Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Mkuu wewe ni MTanzania ? Maana kiswahili chako unachoandika...?

Umepata wapi wazo la kumchapa mtu mzima, Mama viboko ? - hii idea ilikuja vipi, au ni mazingiria uliyolelewa ulikuwa ukoyaona hayo?

Mkuu inaonyesha safari hazikauki, kila baada ya muda lazima usafiri, vipi kuhusu mke na familia au yeye kazi yake ni kuzaa tu na kukaa home..
Huwa unapata nafasi yakumcare?
Mkuu safari zangu ni sehemu ya kazi yangu hizo posho na zopata kwenye hizo safari ndo zime tuwezesha k tuishi hapa mjini bila shida
 
Nilivo safari kuenda kwenye shughuri zangu za biashara takarbani mwezi moja na nusu, jana nilirudi nikakuta mke wangu haipo kasafiri na kuenda kwa Dada yake kukaa uko na nyumbani hamna mtu yoyote kuna giza kwote, nikakagua nyumba yote na Kigari changu nikaona vyote viko salama nikamshukuru Mungu kwa hilo, nilienda kwa majirani labda wana taarifa yoyote ka wachia na iko wapi wakaniambia huyu haipo nyumbani karibia mwezi na wiki nili duwaa!!!!

Nikampiga simu yake, mbona haupo nyumbani uko wapi? kaniambia iko kwa Dada yake Kinondoni nikamuomba anipe funguo wa nyumbani nipate kuingia na kupumuzika, ka nialekeze nije nimsubirie kwenye kituo fulani nikaenda faster usiku huo nilivo fika nikampigia simu takribani dakika 10 Dada mtu kajitokeza na funguo akanipa siku msemesha kitu nikaondoka zangu paka nyumbani nikaingia ndani nikaona kila kitu kipo sawa ila kuna dalili zakua nyumba imekaa zaidi ya mwezi bila watu.

Sikumpigia simu tena kwasababu nilikua na hasira za kufa mtu nikajipa time nitulie kwanza, ila nilikua najiuliza huyu mwana mke nimfanye nini, kumtimua sio rahisi kwasababu ana kitoto changu kichanga mwaka moja na nusu kina nyonya, kwao hakuna mazingira mazuri kulea mtoto japo wanaishi Town ila mama alie kua nguzo ya familia alisha fariki, Baba ake kasha sitaafu maisha yao kwa jumla sio, hawana wakika wa kula milo mitatu, nyumba yao niya urithi tena wako zaidi ya watoto nane.

Mimi niko 38 na mke wangu iko 34 kumuacha manaake ni wakika wa kulea watoto wangu wawili utakua mgumu lakini kwasababu kipato chao ni duni sanaa, huyu mwana mke kanifanyia visa vingi kwanza ni muongo sana alisha wahi kunificha kifo cha Mama ake kasha niongopea mambo mengi lakini kwasababu hayana madhara ya moja kwa moja na ya puuzia tu, nilifikia maamuzi mtoto wetu wa std 4 kumpeleke shule ya bweni sio kwamba nilipenda hapana kumuepusha kuiga tabia mbaya za mama ake.

Niseme tu mimi sina bahati katika kupata mke sahihi, kwasababu kabla ya huyu nilikua kuna Dada moja tume date nae takribani miaka 4 tukabahatika na kupata mtoto kilicho kua kime bakia nikuenda ku kujitamblisha kwao tu, ila yule demu hapana, alikua anasafiri almost kila weekend yani yeye nasafari za kuenda makwao, aruhusi, mauleedi Dua, yalikua too much paka makonda wa ma busi ya kuenda Tanga wakaanza kumjua alikua anajua mabus yote ya route iyo duh nikaona huyu anifae kabisa nikampiga chini.....sasa this time nikashirikisha wazee wangu wanitafutie mke serious kwa kweli wazee hawakuchelewa wakaniambia tayari njoo muonane nikaenda nikaridhia na nikafanya utaratibu wa kumchukua, nilikaa nae kama mienzi mitatu duh nikaja kumkuta kumbe anakula mirungi (veve) nilichoka nikaona sina namna(mke wakutafutiwa ni shida). ndo nikaja kumpata huyu, ila nimemchoka vituko vyake ila sina lakufanya, pesa yangu elimu yangu havinisaidie kwasasa isipo kua uvumilivu tu.

Leo kama saa nane huyu bibie (mke) kanipigia simu kuniuliza hatima yake.....nikamwambia mie siwezi kuongea hi issue kwenye simu pata sehemu tuongea ana kwa ana akanielekeza pa kumkuta tuyaongee, nikaendesha ki (baby walker) changu paka pale, nilivo fika akaanza kua mkali najifanya kuleta mambo ya nyuma nikawa kimya kwasabb alilenga kuniondoa kwenye mada, tu nikamuuliza anataka lipi kajibu kurudi nyumbani kwanini ulipacha eti ana paongopa duh nikamuuliza sasa ukurudi unaenda kukaa nani kwasababu baada ya wiki moja naenda kusafiri tena utapakimbia
? akasema hapana eti hatarudia. Ila huyu mama muongo mambo mengi anaapa ila anayarudia tu.

To cut the story short nilimpa option tatu achague moja. Kum -suspend kwa miazi mitatu akiwa kwao au aombe talaka au nimpige viboko vitano. Kaamua nimchape viboko vitano yaishe. ila personally am not a violent man na sijawahi kuchapa mke yoyote ili jambo hili lime nipa wakati mgumu sanaa, namimi sitaki unafiki nataka nafsi yangu iridhike, akifanya adhabu yangu yoyote.

Wakuu ndo nimemfikisha home sina hata 30minutes sijui ndo ni mchape au kuna adhabu nyingine zaidi ya hiyo mnishauri, ila kumbukeni huyu mwana mke ni msumbufu sanaa muonģo ila sijawahi kupata ushahidi wowote wa uzinzi kwake. Naomba ushauri na uzoefu wenu ahsanteni.
Asilimia kubwa ya wanawake wa kileo ni changamoto. Maadam ana kimbumbu kinachokupa ladha ya maisha, funika kombe mwanaharamu apite.
 
Mkuu wewe ni MTanzania ? Maana kiswahili chako unachoandika...?

Umepata wapi wazo la kumchapa mtu mzima, Mama viboko ? - hii idea ilikuja vipi, au ni mazingiria uliyolelewa ulikuwa ukoyaona hayo?

Mkuu inaonyesha safari hazikauki, kila baada ya muda lazima usafiri, vipi kuhusu mke na familia au yeye kazi yake ni kuzaa tu na kukaa home..
Huwa unapata nafasi yakumcare?
Yaani nimecheka..kwakweli sijachapwa na mtu!kisa?yaan huyo mwanamke kamfanya kama mlinzi tu😒
 
Umesema mke wako na miaka 34 ila unavyomuelezea mambo yake ni kama vile binti wa miaka 24.
Halafu unashangaa ujanja ujanja na uongo kwa aliekulia mjini kinondoni?
Na mimi nashangaa paka leo huyu mama miaka 34 mbona hakuwi.
 
Mkuu safari zangu ni sehemu ya kazi yangu hizo posho na zopata kwenye hizo safari ndo zime tuwezesha k tuishi hapa mjini bila shida
Mkuu usimchape.ni mtu mzima huyo
Mkalishe tena mpe last warning.mwambie yeye ni MTU mzima,pia ni mke wa mtu zaidi ni mama Na familia yake..matendo yote atakayofanya awe anafikiria hizi tittle zake kwanza.
Hata kama anapapenda kwao na kujiskia more comfortable kuishi kwao.akumbuke alishaolewa na kuachana na kwao.ana kwake anapohitajika kupatunza na kupalinda.basi kama anaogopa kuishi peke ake ikiwa haupo aite hata ndugu mmoja aje aishi nae.ukirudi ataondoka.
Waza kaacha nyumba mwezi mzima na Giza usiku mnene vibaka wakavunja na kuingia ndani wakaiba.gari likanyofolewa vifaa.hasara ya nani?
MPE semina huyo mkeo.akili zake bado.
 
Nilivoelewa yeye anataka umkule mabao matano kitu ambacho ni enjoyment na ni njia rahisi ya kusameheana.
We mkule tu mkuu, katikati ya safari unajikuta hasaira zimeisha unabaki inaenjoy matunda ya mzeituni wako.
Kazi njema.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Bado nafikir yeye na dada ake wanajua wenyewe "ALIKUA WAPI"....

nafikiri kwenye hiyo mitatu ,OngeZa iwe 6 ama 12 akakae alipokua ,akichoka atarudi.

Bado najiuliza ALIKUA WAPI....[emoji848]
Mkuu tatizo ana nyonyesha mtoto na kwao naona hawako vuzuri kabisa ukisema aende kwa Dada ake ana panga tu chuba na sembule.......
 
Nilivo safari kuenda kwenye shughuri zangu za biashara takarbani mwezi moja na nusu, jana nilirudi nikakuta mke wangu haipo kasafiri na kuenda kwa Dada yake kukaa uko na nyumbani hamna mtu yoyote kuna giza kwote, nikakagua nyumba yote na Kigari changu nikaona vyote viko salama nikamshukuru Mungu kwa hilo, nilienda kwa majirani labda wana taarifa yoyote ka wachia na iko wapi wakaniambia huyu haipo nyumbani karibia mwezi na wiki nili duwaa!!!!

Nikampiga simu yake, mbona haupo nyumbani uko wapi? kaniambia iko kwa Dada yake Kinondoni nikamuomba anipe funguo wa nyumbani nipate kuingia na kupumuzika, ka nialekeze nije nimsubirie kwenye kituo fulani nikaenda faster usiku huo nilivo fika nikampigia simu takribani dakika 10 Dada mtu kajitokeza na funguo akanipa siku msemesha kitu nikaondoka zangu paka nyumbani nikaingia ndani nikaona kila kitu kipo sawa ila kuna dalili zakua nyumba imekaa zaidi ya mwezi bila watu.

Sikumpigia simu tena kwasababu nilikua na hasira za kufa mtu nikajipa time nitulie kwanza, ila nilikua najiuliza huyu mwana mke nimfanye nini, kumtimua sio rahisi kwasababu ana kitoto changu kichanga mwaka moja na nusu kina nyonya, kwao hakuna mazingira mazuri kulea mtoto japo wanaishi Town ila mama alie kua nguzo ya familia alisha fariki, Baba ake kasha sitaafu maisha yao kwa jumla sio, hawana wakika wa kula milo mitatu, nyumba yao niya urithi tena wako zaidi ya watoto nane.

Mimi niko 38 na mke wangu iko 34 kumuacha manaake ni wakika wa kulea watoto wangu wawili utakua mgumu lakini kwasababu kipato chao ni duni sanaa, huyu mwana mke kanifanyia visa vingi kwanza ni muongo sana alisha wahi kunificha kifo cha Mama ake kasha niongopea mambo mengi lakini kwasababu hayana madhara ya moja kwa moja na ya puuzia tu, nilifikia maamuzi mtoto wetu wa std 4 kumpeleke shule ya bweni sio kwamba nilipenda hapana kumuepusha kuiga tabia mbaya za mama ake.

Niseme tu mimi sina bahati katika kupata mke sahihi, kwasababu kabla ya huyu nilikua kuna Dada moja tume date nae takribani miaka 4 tukabahatika na kupata mtoto kilicho kua kime bakia nikuenda ku kujitamblisha kwao tu, ila yule demu hapana, alikua anasafiri almost kila weekend yani yeye nasafari za kuenda makwao, aruhusi, mauleedi Dua, yalikua too much paka makonda wa ma busi ya kuenda Tanga wakaanza kumjua alikua anajua mabus yote ya route iyo duh nikaona huyu anifae kabisa nikampiga chini.....sasa this time nikashirikisha wazee wangu wanitafutie mke serious kwa kweli wazee hawakuchelewa wakaniambia tayari njoo muonane nikaenda nikaridhia na nikafanya utaratibu wa kumchukua, nilikaa nae kama mienzi mitatu duh nikaja kumkuta kumbe anakula mirungi (veve) nilichoka nikaona sina namna(mke wakutafutiwa ni shida). ndo nikaja kumpata huyu, ila nimemchoka vituko vyake ila sina lakufanya, pesa yangu elimu yangu havinisaidie kwasasa isipo kua uvumilivu tu.

Leo kama saa nane huyu bibie (mke) kanipigia simu kuniuliza hatima yake.....nikamwambia mie siwezi kuongea hi issue kwenye simu pata sehemu tuongea ana kwa ana akanielekeza pa kumkuta tuyaongee, nikaendesha ki (baby walker) changu paka pale, nilivo fika akaanza kua mkali najifanya kuleta mambo ya nyuma nikawa kimya kwasabb alilenga kuniondoa kwenye mada, tu nikamuuliza anataka lipi kajibu kurudi nyumbani kwanini ulipacha eti ana paongopa duh nikamuuliza sasa ukurudi unaenda kukaa nani kwasababu baada ya wiki moja naenda kusafiri tena utapakimbia
? akasema hapana eti hatarudia. Ila huyu mama muongo mambo mengi anaapa ila anayarudia tu.

To cut the story short nilimpa option tatu achague moja. Kum -suspend kwa miazi mitatu akiwa kwao au aombe talaka au nimpige viboko vitano. Kaamua nimchape viboko vitano yaishe. ila personally am not a violent man na sijawahi kuchapa mke yoyote ili jambo hili lime nipa wakati mgumu sanaa, namimi sitaki unafiki nataka nafsi yangu iridhike, akifanya adhabu yangu yoyote.

Wakuu ndo nimemfikisha home sina hata 30minutes sijui ndo ni mchape au kuna adhabu nyingine zaidi ya hiyo mnishauri, ila kumbukeni huyu mwana mke ni msumbufu sanaa muonģo ila sijawahi kupata ushahidi wowote wa uzinzi kwake. Naomba ushauri na uzoefu wenu ahsanteni.
Pole sana, ndugu. Ila jipe moyo. Maisha ya ndoa kwa ujumla sio "lelemama," Ungesikia ushuhuda wa kila aliyeoa, ungeshangaa sana kusikia mambo magumu wanayoyapitia watu katika ndoa zao. Na pengine ungeona hayo ya kwako "ni cha mtoto." Inaonekana wewe ni mtu mwema sana, tena mvumilivu. Kwa sababu hiyo nakushauri usimchape viboko mke wako. Mke sio sawa na mbwa koko. Msamehe bure tu na umuombe Mungu akusaidie kumpenda siku zote.

Maandiko matakatifu yanasema: "Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni; haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya..."(1 Kor 13:4-7).
Hapo kwenye neno "upendo" weka jina lako. Kwa mfano kama unaitwa Ibra, soma tena hicho kifungu kwa kuanza na "Ibra huvumilia, hufadhili...Ibra hahesabu mabaya..." Nakwambia utaona jinsi upendo utakavyoifanya ndoa yako izidi kuwa imara.

Halafu, jiulize pia: wewe hukosei? Wewe husemi uongo? Kama unafanya makosa kama hayo hayo, kwanini mkeo akikosea unajaa hasira? Yeye naye ni mwanadamu. Wanadamu kwa ujumla ni wenye dhambi. Ndio sababu Yesu alikuja kutuokoa ili tuweze kushinda dhambi na kuweza kuishi maisha matakatifu.
 
Mkuu usimchape.ni mtu mzima huyo
Mkalishe tena mpe last warning.mwambie yeye ni MTU mzima,pia ni mke wa mtu zaidi ni mama Na familia yake..matendo yote atakayofanya awe anafikiria hizi tittle zake kwanza.
Hata kama anapapenda kwao na kujiskia more comfortable kuishi kwao.akumbuke alishaolewa na kuachana na kwao.ana kwake anapohitajika kupatunza na kupalinda.basi kama anaogopa kuishi peke ake ikiwa haupo aite hata ndugu mmoja aje aishi nae.ukirudi ataondoka.
Waza kaacha nyumba mwezi mzima na Giza usiku mnene vibaka wakavunja na kuingia ndani wakaiba.gari likanyofolewa vifaa.hasara ya nani?
MPE semina huyo mkeo.akili zake bado.
Sawa mkuu nashukuru, ila nilishawahi kumkalisha mara nyingi aelewi anarudia kosa lilelile unalo mwambia, kuchapa mtu mzima sipendelee ila sioni adhabu mbadala.
 
Nilivo safari kuenda kwenye shughuri zangu za biashara takarbani mwezi moja na nusu, jana nilirudi nikakuta mke wangu haipo kasafiri na kuenda kwa Dada yake kukaa uko na nyumbani hamna mtu yoyote kuna giza kwote, nikakagua nyumba yote na Kigari changu nikaona vyote viko salama nikamshukuru Mungu kwa hilo, nilienda kwa majirani labda wana taarifa yoyote ka wachia na iko wapi wakaniambia huyu haipo nyumbani karibia mwezi na wiki nili duwaa!!!!

Nikampiga simu yake, mbona haupo nyumbani uko wapi? kaniambia iko kwa Dada yake Kinondoni nikamuomba anipe funguo wa nyumbani nipate kuingia na kupumuzika, ka nialekeze nije nimsubirie kwenye kituo fulani nikaenda faster usiku huo nilivo fika nikampigia simu takribani dakika 10 Dada mtu kajitokeza na funguo akanipa siku msemesha kitu nikaondoka zangu paka nyumbani nikaingia ndani nikaona kila kitu kipo sawa ila kuna dalili zakua nyumba imekaa zaidi ya mwezi bila watu.

Sikumpigia simu tena kwasababu nilikua na hasira za kufa mtu nikajipa time nitulie kwanza, ila nilikua najiuliza huyu mwana mke nimfanye nini, kumtimua sio rahisi kwasababu ana kitoto changu kichanga mwaka moja na nusu kina nyonya, kwao hakuna mazingira mazuri kulea mtoto japo wanaishi Town ila mama alie kua nguzo ya familia alisha fariki, Baba ake kasha sitaafu maisha yao kwa jumla sio, hawana wakika wa kula milo mitatu, nyumba yao niya urithi tena wako zaidi ya watoto nane.

Mimi niko 38 na mke wangu iko 34 kumuacha manaake ni wakika wa kulea watoto wangu wawili utakua mgumu lakini kwasababu kipato chao ni duni sanaa, huyu mwana mke kanifanyia visa vingi kwanza ni muongo sana alisha wahi kunificha kifo cha Mama ake kasha niongopea mambo mengi lakini kwasababu hayana madhara ya moja kwa moja na ya puuzia tu, nilifikia maamuzi mtoto wetu wa std 4 kumpeleke shule ya bweni sio kwamba nilipenda hapana kumuepusha kuiga tabia mbaya za mama ake.

Niseme tu mimi sina bahati katika kupata mke sahihi, kwasababu kabla ya huyu nilikua kuna Dada moja tume date nae takribani miaka 4 tukabahatika na kupata mtoto kilicho kua kime bakia nikuenda ku kujitamblisha kwao tu, ila yule demu hapana, alikua anasafiri almost kila weekend yani yeye nasafari za kuenda makwao, aruhusi, mauleedi Dua, yalikua too much paka makonda wa ma busi ya kuenda Tanga wakaanza kumjua alikua anajua mabus yote ya route iyo duh nikaona huyu anifae kabisa nikampiga chini.....sasa this time nikashirikisha wazee wangu wanitafutie mke serious kwa kweli wazee hawakuchelewa wakaniambia tayari njoo muonane nikaenda nikaridhia na nikafanya utaratibu wa kumchukua, nilikaa nae kama mienzi mitatu duh nikaja kumkuta kumbe anakula mirungi (veve) nilichoka nikaona sina namna(mke wakutafutiwa ni shida). ndo nikaja kumpata huyu, ila nimemchoka vituko vyake ila sina lakufanya, pesa yangu elimu yangu havinisaidie kwasasa isipo kua uvumilivu tu.

Leo kama saa nane huyu bibie (mke) kanipigia simu kuniuliza hatima yake.....nikamwambia mie siwezi kuongea hi issue kwenye simu pata sehemu tuongea ana kwa ana akanielekeza pa kumkuta tuyaongee, nikaendesha ki (baby walker) changu paka pale, nilivo fika akaanza kua mkali najifanya kuleta mambo ya nyuma nikawa kimya kwasabb alilenga kuniondoa kwenye mada, tu nikamuuliza anataka lipi kajibu kurudi nyumbani kwanini ulipacha eti ana paongopa duh nikamuuliza sasa ukurudi unaenda kukaa nani kwasababu baada ya wiki moja naenda kusafiri tena utapakimbia
? akasema hapana eti hatarudia. Ila huyu mama muongo mambo mengi anaapa ila anayarudia tu.

To cut the story short nilimpa option tatu achague moja. Kum -suspend kwa miazi mitatu akiwa kwao au aombe talaka au nimpige viboko vitano. Kaamua nimchape viboko vitano yaishe. ila personally am not a violent man na sijawahi kuchapa mke yoyote ili jambo hili lime nipa wakati mgumu sanaa, namimi sitaki unafiki nataka nafsi yangu iridhike, akifanya adhabu yangu yoyote.

Wakuu ndo nimemfikisha home sina hata 30minutes sijui ndo ni mchape au kuna adhabu nyingine zaidi ya hiyo mnishauri, ila kumbukeni huyu mwana mke ni msumbufu sanaa muonģo ila sijawahi kupata ushahidi wowote wa uzinzi kwake. Naomba ushauri na uzoefu wenu ahsanteni.
😂😂 Dunia ina mambo hii!!! Huyo alikuwa analiwa tu mtaani. Hilo ni kunguru halifugiki. Achana nalo. Kama ni mtoto tuma matumizi
 
[emoji23][emoji23] Dunia ina mambo hii!!! Huyo alikuwa analiwa tu mtaani. Hilo ni kunguru halifugiki. Achana nalo. Kama ni mtoto tuma matumizi
Kabisa kuna mwamba atakuwa anamla hadi kumfukunyua mtr itakuwa
Hapo jamaa ampige chini tu
Kama anataka ampime marnda pia kama bado yako fit

Ova
 
[emoji23][emoji23] Dunia ina mambo hii!!! Huyo alikuwa analiwa tu mtaani. Hilo ni kunguru halifugiki. Achana nalo. Kama ni mtoto tuma matumizi
Mkuu kuliwa sina ushahidi wowote ila chagamoto iliopo nikimtoa ntamuacha nani nyumbani kwasasa, kuoa tena nahofu kubwa sinaga bahati ya wanawake wote napataga vibomu tu.
 
Back
Top Bottom