Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Sio kwamba watu hatutaki kukubali binafsi nashangaa unaishi kwenye ndoa ya aina gani kama mkeo anapata ujasiri wa kukuficha kifo cha Mama yake,Anaondoka kwenda kwa dada yake kwa mwenzi 1 ni dhahili ndoa yenu inapumulia mashine.Hii tabia ya mkeo ulishawahi kuieleza Familia yake?
 
Kamata goma..

Vuta kwa bed...lichape goli 5.

Nawe utabarikiwa.
 
Nimejifunza kwamba Veve ni Mirungi. Baddest 47 alinichanganya ila JF imenifafanulia!
 
Adhabu ni viboko vitano adhabu kama ya mwanafunzi
 
Ndg zake wote nilisha wahi kuongea nao kuhusu hayo matatizo ila sikusaidiwa naona Mama ake ndo alikua mtu peke mwenye uelewa katika familia nzima ila kasha fariki.
 
Ndg zake wote nilisha wahi kuongea nao kuhusu hayo matatizo ila sikusaidiwa naona Mama ake ndo alikua mtu peke mwenye uelewa katika familia nzima ila kasha fariki.
 
Mkuu ninge toa adhabu gani mbali na ya kumrudisha makwao
Mkuu yeye anapenda kwao wewe unamng'ang'ani utajuta zaidi mkuu hakuna azabu inayomfaa zaidi ya kumuacha kwao.

Wewe tafuta house girl mdada mkubwa ukimlipa vizuli mjiwako utakua poa sana
 
Mkuu yeye anapenda kwao wewe unamng'ang'ani utajuta zaidi mkuu hakuna azabu inayomfaa zaidi ya kumuacha kwao.

Wewe tafuta house girl mdada mkubwa ukimlipa vizuli mjiwako utakua poa sana
Nice idea mkuu ahsante, ila wadada wakubwa tatizo lao wanakua na watoto wengi ndo shida.
 
Huyo acha abaki kulea watoto kamA usemavyo ila tafuta mchepuko OG mjengee nyumba sehemu nyingine mpende na kumalizia ishu zako huko then huyu mchape viboko then arudi ndani
Unakuwa na mke na mlea watoto wanaoishi sehemu tofauti
 
Kwa maelezo ya hapa mgeuze awe housegirl alee wanae.

Pesa unayo kwanini usitafute msaidizi humo ndani wakawa wawili? Hawataondoka wote nyumba na watoto watakua salama
 
Ndo maana wanaume wanawahi kufa asa kwa staili hiii kuna maisha hapo?
Hapo ni maangamizi tu! Baba amekubali yaishe amtie vibao ili siku nyingine akisafiri ndio inakuwa kamchezo ka kwenda kutiwa nje huko kisha ambambikie mimba! Mwanamke mpumbavu namna hio eeh mungu niepushie
 
[emoji23][emoji23]...Hakika

Hapa achoree mstari kabisa.
Hapo haipingiki na ilipodhihirisha udhaifu ni pale anapoomba ushauri wa mwanamke ambaye akisafiri halali mwenyewe anaogopa na kwenda kulala anapopajua yeye kwa visa ya dada yake!🤣🤣🤣

Unaenda pokelea funguo kwa shemeji yako usiku wa kutisha na mkeo asitoke muondoke wote hehehe!
 
Wote wako hivyo wala usihangaike kutafuta mwingine, kwanza huyo ana hata adabu kidogo. Usije fanya kosa la kumchapa, Wala kumpa azabu yeyote, akuambie kwa nini aliondoka nyumbani? akishajieleza na ataweka na oungo hapo, Wewe kua Mwalimu anza kufundisha kama Mtoto na kama una nafasi muweke karibu, hasa ktk mambo ya familia yenu, kwenda kununua vitu Vya nyumbani, mfundishe mnataka watoto wafikie wapi, unataka maisha yenu yawe vip? Badilisha marafiki na maisha ya uswahilini, Hakikisha yuko busy. anaweza Kuwa na unafuu
 
Huyu mwanamke kweli hakuwa kwa dada yake ndiyo maana aliyrlrta funguo dada yake. Mwanamke ana bwana na dada yake anamjua huyo bwana.
Yani sijui huyu jamaa karogwa anashindwa hata chambua mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…