SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Mimi naona twende kwenye kesi ndogo ndani ya kesi kubwa. Maana sio haki, mtu unampatia mwenyewe diet ili anenepe. Alafu baada ya kunenepa unakuja kumfungulia uzi.Picha iko wapi?
Uzi wako unakosa chain of custody, relevancy na competence tunachangiaje sasa
Akikujibu unitag nione hilo jibu lake...Amenenepa hadi kitumbua au?
Tafuta kamchepuko fulani "portable" mbona vipo tu, kadogo dogo hivi unaka_screw vizuri, hawa wake zetu wakishajifungua mwili ukishafumuka haurudi tena. Ni vitambi kwenda mbele.Shabaaaash! Habarini wanajukwaa.! Mke wangu ana muda usio mrefu tangu ajifungue na anakaribia kuacha kunyonyesha sasa kwani mtoto ameshakuwa mkubwa.
Tatizo ni kuwa nilimuanzishia diet ya kurudisha virutubisho kwani hili dume lilikuwa linanyonya mno so alipungua kiasi. Sasa amenenepa kuanzia matiti, na hasa makalio japo mwili wote kanenepa.
J pili mchana tulikuwa home, kama ada, tukaanza kutaniana vizuri tu, tulikuwa on bed ila not for sex at that instant, kuna kitu nikamuambia akachukia japo utani, akanikalia, kutokana na uzito mkubwa sikuweza kuinuaka, nilikuwa napumua vizuri ila kujitoa ilikuwa ngumu.
Akaniambia "yaani leo nahakikisha nakutegua nyonga", nimemnukuu. Yaani kunenepa kwake anafanya ni kama silaha? Nikamlegeza kwa maneno matamu hatimaye akainuka. Neno lenyewe nililomuambia ni kuwa kanenepa mno atakuwa mzito kwenye sex.
Nimepanga kumfanyisha diet na mazoezi apungue kinguvu. Hivi vyakula gani ale? Ananisononesha mno huyu mama watoto wangu.!
Ahahahaha haya ni matunda ya case ya kina MbowePicha iko wapi?
Uzi wako unakosa chain of custody, relevancy na competence tunachangiaje sasa
Wengine stress zinawanenepeshaMpe stress tu mbona utamuoea huruma atavoisha!!
Mhhhh!!!!, Kivipi??.Wengine stress zinawanenepesha
Dah... Hongera yao aisee mimi siku 2 tu nakua miss!!Wengine stress zinawanenepesha
Ingekuwa ni mtihani hapa kwangu angeambulia maksi 40%Picha iko wapi?
Uzi wako unakosa chain of custody, relevancy na competence tunachangiaje sasa
Doh dear future husband, usijekua na mawazo kama haya, ubaki njia kuu na mimi tu hata kama nna kitambi, michepuko siyo mizuriš¤Tafuta kamchepuko fulani "portable" mbona vipo tu, kadogo dogo hivi unaka_screw vizuri, hawa wake zetu wakishajifungua mwili ukishafumuka haurudi tena. Ni vitambi kwenda mbele.
Kuwa na ka_portable kako lakini hakikisha inakuwa ni Siri kuu, wife hahitaji kujua kamwe, asije kuumia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kimeumana.Doh dear future husband, usijekua na mawazo kama haya, ubaki njia kuu na mimi tu hata kama nna kitambi, michepuko siyo mizuri[emoji848]
Ukute kanenepa tumbo bila Tako.... anyway ndio maishaAkaniambia "yaani leo nahakikisha nakutegua nyonga", nimemnukuu. Yaani kunenepa kwake anafanya ni kama silaha? Nikamlegeza kwa maneno matamu hatimaye akainuka. Neno lenyewe nililomuambia ni kuwa kanenepa mno atakuwa mzito kwenye sex.
Shabaaaash! Habarini wanajukwaa.! Mke wangu ana muda usio mrefu tangu ajifungue na anakaribia kuacha kunyonyesha sasa kwani mtoto ameshakuwa mkubwa.
Tatizo ni kuwa nilimuanzishia diet ya kurudisha virutubisho kwani hili dume lilikuwa linanyonya mno so alipungua kiasi. Sasa amenenepa kuanzia matiti, na hasa makalio japo mwili wote kanenepa.
J pili mchana tulikuwa home, kama ada, tukaanza kutaniana vizuri tu, tulikuwa on bed ila not for sex at that instant, kuna kitu nikamuambia akachukia japo utani, akanikalia, kutokana na uzito mkubwa sikuweza kuinuaka, nilikuwa napumua vizuri ila kujitoa ilikuwa ngumu.
Akaniambia "yaani leo nahakikisha nakutegua nyonga", nimemnukuu. Yaani kunenepa kwake anafanya ni kama silaha? Nikamlegeza kwa maneno matamu hatimaye akainuka. Neno lenyewe nililomuambia ni kuwa kanenepa mno atakuwa mzito kwenye sex.
Nimepanga kumfanyisha diet na mazoezi apungue kinguvu. Hivi vyakula gani ale? Ananisononesha mno huyu mama watoto wangu.!