Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
- Thread starter
- #41
ndioHuyo kuna anachokitafuta sio bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndioHuyo kuna anachokitafuta sio bure.
Anahisi kuna kitu hakipo sawaWakuu,
Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa.
Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia.
Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana.
Baada kuona sina mambo mengi sasa ugomvi wake upo kwene simu.
Mimi nilimkataza asshike simu yangu saizi ndio ugomvi ulipo.mwanzo alikua anachukua maagizo bila maswali saizi home hakukaliki anataka simu yangu. Tena siyo tu kuangalia mara moja anataka awe anaichukua akitaka na kuangalia anachotaka. Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele.
Yaan nimegundua mwanamke hata kama hakuna Tatizo atatengeneza tatizo!
ukimwambia hivo anaachaAlikuwa akigusa namwambia naona simu yangu unaipenda itabidi nikuachie kabisa ukae nayo[emoji1]
ndioAnahisi kuna kitu hakipo sawa
Mpe sasa kama kila kitu kipo sawa mpe afanye ukaguzi wa ndanindio
Mwambie aache ujinga mara moja hajui wengine kazi zetu ni uwizi utapeli na unyang'anyi na sio mapenzi kivilekumpa simu siyo shida shida anataka awe anachukua na kusearch muda wowote
ha ha ha haMwambie aache ujinga mara moja hajui wengine kazi zetu ni uwizi utapeli na unyang'anyi na sio mapenzi kivile
kumpa mara moja siyo ishu ila ishu ni kumpa password ashike anapojisikiaMpe sasa kama kila kitu kipo sawa mpe afanye ukaguzi wa ndani
na ni nyingiPole sana Mkulungwa futa zile screenshort kabla hajazikuta. 😀😀
Nyinyi ni mwili mmoja 😜kumpa mara moja siyo ishu ila ishu ni kumpa password ashike anapojisikia
Huyo mpe kipigo hadi atangazwe kwenye habari ya saa 2 usiku,vinginevyo atakuzowea vibaya.Wakuu,
Hapo nyuma mke wangu alikua hajanizoea ye mwenyewe amekiri kwamba alikua ananiogopa.
Kwa upande wangu ilikua burudan ananiheshimu naongea mara moja ananisikia.
Sasa miezi kadhaa naona amenizoea ananipanda kichwani. Tunabishana ukiongea kitu mnazozana.
Baada kuona sina mambo mengi sasa ugomvi wake upo kwene simu.
Mimi nilimkataza asshike simu yangu saizi ndio ugomvi ulipo.mwanzo alikua anachukua maagizo bila maswali saizi home hakukaliki anataka simu yangu. Tena siyo tu kuangalia mara moja anataka awe anaichukua akitaka na kuangalia anachotaka. Sasa naona kama kutakua na shida kubwa huko mbele.
Yaan nimegundua mwanamke hata kama hakuna Tatizo atatengeneza tatizo!
cha msingi Sajili laini mpya kwa majina mengine halafu tuma sms za mapenzi kwake..we nitakupa bure
😁😁huu umafia kibokocha msingi Sajili laini mpya kwa majina mengine halafu tuma sms za mapenzi kwake..
Upate sababu ya kumchapa makofi asikuzoee