Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Brother ninacheka sio kwa kisa chako lah
Ila najua nini unamaanisha

Pitia uzi huu

Mimi Ninachoshauri mchape viboko yaishe muache mlee watoto wako
Wanawake wa sasa mtihani sana
Mimi binafsi nina miaka 34
Nishaoa na kuacha mara 3
Huyu wa sasa nikasema siachi nakomaa nae hivyo hvyo
hizo tabia za mke wako 80% ya wanawake walioolewa wanazo ni wajinga na washenz
i
Muhimu fanya mambo yako kwa malengo huyo mtu si wa kumpangia katika future zako
yupo au amerudi tuseme unaishi nae 7bu hakuna sehemu nyingne ya kuegemea hakuna mapenzi kwako
zaidi amepata sehemu ya kujibanza jua
Siku akipata kivuri anakukimbia au atakuletea dharau mpk utaamua kusalenda mwenyewe
So ishi nae 7bu ya malezi ya watoto wako
hauko peke yko tupo wengi tunaishi tu na wake zetu 7bu tunawapenda na kuwajali watoto zetu7bu hatujazoea kutelekeza watoto la sivyo tungekuwa tushapiga chini haya matatizo

Zingatia usizae nae tena watoto wengne kwa sasa vumilia miaka 3 au 4 wote wakue then utajua sasa hapo ufanye nini
 
Brother ninacheka sio kwa kisa chako lah
Ila najua nini unamaanisha

Pitia uzi huu

Mimi Ninachoshauri mchape viboko yaishe muache mlee watoto wako
Wanawake wa sasa mtihani sana
Mimi binafsi nina miaka 34
Nishaoa na kuacha mara 3
Huyu wa sasa nikasema siachi nakomaa nae hivyo hvyo
hizo tabia za mke wako 80% ya wanawake walioolewa wanazo ni wajinga na washenz
i
Muhimu fanya mambo yako kwa malengo huyo mtu si wa kumpangia katika future zako
yupo au amerudi tuseme unaishi nae 7bu hakuna sehemu nyingne ya kuegemea hakuna mapenzi kwako
zaidi amepata sehemu ya kujibanza jua
Siku akipata kivuri anakukimbia au atakuletea dharau mpk utaamua kusalenda mwenyewe
So ishi nae 7bu ya watoto hauko peke yko tupo wengi tunaishi tu na wake zetu 7bu tunawapenda na kuwajali watoto zetu7bu hatujazoea kutelekeza watoto

Zingatia usizae nae tena watoto wengne kwa salsa vumilia miaka 3 au 4 wote wakue then utakujua sasa hapo ufanye nini
Kweli mkuu umesema ukweli, ni miezi miwili cijakutana namwana mke yoyote kwasabb ya safari, ila sina hamu nae kabisa kalala mie niko sembuleni na citamgusa kabisa paka pale nafsi itakapo ridhia......jamani wanawake ni mtihani mkubwa
 
Mpe arudi nyumbani kwao potelea mbali kwa miez hyo mitatu akili imkae sawaa yaani ondoke nyumbani bila kuaga alfu na wew eti unasema umchape viboko vitano if I were you hili cyolakuzungumza wawili lazm pande zikae kuona hili Jambo na dad ake nae Ni mjinga glni hv ovaaa
 
Huyu mtoto ni wangu100%. hiyo mimba aliipatia tukiwa, nae holiday kwa siku 35 ndo alipata hiyo mimba tukiwa tumeenda kusalimia ndg zangu nje ya nchi 2019. I spent all the days & nites with her no doubt that ma son.
Wewe mwanamke hana dhamana acha upimbi
 
Mpe arudi nyumbani kwao potelea mbali kwa miez hyo mitatu akili imkae sawaa yaani ondoke nyumbani bila kuaga alfu na wew eti unasema umchape viboko vitano if I were you hili cyolakuzungumza wawili lazm pande zikae kuona hili Jambo na dad ake nae Ni mjinga glni hv ovaaa
Nilishawahi kumrudisha nyumbani kwao takribani miezi mitano alivo nificha kifo cha mama ake, ila naona she did not learn any thing nor forget any thing ni yule yule duh Mung atusaidie wana umme kwa kweli.
 
Mkuu wewe ni MTanzania ? Maana kiswahili chako unachoandika...?

Umepata wapi wazo la kumchapa mtu mzima, Mama viboko ? - hii idea ilikuja vipi, au ni mazingiria uliyolelewa ulikuwa ukoyaona hayo?

Mkuu inaonyesha safari hazikauki, kila baada ya muda lazima usafiri, vipi kuhusu mke na familia au yeye kazi yake ni kuzaa tu na kukaa home..
Huwa unapata nafasi yakumcare?
 
Back
Top Bottom