Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Muache kuoa mademu wa uswazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo wazo lakua na bwana wake bado halijaniingia kwasababu hi kipi kilimuzuia kumleta bwana ake nyumbani? wakati iko peke yake nyumbani na kuna uhuru na ulinzi wakutosha, pamoja na hayo huyu mwanamke akili zake nazijua sio za kufuata bwana 'libido' yake iko low sanaa pia simu yake na imonitor bila yeye kujua hamna kitu kama mahusiano naona ni ujinga na makuzi ma mambovu kutoka kwa wazazi wake.Huyu mwanamke kweli hakuwa kwa dada yake ndiyo maana aliyrlrta funguo dada yake. Mwanamke ana bwana na dada yake anamjua huyo bwana.
Yani sijui huyu jamaa karogwa anashindwa hata chambua mambo.
Jamaa ni Boya Pro Max! Yani mwanamke ambaye yuko chini yangu akifanya hilo nafukuza mapema sana sijulizi hata mara 2Huyu mwanamke kweli hakuwa kwa dada yake ndiyo maana aliyrlrta funguo dada yake. Mwanamke ana bwana na dada yake anamjua huyo bwana.
Yani sijui huyu jamaa karogwa anashindwa hata chambua mambo.
Sidhani kama utakua sahihi sioni lengo la kuleta uongo hapa am not of that kind ila bado una uhuru wa fikra zako na kuongea unacho taka.Ivi nikisema hii chai ntakuw mkorofi [emoji39][emoji39]
Kama bwana anapanga atamfuata huko huko. Hujiulizi kwanini alisema mkutane kituoni? Ina maana angekwambia ufke kwa dada yake usingemkuta hakuwa kwa dada yake.Hilo wazo lakua na bwana wake bado halijaniingia kwasababu hi kipi kilimuzuia kumleta bwana ake nyumbani? wakati iko peke yake nyumbani na kuna uhuru na ulinzi wakutosha, pamoja na hayo huyu mwanamke akili zake nazijua sio za kufuata bwana 'libido' yake iko low sanaa pia simu yake na imonitor bila yeye kujua hamna kitu kama mahusiano naona ni ujinga na makuzi ma mambovu kutoka kwa wazazi wake.
Mkuu hiyo sio suluhisho la kudumu angalia repercussion yake kwanza, nilisha wahi kutimua wawili bila hata kuomba ushauri kwa huyu the story is different.......na imani ntalitatua hili with minimal damage believe me nimepata mawazo ya wadau nashukuru nime yachuja nina yakwangu sasaJamaa ni Boya Pro Max! Yani mwanamke ambaye yuko chini yangu akifanya hilo nafukuza mapema sana sijulizi hata mara 2
Sasa kutomleta bwana wake si heshima kiduchu tu alio nayo kwako na pia jamaa anaemkaza anajitambua na anajua kwako sio sehemu salama. Sio kwamba alishindwa ila tu amekustahi sababu bado anataka muendelee kuwa pamoja apate huduma toka kwako ila haimaanishi hawezi kuwa anatiwa huko nje!Hilo wazo lakua na bwana wake bado halijaniingia kwasababu hi kipi kilimuzuia kumleta bwana ake nyumbani? wakati iko peke yake nyumbani na kuna uhuru na ulinzi wakutosha, pamoja na hayo huyu mwanamke akili zake nazijua sio za kufuata bwana 'libido' yake iko low sanaa pia simu yake na imonitor bila yeye kujua hamna kitu kama mahusiano naona ni ujinga na makuzi ma mambovu kutoka kwa wazazi wake.
Sikulaumu najua love is blind ila uhalisia utakufunza mzee baba! Huyo mwanamke unaemkumbatia atakufanyia mazito zaidi akili itakapokurudia amekurudisha nyuma mara 10 ndio utajua hujui!Mkuu hiyo sio suluhisho la kudumu angalia repercussion yake kwanza, nilisha wahi kutimua wawili bila hata kuomba ushauri kwa huyu the story is different.......na imani ntalitatua hili with minimal damage believe me nimepata mawazo ya wadau nashukuru nime yachuja nina yakwangu sasa
Huyo hakutaki na dada yake anajua mengi.Achana nae tu ulee watoto wako.Kamwe usilazimishe mapenzi kwa namna yoyote.
Hahahah kweli wa jalalani huyo kama Kabudi! Mwanamke wa hovyo ambaye hajui kuaga anajiendea tu kama Gendaeka ni kimeo Pro Max kwa kweli!😁yaani ni maigizo kwa kweli, hao wanawake wa kuokota mnawatoaga wapi ?
Kuna mwanamke alitoaga mimba yangu kwa mpango ambao dada yake aliuratibu! Analia tu kila kukicha akikumbuka upumbavu alioufanya! Nikakuta karatasi za Ultra sound za Marie Stopes ambapo likely ndio aliitolea ile mimba akanidanganya ni miscarriage kumalamamaake! Sikuwahi kuumia namna ile!!!Mi mwenyewe mawazo yananijia kuna kidume atakuwa kafatwa huko kwa ushirikiano wa Dada jamaa nae anaamini ni kuogopa kubaki peke yake
Jamaa ni boya mpaka anakera huyu! Huyu mwamba sijui kama hajatongozewa huyo mke wake! Mwanamke anaweka uongo wa kitoto kabisa ila akili yake imefungwa kiasi kwamba haiwezi ng’amua maigizo anayofanyiwa na huyo malaya ambaye ndie mkewe! 🤓🤓🤓 Aisee kina Chris Mauki wana tabu kweli kweli!!!Kama bwana anapanga atamfuata huko huko. Hujiulizi kwanini alisema mkutane kituoni? Ina maana angekwambia ufke kwa dada yake usingemkuta hakuwa kwa dada yake.
Kama angekuwa kwa dada yake kwanini hakuleta funguo mwenyewe?
Hahahahah kwa akili za huyu mwanamke ukimletea mdogo wako wa kiume anaweza akawa anamkaza shemeji yake! Anachoogopa ni kitu gani hasa kama ana watoto tayari kashazaa si alale na wanae!Kampan kampan kampan
Unajua ndoa nyingi za sku hz hazdumu kwasababu tunapenda kuishi wawili tu na watoto wetu.
Ukute n kwel anaogopa,cha kufanya mlete dada ako au mdogo wako wa kiume au mdogo wake wa kike ampe kampan
Zaman watu waliishi kicompound hata mlikuwa wanandoa mkigombana mnapata ushauri kwa mama maana anakuwa yupo karibu,pia wanandoa walkuwa hawawez kufanya mambo ya ajabu ajabu kama kupgana,uzinzi maana ndugu zenu wapo karibu na nyie
Jamaa yani huyu mwanamke atakuwa anamuona kuwa ana uwezo mdogo hata kung'amua mambo. Atachapiwa mpaka akija funguka akili atakuwa anakuna nazi 😂😂 mke na bwanake wamepumzika room.Jamaa ni boya mpaka anakera huyu! Huyu mwamba sijui kama hajatongozewa huyo mke wake! Mwanamke anaweka uongo wa kitoto kabisa ila akili yake imefungwa kiasi kwamba haiwezi ng’amua maigizo anayofanyiwa na huyo malaya ambaye ndie mkewe! 🤓🤓🤓 Aisee kina Chris Mauki wana tabu kweli kweli!!!
Hawa ndio wale mabwege akijaribu kumchimba mke anafokewa na kukatiwa simu 😂😂😂!!! Ndio maana kakubali kupokelea funguo barabarani!