Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Fatilie Ile comment alafu soma Kwa makinihalafu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fatilie Ile comment alafu soma Kwa makinihalafu
Au cyo😎Fatilie Ile comment alafu soma Kwa makini
Aisee hapo kwene kupiga ni ngumuCHAPA MAKOFI YALIYO ENDA SHULE ATAKUHESHIMU USIMCHELEWESHE MAANA UNAVOZIDI KUCHELEWA ATAANZA KURUDI NYUMBANI SAA 5 USIKU
Aisee ukiishi hivi na mwanamke ni hatari sana!Hapo ndipo mnapofeli kwenye ndoa, wewe na yeye ni mwili mmoja wewe unaogopa nini akishika na kusearch muda wowote??? Vinginevyo mkuu wewe ndiye mwenye matatizo! Wewe ukitaka simu yake muda wowote anakupa???? Kama na yeye anakukatalia basi ndoa Yenu haitafika mbali! Unachodai kuwa kakuzoea mwanzo hakuwa hivyo sio kweli, ulikuwa unatumia ubabe tu! Lakini kiukweli mwanamke yupo sahihi, kama kweli unampenda hupaswi kumwekea mipaka kwenye vyitu vyako, msiwe mnaingia kwenye ndoa kama hamjakomaa akili mkuu! Ndoa ni zaidi ya kufanya mapenzi, ndoa ili iwe na amani hivyi vyitu vinahitajika ( uaminifu, uwazi na msamaha) vyote hivyi vimejengwa kwenye upendo! Kama kweli unampenda huwezi kumpa mipaka kwenye simu! Wewe unaficha nini mkuu??? Tena watu wa aina yako ndio wale hata mshahara wako na kipato chako mke wako hajui ! Mkiendelea kuishi hivyo mkuu hiyo sio ndoa mnaigiza tu!ishini na mwanamke kwa akili mkuu! Jua kwamba ana kili tena yamkini kukuliko tofauti yenu ni maumbile tu!!! Mimi na mke wangu tuna miaka mitano kwrnye ndoa na kila mmoja yupo wazi kwa mwenzake kwa kila kitu kuanzia simu muda wowote anaweza kuchukua simu yangu akakaa nayo hata siku nzimu na wala hakuna shida na mimi hivyo hivyo kwa nini tuogapane na wakati sisi ni mwili mmoja???? Mshahara wangu anaujua na yeye najua kipato chake! Jirekibishe mkuu acha mfumo dume!!
Tatizo huwa sio simu, anamtafutia mlango wa migogoro.Kwani ni simu yake hiyo? Khaa, hivi inakuwaje unakagua simu ya mtu mwingine? Mimi sina habari na simu yake.
Kama haya ndio yamekufanya kuoa basi achana na huyo mwanamke mapema sana.nilikua sifuliwi nguo na kupikiwa
kuna raha yake pia
Issue ndigo sana, kuwa mkali kama wiki moja hiv ikiwezekana mchape kofi, mkumbushenyeye ni naniWakuu,
Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa.
Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia.
Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana.
Baada kuona sina mambo mengi sasa ugomvi wake upo kwene simu.
Mimi nilimkataza asshike simu yangu saizi ndio ugomvi ulipo.mwanzo alikua anachukua maagizo bila maswali saizi home hakukaliki anataka simu yangu. Tena siyo tu kuangalia mara moja anataka awe anaichukua akitaka na kuangalia anachotaka. Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele.
Yaan nimegundua mwanamke hata kama hakuna Tatizo atatengeneza tatizo!
Dunia imeaccomadate wajinga wengi sana, usizoe kila kilichoandikwa kwenye Biblia.Hapo ndipo mnapofeli kwenye ndoa, wewe na yeye ni mwili mmoja wewe unaogopa nini akishika na kusearch muda wowote??? Vinginevyo mkuu wewe ndiye mwenye matatizo! Wewe ukitaka simu yake muda wowote anakupa???? Kama na yeye anakukatalia basi ndoa Yenu haitafika mbali! Unachodai kuwa kakuzoea mwanzo hakuwa hivyo sio kweli, ulikuwa unatumia ubabe tu! Lakini kiukweli mwanamke yupo sahihi, kama kweli unampenda hupaswi kumwekea mipaka kwenye vyitu vyako, msiwe mnaingia kwenye ndoa kama hamjakomaa akili mkuu! Ndoa ni zaidi ya kufanya mapenzi, ndoa ili iwe na amani hivyi vyitu vinahitajika ( uaminifu, uwazi na msamaha) vyote hivyi vimejengwa kwenye upendo! Kama kweli unampenda huwezi kumpa mipaka kwenye simu! Wewe unaficha nini mkuu??? Tena watu wa aina yako ndio wale hata mshahara wako na kipato chako mke wako hajui ! Mkiendelea kuishi hivyo mkuu hiyo sio ndoa mnaigiza tu!ishini na mwanamke kwa akili mkuu! Jua kwamba ana kili tena yamkini kukuliko tofauti yenu ni maumbile tu!!! Mimi na mke wangu tuna miaka mitano kwrnye ndoa na kila mmoja yupo wazi kwa mwenzake kwa kila kitu kuanzia simu muda wowote anaweza kuchukua simu yangu akakaa nayo hata siku nzimu na wala hakuna shida na mimi hivyo hivyo kwa nini tuogapane na wakati sisi ni mwili mmoja???? Mshahara wangu anaujua na yeye najua kipato chake! Jirekibishe mkuu acha mfumo dume!!
Kwann umzuiye mpe ashike Kuna vitu unaficha na unavozidi kukataa ndo unatengeneza mazingira azidi kuitaka zaidiWakuu,
Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa.
Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia.
Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana.
Baada kuona sina mambo mengi sasa ugomvi wake upo kwene simu.
Mimi nilimkataza asshike simu yangu saizi ndio ugomvi ulipo.mwanzo alikua anachukua maagizo bila maswali saizi home hakukaliki anataka simu yangu. Tena siyo tu kuangalia mara moja anataka awe anaichukua akitaka na kuangalia anachotaka. Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele.
Yaan nimegundua mwanamke hata kama hakuna Tatizo atatengeneza tatizo!
sijakuzwa malezi ya hivoKwann umzuiye mpe ashike Kuna vitu unaficha na unavozidi kukataa ndo unatengeneza mazingira azidi kuitaka zaidi
Mjinga mwingine huyu, wewe una uwezo wa kumridhisha mwanamke?Kwann umzuiye mpe ashike Kuna vitu unaficha na unavozidi kukataa ndo unatengeneza mazingira azidi kuitaka zaidi