Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Hapana Kaboom . Maandiko yanataka tuwaheshimu wanaume, na heshma haiombwi wala hailazimishwi.... vile mwanaume aishivyo ndivyo anavyojijengea heshma

Raha ya mwanaume awe mkali na mwenye maupendo tele
Basi wachache mko hivyo..Wengi wanapenda wa sampuli hii..
 
Ninyi itakuwa mlibebana tu mkaamua kuishi pamoja kisela
 
Kaka tafuta hata ndugu, sista zetu wa vijijini aje akushikie nyumba. Huyo sio mwanamke. Utakuja nikumbuka siku moja. Ukiachilia kwenda kuliwa, je wezi wangekuja kuiba vitu? Mi mtu ambae hajali
Mkuu , kwa maelezo ya mtoa mada ni kwamba,

Baada ya kurudi safari, nyumbani hakumkuta mke wake , lakin alikuta gari yake na vitu vingine vyote vikiwa salama.

Pamoja na nyumba na mali vilivyomo inanonesha mke, havijali sana .. ndio maana kaamua kutoka na kwenda kwa dada yake ambaye mtoa mada anamuelezea kama ni daa mtu maisha ni mabovu na familia haijiwezi kivile...

Inawezekana kabisa mtoa mada anamatatizo yanayopelekea huyu mwanamke kuwa hivi,

Kitendo cha kumzalisha tu mwanamke na kumuweka ndani kama mlinzi wa nyumba hayo sio mapenzi...

Mtoa mada hana muda na mke wake wala familia inaonekana ana vipaumbele vyake vingine kama kazi, n.k
 
Mkuu , kwa maelezo ya mtoa mada ni kwamba,

Baada ya kurudi safari, nyumbani hakumkuta mke wake , lakin alikuta gari yake na vitu vingine vyote vikiwa salama..
Mkuu unge shauri nifanye je niache kazi, nikae nyumbani kumpa mda mke ndo asiondoke next time? Au? mimi nikitoka safarini nakaa home 24/7 sinaga vijie va kwenda kupoteza mda mipira naangaliaga home, kwahiyo kwangu naona hiyo sio sababu au unataka niwe nasafiri nae popote napo enda?
 
Mkuu ungeshauri nifanye je niache kazi, nikae nyumbani kumpa mda mke ndo asiondoke next time? Au mimi nikitoka safarini nakaa home 24/7 sinaga vijie vakwanda kupoteza mda mipira naangaliaga home, kwahiyo kwangu naona hiyo sio sababu au unataka niwe nasafiri nae popote napo enda?
Pole sana kwa matatizo hayo mkuu, je bado unampenda, na unahisi huyo mwanamke anakupenda??
 
Aisee we ni ndezi kabisa..

Uyo mkeo analiwa na washkaji 100%,, soon utabambikiziwa mtoto wewe..

Jiulize swali rahisi tuu,, hajakaa nyumbani mwezi, umerudi umemtafuta eti kirahisi tu anakuambia yuko kwa dada yake. Kisha badala umchukue yeye na ufunguo mrudi nyumbani, akamtuma dada yake akuletee ufunguo (yeye akakukaushia, no msg no calls), ulivomtafuta tena amekimbilia kwenye hatima moja kwa moja na sio kuomba msamaha.

Broo unaibiwa
 
Mkuu usimchape.ni mtu mzima huyo
Mkalishe tena mpe last warning.mwambie yeye ni MTU mzima,pia ni mke wa mtu zaidi ni mama Na familia yake..matendo yote atakayofanya awe anafikiria hizi tittle zake kwanza.
Hata kama anapapenda kwao na kujiskia more comfortable kuishi kwao.akumbuke alishaolewa na kuachana na kwao.ana kwake anapohitajika kupatunza na kupalinda.basi kama anaogopa kuishi peke ake ikiwa haupo aite hata ndugu mmoja aje aishi nae.ukirudi ataondoka.
Waza kaacha nyumba mwezi mzima na Giza usiku mnene vibaka wakavunja na kuingia ndani wakaiba.gari likanyofolewa vifaa.hasara ya nani?
MPE semina huyo mkeo.akili zake bado.

Hamna best...mke kashamzidi ujanja mume hapo ndoa itayumba..mke akishakuwa na akili kumzidi mume andika maumivu kiuhalisia anaogopa nini kubaki alone? Muongo tu..lol
 
Huyo hakutaki na dada yake anajua mengi.Achana nae tu ulee watoto wako.Kamwe usilazimishe mapenzi kwa namna yoyote.
Ni kweli hakuwa kwa dadake huyu, chunguza kwa makini kabla hujamrudia
 
Nashukuru kwa ushauri sasa akiondoka nani asimamie maendeleo nyumbani hiyo nichagamoto pia, nakuleta mke mgine naona itakua too much huyu ni watatu nikifikisha wanne jamii itaniona kama mimi ndomwenye tatizo
Tafauta mwanamke awe mfanyakazi wa hapo umlipe
 
Ha ha ha ha mkuu unataka barter trade zama hizi.
Sitamfanya chochote usiwe na hofu mkuu we niambie nimfuate alipo ili nikuachie hili la kwangu li bomu ulione kama utapata usingizi......
 
Kweli mkuu umesema ukweli, ni miezi miwili cijakutana namwana mke yoyote kwasabb ya safari, ila sina hamu nae kabisa kalala mie niko sembuleni na citamgusa kabisa paka pale nafsi itakapo ridhia......jamani wanawake ni mtihani mkubwa
We unSema.mwei hapa nilipo nilitibua ndoa mwaka jana maezi wa 3 hadi leo hola na kila mtu amekomaa naona tunafika mwisho soon nimeongea miei 2 ikifika june napiga hini taasisi ya ndoa
 
Easy mkuu
Muwekee aina mbali mbali za mifugo hapo nyumbani atakuwa na majukumu maana ni kama hana ch kumuweka busy huyo
Na kila siku utamkuta jioni kalala amechoka na shughuli
 
Kitendo cha kurudia rudia yale unayomkataza ni ishara kuwa huyo mwanamke anakudharau kwa kiwango cha juu sana......na dharau inatokana na kuwa kuna sehemu umejikwaa kwenye kutimiza majukumu yako kama mwanaume ndani ya nyumba..........

Kwa hali ilivyo ndani ya nyumba yako kwa sasa ni dhahiri kuwa imeshachelewa kuchukua hatua stahiki.......kwa manufaa ya ustawi wa maisha yako na wanaokutegemea kwa ujumla ni vyema kukaza moyo na kuachana na huyo mwanamke kwani dalili zinaonyesha kuwa atakuja kukuletea balaa kubwa sana litakalokutea majuto makubwa kuliko hata unavyowaza namna ya kuishi na wanao bila ya mkeo.........

Simama kama mwanaume na ufanye maamuzi magumu.........

WORD IS ENOUGH FOR THE WISE.......

FLY THAT DOESN'T HEED ADVICE WILL FOLLOWS THE CORPSE TO THE GRAVE......
 
Yan siku nioe alaf mwanamke aondoke home aende kwao bila kisa anaogopa nyumban wenda ndio akawa amejipa taraka hivyo. Kama anaogopa ndani vas aondoke aende akakae nyumban kwetu mm nikirudi nitamfata.
 
Kakudanganya kuhusu kifo cha mama yake, unahis ata kuondoka hapo kwako kisa anaogopa kuwa pekeake kuna ukwel ndani yake?
 
Back
Top Bottom