Mke wangu amebadilika tabia anataka nimnunulie kijibwa

Mke wangu amebadilika tabia anataka nimnunulie kijibwa

Nenda pale Victoria kwa Mateja utapata vijibwa vya kununua
 
Tatizo la kuishi uswahili na mke asie jielewa
 
Ni PM Mkuu, nikipe JIBWA mbegu ya POLISI.

Naamini ni ndani ya miezi miwili tu, VARANGATI yake, ataomba yeye mwenyewe, UMRUDISHE ulipo mtoa...!!
 
Labda mkeo anataka hicho kijibwa kimlambe lambe.


Salaam kwenu
Mpaka sasa wadau naona kama ndoa imeingiliwa na jinamizi na mpaka sasa naona tabu,mke wangu amebadilika kisa hapo jirani kuna mtu ana kijibwa na yeye amekuja juu anataka kijibwa,kwanza nataka kujua mpaka hii kesi nimeileta hapa

1.Kijibwa kina faida gani hakileti hata maziwa
2.kina raha gani kwa waliowahi kukifuga
3.Na ni bei gani kinauzwa

Ni hayo tu zaidi ya hapo nina peni na karatasi hapa mkononi mwangu
 
Yani sijui nimuweke kundi gani,wenzie huku tunataman kumiliki kosta,kuweka mazao hata magunia 1000,kuwa na maisha ya kujiweza.yy anatamani kimbwa,!![emoji17][emoji17].Aseeeee!!sijui mnunulia
 
Kwa kulambalamba nyuchi hivyo vijibwa nasikia viko njema balaa, c.c madam nanliu
 
Yani sijui nimuweke kundi gani,wenzie huku tunataman kumiliki kosta,kuweka mazao hata magunia 1000,kuwa na maisha ya kujiweza.yy anatamani kimbwa,!![emoji17][emoji17].Aseeeee!!sijui mnunulia
Tabia za ajabu kabsaa
 
Back
Top Bottom