wanawaweka nyumbani tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…