Mke wangu ameniacha njiapanda

Mke wangu ameniacha njiapanda

Pole sana Mungu akusaidie kwa hiyo changamoto ili uweze kuwa na maamuzi sahihi.
 
Wakuu hebu tuangalìe pia upande wa pili kwa umakini. Je tunawapekea moto vizuri wake zetu? Isijekuwa tu wazembe kisha tunalalamika kumbe sisi wenyewe kimoja tu chali!
Hivi mbuzi sikuizi nao wanatumia smartphone..?
 
Kabla ujafanya maamuzi yoyote kumbuka alishachapwa na shemeji na ataendelea kuchapwa na shemeji uo ndo ukweli mkuu ok maamuzi juu yako mkuu
 
Wakuu mmebarikiwa sana na Mwenyezi Mungu.

Jana usiku ulitokea msala mmoja mimi na mke wangu.

Smartphone ya mke wangu ilivujia wino kwa bahati mbaya bado hajaipeleka kwa fundi sasa J5 aliniomba simu yangu aweke application ya business WhatsApp ili achart na marafiki zake nikamwambia sawa.

Sasa jana usiku nilitoka kidogo wakati nipo njiani ikaingia sms kwenye WhatsApp upande wa namba yake ikiwa inasema MAMBO....mi nikajibu NANI....ikajibiwa IMA....nikamjibu UNAJUA UNACHART NA NANI....akajibu JINA LA MKE WANGU.....nikamwambia OK....tukasalimiana nikijdai kama mimi ndo mhusika yaani mke wangu.

At last jamaa akaomba picha nikamkatalia kwa kumwambia siwezi na nikauliza yanini picha. Jamaa akadai amemiss kuniona yaani kumuona mke wangu.

Nikamuuliza umemisi nini akajibu MAMBO YAKO BADO SJASAHAU....nikauliza mambo gani akajibu ya KITANDANI.

Nilipofika nyumbani nikamsalimia mke wangu nikamwambia anipe simu ndogo aliyokuwa nayo kucheck upande wa dialed call nikakuta ni muda si mrefu alikuwa anaongea na jamaa aliyekuwa amemtumia sms WhatsApp jamaa alikuwa kampigia wameongea kama dk 3.

Nikamuuliza huyu uliyekuwa unaongea naye ni nani wakati huo sjamwambia chochote kuhusu charting za hiyo namba kwenye WhatsApp yake.

Akajibu huyo ni shemeji yake kule alikoolewa mdogo wake.

Nikamuuliza mara 3 huyu ni nani maana pia namba hakuwa ameisave akashituka akauliza kwani kuna nini.

Nikamwambia kwahiyo wewe ulikuwa unafanya mapenzi na shemeji yako au siyo. Akashituka hapana nikamuonyesha WhatsApp vile jamaa amesema mke wangu akakataa kabisa eti jamaa akajiandikia tu ila hakuna lolote kama vipi tumpigie nikamwambia ok ngoja tumpigie wakati najiandaa kupiga akakataa ooooh subiri kwanza nikwambie nikakataa maana tumeshakubaliana tupige simu na yeye hilo wazo ndo kalisema.

Nikapiga jamaa akapokea mke wangu akagoma kbs kuongea nikakata simu.
Nikaenda zangu sitting room nikamuacha room.

Sasa tokea wakati huo sijaongea naye chochote namuangalia tu nimetoka job hapa namcheck tu maana sina kawaida ya kupiga mwanamke na sijawahi kumpiga hata kofi.

SASA WAKUU MNANISHAURI NICHUKUE HATUA GANI, PILI KWANINI MKE WANGU ALINIDANGANYA, TATU JE HUYU MKE NA HUYU JAMAA YAKE WAKIKUTANA MNADHANI HAWATAPASHA KIPORO HAWA RAIA HAWA, NNE KWA HISIA ZA HARAKA WALIPOKUWA WANAONGEA KWENYE SIMU WAKATI SIPO WALIKUWA WANAKUBALIANA NINI......[emoji848]

Duuuuh
 
Ni kweli BT HAJAOMBA MSAMAHA KABISA AS IF HAKUNA KILICHOTOKEA TUPO TUNAANGALIANA TU.
USIKU HUU ANANIULIZA KAMA HATUWEZI ELEWANA NISEME MI NIMEJIBU SINA CHA KUELEWANA NAYE CHOCHOTE KILE NA NJIA NI NYEUPE KWAKE KWA LOLOTE KISHA NIKANYAMAZA. [emoji40][emoji850]

Yaani na msamaha hajaomba??????????????? Mmmh hatari sana
 
Nipo cool kbs hata msosi akipika sili napika mwenyewe mi namcheck tu.....kashajiliza weee mi kama simuoni vile.
Mpuuzi sn kuna maagizo huwa nampa hapa home hafanyagi leo nmerudi jioni nmekuta kafanya kila kitu

anajua napendaga karaga za kukaanga nazo nimekuta kama zote kakaanga sjala hata karanga moja nampimia tu.[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]

Anaonekana anakiburi huyoo
 
Kwanini mna oa huku hamjakomaa au kuwa tayari kuwa baba wa familia, mume na kiongozi kwa mkeo?
1.Acha kufanya mawasiliano ukijifanya wewe ndie mke, itakusaidia saana.
2.Acha kumchunguza mkeo, mke hachungwi kama mfugo.
3.Kama Kuna tatizo kwenye ndoa yako na unaona kukimbilia JF ndio utapata utatuzi jua kabisa wewe bado hujakomaa kuwa kiongozi wa familia yako.
NB. Kila ndoa inachangamoto zake, lakini kama mwanaume lazima uwe na kaba ya koo..hata kama uko kama ghost hapa JF lakini unachokifanya gizani ndio uhalisia wako. Ukiona mke amekushinda bora uhame uanze maisha mapya maana kwa kuwa hamjakomaa kiakili kuhandle matatizo ya ndoa mwishowe mtaishia kuua Wenza wenu na kujiua.
Sio dhambi kuishi peke yako.
 
Hivi wewe jamaa unafahamu uchungu wa kugongewa? Sisi ni Wanaume tumsaidie mwezetu kumpa ushauri wenye kufaa sio suala la kusamehe mwanamke kwenye uzinifu, yaani nitomb..ewe mwanamke na ushahidi upo halafu uniletee habari za msamaha kwanza nitaanza na wewe unayeshauri msamaha kmmmk.

I make money I make rules....Kama unalelewa endelea kusamehe maana hauna jinsi.
Above all kama huwezi kumuacha usimfuatilie.....hata kama ungetengeneza rules 1000000 ila kuchapiwa kuko palepale
 
Mkuu ungefanya subira kidogo ili upate data za kutosha kujiridhisha ndipo ungechukua maamuzi.Haraka imekuponza sasa umeshindwa kuupata ukweli na ushahidi kamili.Ila law kifupi ni wazi kwamba amekusaliti japo hawezi kukubali
 
bora uhame uanze maisha mapya maana kwa kuwa hamjakomaa kiakili kuhandle matatizo ya ndoa mwishowe mtaishia kuua Wenza wenu na kujiua.
Wewe uliyekomaa ndio mpe ushauri Kijana asiyekomaa afanyaje....??? amekuja huku ili nyie mliokomaa mumpe maelekezo nini anatakiwa kufanya....

Anakusikiliza tafadhali....
 
Visanga kam ivi ndio naonaga ndia mda mwingne sio kitu cha maana kwasababu unakuwa na mistress ya kugongewa Mara ela ya kuemea mara mambo kibao
Wakuu mmebarikiwa sana na Mwenyezi Mungu.

Jana usiku ulitokea msala mmoja mimi na mke wangu.

Smartphone ya mke wangu ilivujia wino kwa bahati mbaya bado hajaipeleka kwa fundi sasa J5 aliniomba simu yangu aweke application ya business WhatsApp ili achart na marafiki zake nikamwambia sawa.

Sasa jana usiku nilitoka kidogo wakati nipo njiani ikaingia sms kwenye WhatsApp upande wa namba yake ikiwa inasema MAMBO....mi nikajibu NANI....ikajibiwa IMA....nikamjibu UNAJUA UNACHART NA NANI....akajibu JINA LA MKE WANGU.....nikamwambia OK....tukasalimiana nikijdai kama mimi ndo mhusika yaani mke wangu.

At last jamaa akaomba picha nikamkatalia kwa kumwambia siwezi na nikauliza yanini picha. Jamaa akadai amemiss kuniona yaani kumuona mke wangu.

Nikamuuliza umemisi nini akajibu MAMBO YAKO BADO SJASAHAU....nikauliza mambo gani akajibu ya KITANDANI.

Nilipofika nyumbani nikamsalimia mke wangu nikamwambia anipe simu ndogo aliyokuwa nayo kucheck upande wa dialed call nikakuta ni muda si mrefu alikuwa anaongea na jamaa aliyekuwa amemtumia sms WhatsApp jamaa alikuwa kampigia wameongea kama dk 3.

Nikamuuliza huyu uliyekuwa unaongea naye ni nani wakati huo sjamwambia chochote kuhusu charting za hiyo namba kwenye WhatsApp yake.

Akajibu huyo ni shemeji yake kule alikoolewa mdogo wake.

Nikamuuliza mara 3 huyu ni nani maana pia namba hakuwa ameisave akashituka akauliza kwani kuna nini.

Nikamwambia kwahiyo wewe ulikuwa unafanya mapenzi na shemeji yako au siyo. Akashituka hapana nikamuonyesha WhatsApp vile jamaa amesema mke wangu akakataa kabisa eti jamaa akajiandikia tu ila hakuna lolote kama vipi tumpigie nikamwambia ok ngoja tumpigie wakati najiandaa kupiga akakataa ooooh subiri kwanza nikwambie nikakataa maana tumeshakubaliana tupige simu na yeye hilo wazo ndo kalisema.

Nikapiga jamaa akapokea mke wangu akagoma kbs kuongea nikakata simu.
Nikaenda zangu sitting room nikamuacha room.

Sasa tokea wakati huo sijaongea naye chochote namuangalia tu nimetoka job hapa namcheck tu maana sina kawaida ya kupiga mwanamke na sijawahi kumpiga hata kofi.

SASA WAKUU MNANISHAURI NICHUKUE HATUA GANI, PILI KWANINI MKE WANGU ALINIDANGANYA, TATU JE HUYU MKE NA HUYU JAMAA YAKE WAKIKUTANA MNADHANI HAWATAPASHA KIPORO HAWA RAIA HAWA, NNE KWA HISIA ZA HARAKA WALIPOKUWA WANAONGEA KWENYE SIMU WAKATI SIPO WALIKUWA WANAKUBALIANA NINI......🤔
 
Mkuu ungefanya subira kidogo ili upate data za kutosha kujiridhisha ndipo ungechukua maamuzi.Haraka imekuponza sasa umeshindwa kuupata ukweli na ushahidi kamili.Ila law kifupi ni wazi kwamba amekusaliti japo hawezi kukubali
Hata haueleweki unachoongea.

Mara kashindwa kuupata ukweli. Halafu unasema kifupi amesalitiwa. Kwani yeye analalamika nini kama sio Ima kufanya yake.
 
Kuoa sio ishu..anaweza olewa na kuliwa analiwa tu...
Oa uclaim mke hujaoa so mke wa wote hata akiolewa ni mke wako so you have a right to complain to the world posa hata ima anaweza toa .
Maisha ya sasa ni kudhubutu umeelewa sio upuuzi upuuzi unaumiza watu hapa akili zao wakuupe ushauri hewa.
Ushimen na Mshana Jr na wengine wameoa kiuhalali wamefuata process wakilalamika wanahaki sio wewe
 
Back
Top Bottom