Mke wangu amenenepa mno

Picha iko wapi?

Uzi wako unakosa chain of custody, relevancy na competence tunachangiaje sasa
Mimi naona twende kwenye kesi ndogo ndani ya kesi kubwa. Maana sio haki, mtu unampatia mwenyewe diet ili anenepe. Alafu baada ya kunenepa unakuja kumfungulia uzi.
 
huyu ndo yule mke aliyekukamulia maziwa, wakat unamnyonya maziwa yake??
kama n yy bas mnyonye haswa zaid ya mtoto, hakika utanishukuru baadae......
 
Tafuta kamchepuko fulani "portable" mbona vipo tu, kadogo dogo hivi unaka_screw vizuri, hawa wake zetu wakishajifungua mwili ukishafumuka haurudi tena. Ni vitambi kwenda mbele.

Kuwa na ka_portable kako lakini hakikisha inakuwa ni Siri kuu, wife hahitaji kujua kamwe, asije kuumia.
 
Hakuna kapicha [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]????
 
Mpe stress tu mbona utamuoea huruma atavoisha!!
 
Tabu ya kudate na demu mwembamba hujui anataka mapenzi au chakula
 
Mbona sielewi dhumuni la huu uzi!! Umeandika tukushauri au umetujuza kwamba mke wako kanenepa
 
Doh dear future husband, usijekua na mawazo kama haya, ubaki njia kuu na mimi tu hata kama nna kitambi, michepuko siyo mizurišŸ¤”
 
Akaniambia "yaani leo nahakikisha nakutegua nyonga", nimemnukuu. Yaani kunenepa kwake anafanya ni kama silaha? Nikamlegeza kwa maneno matamu hatimaye akainuka. Neno lenyewe nililomuambia ni kuwa kanenepa mno atakuwa mzito kwenye sex.
Ukute kanenepa tumbo bila Tako.... anyway ndio maisha
 

Kwa hiyo umeona nao huu ni uzi au ujinga? Hayo ni mambo yenu ya ndani ya nyumba na daktari anaweza kuwapa majibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…