Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 15,001
Basi wachache mko hivyo..Wengi wanapenda wa sampuli hii..Hapana Kaboom . Maandiko yanataka tuwaheshimu wanaume, na heshma haiombwi wala hailazimishwi.... vile mwanaume aishivyo ndivyo anavyojijengea heshma
Raha ya mwanaume awe mkali na mwenye maupendo tele