Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndipo mnapofeli kwenye ndoa, wewe na yeye ni mwili mmoja wewe unaogopa nini akishika na kusearch muda wowote??? Vinginevyo mkuu wewe ndiye mwenye matatizo! Wewe ukitaka simu yake muda wowote anakupa???? Kama na yeye anakukatalia basi ndoa Yenu haitafika mbali! Unachodai kuwa kakuzoea mwanzo hakuwa hivyo sio kweli, ulikuwa unatumia ubabe tu! Lakini kiukweli mwanamke yupo sahihi, kama kweli unampenda hupaswi kumwekea mipaka kwenye vyitu vyako, msiwe mnaingia kwenye ndoa kama hamjakomaa akili mkuu! Ndoa ni zaidi ya kufanya mapenzi, ndoa ili iwe na amani hivyi vyitu vinahitajika ( uaminifu, uwazi na msamaha) vyote hivyi vimejengwa kwenye upendo! Kama kweli unampenda huwezi kumpa mipaka kwenye simu! Wewe unaficha nini mkuu??? Tena watu wa aina yako ndio wale hata mshahara wako na kipato chako mke wako hajui ! Mkiendelea kuishi hivyo mkuu hiyo sio ndoa mnaigiza tu!ishini na mwanamke kwa akili mkuu! Jua kwamba ana kili tena yamkini kukuliko tofauti yenu ni maumbile tu!!! Mimi na mke wangu tuna miaka mitano kwrnye ndoa na kila mmoja yupo wazi kwa mwenzake kwa kila kitu kuanzia simu muda wowote anaweza kuchukua simu yangu akakaa nayo hata siku nzimu na wala hakuna shida na mimi hivyo hivyo kwa nini tuogapane na wakati sisi ni mwili mmoja???? Mshahara wangu anaujua na yeye najua kipato chake! Jirekibishe mkuu acha mfumo dume!!Wakuu,
Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa.
Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia.
Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana.
Baada kuona sina mambo mengi sasa ugomvi wake upo kwene simu.
Mimi nilimkataza asshike simu yangu saizi ndio ugomvi ulipo.mwanzo alikua anachukua maagizo bila maswali saizi home hakukaliki anataka simu yangu. Tena siyo tu kuangalia mara moja anataka awe anaichukua akitaka na kuangalia anachotaka. Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele.
Yaan nimegundua mwanamke hata kama hakuna Tatizo atatengeneza tatizo!
Hebu weka picha yake hapa nione kama nyota yako na yake zinafanana, kama hazifanani nimchukue ili nimsafishe nyota yake iliyoharibiwa na mizimu ya majirani, wengi nimewafanikisha kwa njia hii.Wakuu,
Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa.
Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia.
Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana.
Baada kuona sina mambo mengi sasa ugomvi wake upo kwene simu.
Mimi nilimkataza asshike simu yangu saizi ndio ugomvi ulipo.mwanzo alikua anachukua maagizo bila maswali saizi home hakukaliki anataka simu yangu. Tena siyo tu kuangalia mara moja anataka awe anaichukua akitaka na kuangalia anachotaka. Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele.
Yaan nimegundua mwanamke hata kama hakuna Tatizo atatengeneza tatizo!
Usipotaka mgogoro yeye atauleta, Ni bora na ww ukaanzisha mgogoro ili na yeye akiuleta wa kwake migogoro ikakutana katikatimi sitak migogoro
Wakuu,
Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa.
Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia.
Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana.
Baada kuona sina mambo mengi sasa ugomvi wake upo kwene simu.
Mimi nilimkataza asshike simu yangu saizi ndio ugomvi ulipo.mwanzo alikua anachukua maagizo bila maswali saizi home hakukaliki anataka simu yangu. Tena siyo tu kuangalia mara moja anataka awe anaichukua akitaka na kuangalia anachotaka. Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele.
Yaan nimegundua mwanamke hata kama hakuna Tatizo atatengeneza tatizo!
Kwenye simu yako kuna uchafu..Ndoa ni taasisi inayolindwa kwa kujali haki na majukumu ya wanandoa. Unakatalia msimu wako akikatalia ya kwake? Hutaki akuzoee akazoee fisi porini?. Mara nyingi sisi wanaume ndio mazuzu kwenye ndoa, michepuko kibao halafu milalamishi kibao! Mpende mkeo usijilize lize hapa. Na huo msimu wako mpe achungulie tu. Utamkandia mkeo hapa lkn michepuko ya midemu yenu wala haiguswi. Uzinzi tu!
Huwajui wanawake ww. Utakuja kulia saa nne asubuhi huku ukitoa kamasi zito. Ww endelea kuaminiHapo ndipo mnapofeli kwenye ndoa, wewe na yeye ni mwili mmoja wewe unaogopa nini akishika na kusearch muda wowote??? Vinginevyo mkuu wewe ndiye mwenye matatizo! Wewe ukitaka simu yake muda wowote anakupa???? Kama na yeye anakukatalia basi ndoa Yenu haitafika mbali! Unachodai kuwa kakuzoea mwanzo hakuwa hivyo sio kweli, ulikuwa unatumia ubabe tu! Lakini kiukweli mwanamke yupo sahihi, kama kweli unampenda hupaswi kumwekea mipaka kwenye vyitu vyako, msiwe mnaingia kwenye ndoa kama hamjakomaa akili mkuu! Ndoa ni zaidi ya kufanya mapenzi, ndoa ili iwe na amani hivyi vyitu vinahitajika ( uaminifu, uwazi na msamaha) vyote hivyi vimejengwa kwenye upendo! Kama kweli unampenda huwezi kumpa mipaka kwenye simu! Wewe unaficha nini mkuu??? Tena watu wa aina yako ndio wale hata mshahara wako na kipato chako mke wako hajui ! Mkiendelea kuishi hivyo mkuu hiyo sio ndoa mnaigiza tu!ishini na mwanamke kwa akili mkuu! Jua kwamba ana kili tena yamkini kukuliko tofauti yenu ni maumbile tu!!! Mimi na mke wangu tuna miaka mitano kwrnye ndoa na kila mmoja yupo wazi kwa mwenzake kwa kila kitu kuanzia simu muda wowote anaweza kuchukua simu yangu akakaa nayo hata siku nzimu na wala hakuna shida na mimi hivyo hivyo kwa nini tuogapane na wakati sisi ni mwili mmoja???? Mshahara wangu anaujua na yeye najua kipato chake! Jirekibishe mkuu acha mfumo dume!!
Hamna kitu. Ndani nguo unavua zote anakuona kila kitu ila simu asiiguse. Nje unajificha mwili wako wote kwa mavazi ila simu unampa yoyote kuitumia akikuomba hiyo haina shida eti?Mwanaume ni moyo wako ulivyo kwake sio amrinau vitu. Ndoa yangu ina miaka 31. Sina password kwenye simu, yeye hana. Zote zinawekwa mezani bila password tukirudi mezani. Yenye bando ndiyo itakatumiwa na yoyote kati yetu. Tuheshinuni sana ndoa zetu. Nyumbani ndipo pakupe furaha zaidi kuliko popote.Huwajui wanawake ww. Utakuja kulia saa nne asubuhi huku ukitoa kamasi zito. Ww endelea kuamini
Kuna vitu kama mwanaume lazima uvihifadhi ili uendelee kuwa mpya kwake sasa akijua kilakitu kwako atakuona wa kale huna jipya. Jipange
Umekua Sasa mwanangu,nilikwambia mwanzo kua uyaone!Wakuu,
Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa.
Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia.
Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana.
Baada kuona sina mambo mengi sasa ugomvi wake upo kwene simu.
Mimi nilimkataza asshike simu yangu saizi ndio ugomvi ulipo.mwanzo alikua anachukua maagizo bila maswali saizi home hakukaliki anataka simu yangu. Tena siyo tu kuangalia mara moja anataka awe anaichukua akitaka na kuangalia anachotaka. Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele.
Yaan nimegundua mwanamke hata kama hakuna Tatizo atatengeneza tatizo!
Bro wanawake pasua Kichwa sana ww angalia mazuri yake kama unataka Kuishi nae ukimchimba sana hamtakuwa na maisha marefu ktk ndoa yenuWakuu,
Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa.
Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia.
Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana.
Baada kuona sina mambo mengi sasa ugomvi wake upo kwene simu.
Mimi nilimkataza asshike simu yangu saizi ndio ugomvi ulipo.mwanzo alikua anachukua maagizo bila maswali saizi home hakukaliki anataka simu yangu. Tena siyo tu kuangalia mara moja anataka awe anaichukua akitaka na kuangalia anachotaka. Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele.
Yaan nimegundua mwanamke hata kama hakuna Tatizo atatengeneza tatizo!
Kwenye uchumba, mwanamke atakufanyia unachotaka. Kwenye ndoa, mwanamke anakufanyia unachomfanyia.Wakuu,
Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa.
Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia.
Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana.
Baada kuona sina mambo mengi sasa ugomvi wake upo kwene simu.
Mimi nilimkataza asshike simu yangu saizi ndio ugomvi ulipo.mwanzo alikua anachukua maagizo bila maswali saizi home hakukaliki anataka simu yangu. Tena siyo tu kuangalia mara moja anataka awe anaichukua akitaka na kuangalia anachotaka. Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele.
Yaan nimegundua mwanamke hata kama hakuna Tatizo atatengeneza tatizo!
Kaka huu ndo ushauri bora kuwahi kupata humuHata hio nayo sio shida labda amehisi kitu chochote pengine hata mkiwa wote wewe upo bize na simu mpe muda wako onesha kumjali yeye badala ya kua bize na simu muda wote hii itakuongezea kitu
AiiiiKwenye uchumba, maanamke atakufanyia unachotaka. Kwenye ndoa, mwanamke anakufanyia unachomfanyia.
Soma Tena hiyo ili uelewe
Nimeanza kuonaBro wanawake pasua Kichwa sana ww angalia mazuri yake kama unataka Kuishi nae ukimchimba sana hamtakuwa na maisha marefu ktk ndoa yenu
Natamani hayo maishaKwani ni simu yake hiyo? Khaa, hivi inakuwaje unakagua simu ya mtu mwingine? Mimi sina habari na simu yake.
ye nishamfuatilia had simu yake napekuagaHiyo ni dalili mbaya kuna uwezekano mkubwa anakucheat hivyo anadhani na wewe unafanya hivyo,mfuatilie na yeye alafu ulete mrejesho hapa JF.
halafuUzi ufungwe