Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Nashukuru kwa ushauri sasa akiondoka nani asimamie maendeleo nyumbani hiyo nichagamoto pia, nakuleta mke mgine naona itakua too much huyu ni watatu nikifikisha wanne jamii itaniona kama mimi ndomwenye tatizo
Alivyoondoka nqni alisimamia maendeleo ya nyumbani. Fanya maamuzi kama mwanaume, unayumba bro.
 
Ni muongo muongo, huenda hata hao watoto siyo wako.

Fanya maamuzi vyema mkuu ila usimgonge stick aka mkoma...
 
Mwanamke mwenye mji wake, tena mke wa ndoa, mwenye watoto2 anahama nyumbani kwake mwezi kweli[emoji848][emoji848][emoji848] au ana ndoa mbili!??

Dah mimi mwanaume kama wewe simtaki kwa kweli, maana u mpole kupita kiasi. Mungu asaidie watoto wetu wa kiume wasiwe na huu upole kama wako jamani kha!

Raha ya mwanaume awe mkali kwa mambo ya kipuuzi kama hayo ya kuhama nyumba na awe na upendo haswa!

Yaani msimamo msimamo kweli
Nilijua wanawake ndo mnapenda mwanaume wa sampuli hii..
 
Inawezekana kweli anaogopa kukaa peke yake nyumbani, tafuta uvumbuzi wa hilo wala usimchape. Nyumba kukaa peke yake, tena mwanamke! Fikiria vizuri hilo.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi. Wanawake wengi huwa wanaogopa sana kukaa peke yao katika nyumba, usiku. Hivyo ukitaka kusafiri tafuta hata msichana wa kazi akae nae asijisikie upweke.
 
Nilijua wanawake ndo mnapenda mwanaume wa sampuli hii..

Hapana Kaboom . Maandiko yanataka tuwaheshimu wanaume, na heshma haiombwi wala hailazimishwi.... vile mwanaume aishivyo ndivyo anavyojijengea heshma

Raha ya mwanaume awe mkali na mwenye maupendo tele
 
Huyu mtoto ni wangu100%. hiyo mimba aliipatia tukiwa, nae holiday kwa siku 35 ndo alipata hiyo mimba tukiwa tumeenda kusalimia ndg zangu nje ya nchi 2019. I spent all the days & nites with her no doubt that ma son.
Ok..Ila shida naona iko kwako mkuu..Bado hujasimama vyema kama mwanaume/mume..
 
Nilivo safari kuenda kwenye shughuri zangu za biashara takarbani mwezi moja na nusu, jana nilirudi nikakuta mke wangu haipo kasafiri na kuenda kwa Dada yake kukaa uko na nyumbani hamna mtu yoyote kuna giza kwote, nikakagua nyumba yote na Kigari changu nikaona vyote viko salama nikamshukuru Mungu kwa hilo, nilienda kwa majirani labda wana taarifa yoyote ka wachia na iko wapi wakaniambia huyu haipo nyumbani karibia mwezi na wiki nili duwaa!!!!

Nikampiga simu yake, mbona haupo nyumbani uko wapi? kaniambia iko kwa Dada yake Kinondoni nikamuomba anipe funguo wa nyumbani nipate kuingia na kupumuzika, ka nialekeze nije nimsubirie kwenye kituo fulani nikaenda faster usiku huo nilivo fika nikampigia simu takribani dakika 10 Dada mtu kajitokeza na funguo akanipa siku msemesha kitu nikaondoka zangu paka nyumbani nikaingia ndani nikaona kila kitu kipo sawa ila kuna dalili zakua nyumba imekaa zaidi ya mwezi bila watu.

Sikumpigia simu tena kwasababu nilikua na hasira za kufa mtu nikajipa time nitulie kwanza, ila nilikua najiuliza huyu mwana mke nimfanye nini, kumtimua sio rahisi kwasababu ana kitoto changu kichanga mwaka moja na nusu kina nyonya, kwao hakuna mazingira mazuri kulea mtoto japo wanaishi Town ila mama alie kua nguzo ya familia alisha fariki, Baba ake kasha sitaafu maisha yao kwa jumla sio, hawana wakika wa kula milo mitatu, nyumba yao niya urithi tena wako zaidi ya watoto nane.

Mimi niko 38 na mke wangu iko 34 kumuacha manaake ni wakika wa kulea watoto wangu wawili utakua mgumu lakini kwasababu kipato chao ni duni sanaa, huyu mwana mke kanifanyia visa vingi kwanza ni muongo sana alisha wahi kunificha kifo cha Mama ake kasha niongopea mambo mengi lakini kwasababu hayana madhara ya moja kwa moja na ya puuzia tu, nilifikia maamuzi mtoto wetu wa std 4 kumpeleke shule ya bweni sio kwamba nilipenda hapana kumuepusha kuiga tabia mbaya za mama ake.

Niseme tu mimi sina bahati katika kupata mke sahihi, kwasababu kabla ya huyu nilikua kuna Dada moja tume date nae takribani miaka 4 tukabahatika na kupata mtoto kilicho kua kime bakia nikuenda ku kujitamblisha kwao tu, ila yule demu hapana, alikua anasafiri almost kila weekend yani yeye nasafari za kuenda makwao, aruhusi, mauleedi Dua, yalikua too much paka makonda wa ma busi ya kuenda Tanga wakaanza kumjua alikua anajua mabus yote ya route iyo duh nikaona huyu anifae kabisa nikampiga chini.....sasa this time nikashirikisha wazee wangu wanitafutie mke serious kwa kweli wazee hawakuchelewa wakaniambia tayari njoo muonane nikaenda nikaridhia na nikafanya utaratibu wa kumchukua, nilikaa nae kama mienzi mitatu duh nikaja kumkuta kumbe anakula mirungi (veve) nilichoka nikaona sina namna(mke wakutafutiwa ni shida). ndo nikaja kumpata huyu, ila nimemchoka vituko vyake ila sina lakufanya, pesa yangu elimu yangu havinisaidie kwasasa isipo kua uvumilivu tu.

Leo kama saa nane huyu bibie (mke) kanipigia simu kuniuliza hatima yake.....nikamwambia mie siwezi kuongea hi issue kwenye simu pata sehemu tuongea ana kwa ana akanielekeza pa kumkuta tuyaongee, nikaendesha ki (baby walker) changu paka pale, nilivo fika akaanza kua mkali najifanya kuleta mambo ya nyuma nikawa kimya kwasabb alilenga kuniondoa kwenye mada, tu nikamuuliza anataka lipi kajibu kurudi nyumbani kwanini ulipacha eti ana paongopa duh nikamuuliza sasa ukurudi unaenda kukaa nani kwasababu baada ya wiki moja naenda kusafiri tena utapakimbia
? akasema hapana eti hatarudia. Ila huyu mama muongo mambo mengi anaapa ila anayarudia tu.

To cut the story short nilimpa option tatu achague moja. Kum -suspend kwa miazi mitatu akiwa kwao au aombe talaka au nimpige viboko vitano. Kaamua nimchape viboko vitano yaishe. ila personally am not a violent man na sijawahi kuchapa mke yoyote ili jambo hili lime nipa wakati mgumu sanaa, namimi sitaki unafiki nataka nafsi yangu iridhike, akifanya adhabu yangu yoyote.

Wakuu ndo nimemfikisha home sina hata 30minutes sijui ndo ni mchape au kuna adhabu nyingine zaidi ya hiyo mnishauri, ila kumbukeni huyu mwana mke ni msumbufu sanaa muonģo ila sijawahi kupata ushahidi wowote wa uzinzi kwake. Naomba ushauri na uzoefu wenu ahsanteni.
Hapo hauna mke tena jichunguze sana. Familia inaingiliwa na Dada yake na wewe unafurahia kama zuzu. Kitendo cha kukuambia tu nini hatima yake ni dhahiri hakutaki. Unasema kwao wanamaisha ya dhiki lakini ndio kaenda kukaa na mtoto wako mwezi. Hapo hauna mke na huyo mtoto sio wako kapime DNA. Mwanamke mwenye maadili hawezi kuondoka kwake bila kumpa taarifa mumewe. Shida ya kuchukua ya kuchukua wanawake wa kinondoni Mosko.
 
Utampata wapi mwanaume wa hivyo? maana akiwa mkali anatafsiliwa hana upendo!

Hiyo tasfiri ya kwamba atakua hana upendo itatolewa na wanaopenda wanaume dhaifu wasiokua na msimamo

Wakali na wenye mapenzi ya kweli wapo wengi tuu
 
Hapo hauna mke tena jichunguze sana. Familia inaingiliwa na Dada yake na wewe unafurahia kama zuzu. Kitendo cha kukuambia tu nini hatima yake ni dhahiri hakutaki. Unasema kwao wanamaisha ya dhiki lakini ndio kaenda kukaa na mtoto wako mwezi. Hapo hauna mke na huyo mtoto sio wako kapime DNA. Mwanamke mwenye maadili hawezi kuondoka kwake bila kumpa taarifa mumewe. Shida ya kuchukua ya kuchukua wanawake wa kinondoni Mosko.
Alikaa kwa Dada ake sio kwao kabisa huo mwezi mkuu huyu mwana mke sikumchukua hivi nilifuata utaratibu wote, ila ndo hivo limekua bomu tena nimegundua wote dada zake hawaja wahi kuolewa moja zigo maza mgine muaka 32 hana mtoto au mme.
 
umiza kichwa mangi, UKIMWI upo, huyo keshapata bwana INGINE tunza wanao.
 
Alikaa kwa Dada ake sio kwao kabisa huo mwezi mkuu huyu mwana mke sikumchukua hivi nilifuata utaratibu wote, ila ndo hivo limekua bomu tena nimegundua wote dada zake hawaja wahi kuolewa moja zigo maza mgine muaka 32 hana mtoto au mme.
Fukuza huyo...ila jiandae kugawana mali kama umepata nae kiwanja. Mkuu huyo mwanamke hafai achana nae. Mambo ya kulea sijui watoto utalea tu. Akishaona unambabaikia kisa mtoto atakupanda kichwani. Mimi ushauri wangu ndio huo.
 
Mke anaanzaje kuondoka nyumban bila taarifa yako..na dadaake amekaa nae tuu mwezi mzima.huyo hakua kwa dadaake ila alivyoona umerudi ndo akapeleka funguo kwa dadaake
 
Back
Top Bottom