Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Angalia tu msiuane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muache anachokitafuta atakipata.kumpa simu siyo shida shida anataka awe anachukua na kusearch muda wowote
mi sitak migogoroMuache anachokitafuta atakipata.
YaanMimi simu yangu haishikwi na ina pattern na yeye haijui, yake ina pattern namimi ndio nilimuwekea naijua,, mwaka WA 3 huu na halilii simu yangu, akiitaka tuu nimtolee pattern simu yangu kuna namna namuangalia yeye mwenyewe anapiga kimya, kua dictator usicheke nae
Unatumia mbinu gan kumaintaini huu udiktetaMimi simu yangu haishikwi na ina pattern na yeye haijui, yake ina pattern namimi ndio nilimuwekea naijua,, mwaka WA 3 huu na halilii simu yangu, akiitaka tuu nimtolee pattern simu yangu kuna namna namuangalia yeye mwenyewe anapiga kimya, kua dictator usicheke nae
hatuweziAngalia tu msiuane
Tayari ni mgogoro., ukimnyima atasema kwa sababu kuna malaya zako unawaficha.mi sitak migogoro
nilikua sifuliwi nguo na kupikiwaKwani ulipo kuwa unaishi mwenyewe ulipungukiwa kitu? Kataa ndoa second version.
na ndio kakazanaTayari ni mgogoro., ukimnyima atasema kwa sababu kuna malaya zako unawaficha.
Naona kaanza kuniendeshaMwanamke usipomuendesha atakuendesha yeye
Huyo kuna anachokitafuta sio bure.na ndio kakazana
Uzembe dry cleaner shilling ngapi kwani? Misosi mitaani imejaa full au mama ntilie unataka wakale wapi?nilikua sifuliwi nguo na kupikiwa
kuna raha yake pia
Unacheka nae fresh, lakini sometime unakua serious Sana hakuna kucheka cheka unamtengenezea mazingira akuogopeUnatumia mbinu gan kumaintaini huu udikteta
usipo kua na mke gharama za msosi n kubwaUzembe dry cleaner shilling ngapi kwani? Misosi mitaani imejaa full au mama ntilie unataka wakale wapi?
nitajaribuUnacheka nae fresh, lakini sometime unakua serious Sana hakuna kucheka cheka unamtengenezea mazingira akuogope
Alikuwa akigusa namwambia naona simu yangu unaipenda itabidi nikuachie kabisa ukae nayokumpa simu siyo shida shida anataka awe anachukua na kusearch muda wowote