Mke wangu ameanza kunizoea. Naona vimigogoro vimeanza

Mke wangu ameanza kunizoea. Naona vimigogoro vimeanza

Sisi kazini kwetu tunafunishwq masuala ya personel data protection (ulinzi wa taarifa binafsi) huruhusiwi mtu yoyote kupekua simu yako , awe mke au watoto. Haya mambo ya kuruhusu watu kupekua simu yako ovyo, kuna siku utaishia jela.
 
Wakuu,
Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa. Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia.

Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana. Baada kuona sina mambo mengi sasa ugomvi wake upo kwene simu.

Mimi nilimkataza asshike simu yangu saizi ndio ugomvi ulipo.mwanzo alikua anachukua maagizo bila maswali saizi home hakukaliki anataka simu yangu. Tena siyo tu kuangalia mara moja anataka awe anaichukua akitaka na kuangalia anachotaka. Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele.

Yaani nimegundua mwanamke hata kama hakuna tatizo atatengeneza tatizo!
huyo ni mkeo,unalala nae uchi kitandani,kwanini mambo hayo unayaleta hapa?
 
Hapa ndo unagundua civilization bongo bado sana.

Kuna maana gani ya kuoana kama mnajijua hamuwezi kutulia kwenye ndoa zenu?

Tuashume uko na michepuko, Huwezi kuthibiti mawasiliano na michepuko wako mpaka uogope kumpa simu mkeo ilimradi tu ajisikie yuko peke yake.

Trust me shida iko kwako wewe boss.
 
Wakuu,
Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa. Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia.

Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana. Baada kuona sina mambo mengi sasa ugomvi wake upo kwene simu.

Mimi nilimkataza asshike simu yangu saizi ndio ugomvi ulipo.mwanzo alikua anachukua maagizo bila maswali saizi home hakukaliki anataka simu yangu. Tena siyo tu kuangalia mara moja anataka awe anaichukua akitaka na kuangalia anachotaka. Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele.

Yaani nimegundua mwanamke hata kama hakuna tatizo atatengeneza tatizo!

Wameanza Kumla Kaka! Pole sana
 
Sisi kazini kwetu tunafunishwq masuala ya personel data protection (ulinzi wa taarifa binafsi) huruhusiwi mtu yoyote kupekua simu yako , awe mke au watoto. Haya mambo ya kuruhusu watu kupekua simu yako ovyo, kuna siku utaishia jela.
Mimi nikioa hyo sheria sitaitambua.

Unaweza ukawa unaishi na mtu, kumbe ana suka mipango ya kukuua
 
Mimi simu yangu haishikwi na ina pattern na yeye haijui, yake ina pattern namimi ndio nilimuwekea naijua,, mwaka WA 3 huu na halilii simu yangu, akiitaka tuu nimtolee pattern simu yangu kuna namna namuangalia yeye mwenyewe anapiga kimya, kua dictator usicheke nae
Basi unaona rahaa mwenyewee? Shtukaa unapigwaa weyeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu,
Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa. Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia.

Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana. Baada kuona sina mambo mengi sasa ugomvi wake upo kwene simu.

Mimi nilimkataza asshike simu yangu saizi ndio ugomvi ulipo.mwanzo alikua anachukua maagizo bila maswali saizi home hakukaliki anataka simu yangu. Tena siyo tu kuangalia mara moja anataka awe anaichukua akitaka na kuangalia anachotaka. Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele.

Yaani nimegundua mwanamke hata kama hakuna tatizo atatengeneza tatizo!
"Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele"hasa kama utakuwa na michepuko,pole hapo ndio ngoma inaanza kunoga na shetani ndio kashachuchumalia ndoa yako,solution ni kumuweka Mungu karibu na wewe kwa maombi bila kukoma...
 
Yaani nimegundua mwanamke hata kama hakuna tatizo atatengeneza tatizo!

Wanawake wanapga za kijinga sana,ila baadae nitaanza kuish na bek 3 tu,siwez kukaa na mtu anataka kunicontrol
 
Back
Top Bottom