Ikibididaga
Member
- Jun 14, 2022
- 70
- 50
NiceNdo ana mimba sasa ila sijafunga naye ndoa ila mahari nishatoa. Nawaza kuachana naye tu arudi kwa bwana ake huko wakaendelee walipoishia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NiceNdo ana mimba sasa ila sijafunga naye ndoa ila mahari nishatoa. Nawaza kuachana naye tu arudi kwa bwana ake huko wakaendelee walipoishia.
Yaap ndo sjaamua chochote mpk sasa namuangalia tu simsemeshi chochote wala smjibu chochote kile hata usiku huo chakula nilijpikia nikala ye kakaa huko room anajiliza.
Kama ni nyege za huyo jamaa kwanini anaendelea kuwasiliana naye why asimwambie yeye kwasasa ni mke wa mtu na ampige marufuku wanaongea na kuchart halafu nauliza ananidanganya kwanini adanganye.....🤔
Kwa mantilki hiyo. .Ndo ana mimba sasa ila sijafunga naye ndoa ila mahari nishatoa. Nawaza kuachana naye tu arudi kwa bwana ake huko wakaendelee walipoishia.
Naunga mkono wazo lako kwa 100% . Lakini muulize jamaa aliziona hizo sms je na yeye ni muaminifu kwa mkewe? Je yeye hachepuki? Kama yupo perfect sawa lakini kama hayupo perfect basi huo ni mpango wa mungu kumuonyesha kuwa anachokifanya na mkewe anakifanya. Apotezee tu kama amezaa nae watotoKwanza Mkuu una Watoto wangapi umezaa nae?
Uamuzi sahihi ni kumwacha aende zake tena upesi sanaa
Hata hyo mimba ukute sio yako mjuba umepigwa...Ndo ana mimba sasa ila sijafunga naye ndoa ila mahari nishatoa. Nawaza kuachana naye tu arudi kwa bwana ake huko wakaendelee walipoishia.
Logic hii wanaume wa Kibongo hatuna. Ni mfumo dume huu na tunachukulia kuchepuka kama sifa mojawapo ya "uanaume" wetu. Wakati huo huo mwanamke anapaswa kuwa loyal 100%Naunga mkono wazo lako kwa 100% . Lakini muulize jamaa aliziona hizo sms je na yeye ni muaminifu kwa mkewe? Je yeye hachepuki? Kama yupo perfect sawa lakini kama hayupo perfect basi huo ni mpango wa mungu kumuonyesha kuwa anachokifanya na mkewe anakifanya. Apotezee tu kama amezaa nae watoto
Wote wenye Tabia hizo.Hakuna mwanamke wa pekeako,kikubwa heshima tu,utaacha wangapi?
Ni mawazo yako pia,Ni mawazo yako pia.!
Unajua sijakuelewa kabisa kiswahili chako. Hebu weka wazi.Hivi mbuzi sikuizi nao wanatumia smartphone..?
Hapa ndio mtiti ulipo, unagundua Mke ana cheat alafu ni Mjamzito...mimba ya nani?.Ndo ana mimba sasa ila sijafunga naye ndoa ila mahari nishatoa. Nawaza kuachana naye tu arudi kwa bwana ake huko wakaendelee walipoishia.
Hata hiyo mimba ukute sio yako ni ya huyo jamaa yake wa kale.Ndo ana mimba sasa ila sijafunga naye ndoa ila mahari nishatoa. Nawaza kuachana naye tu arudi kwa bwana ake huko wakaendelee walipoishia.
Ataacha wote Sasa hajui anavyovutiwa na wake za wengine na yeye wa kwake ivyo ivyo. Kikubwa muonye achane naye. Kuna kuwa bored na kitu hata unakitaka kwa degree gani ya tamaaKwanza Mkuu una Watoto wangapi umezaa nae?
Uamuzi sahihi ni kumwacha aende zake tena upesi sanaa
Daah kwanini akudanganye? Inaonesha huyo alikua bado ana mipango nae ndio maana akakudanganya ili kumlinda.Yaap ndo sjaamua chochote mpk sasa namuangalia tu simsemeshi chochote wala smjibu chochote kile hata usiku huo chakula nilijpikia nikala ye kakaa huko room anajiliza.
Kama ni nyege za huyo jamaa kwanini anaendelea kuwasiliana naye why asimwambie yeye kwasasa ni mke wa mtu na ampige marufuku wanaongea na kuchart halafu nauliza ananidanganya kwanini adanganye.....[emoji848]
Kabisa yani, jamaa kaharibi ushahidi. Ila kwa hivo vielelezo vinatosha kabisa mtu kupakiwa kwenye Kimbinyiko kurudi kwao Migoli.Yani wewe akili yako ya upelelezi ni 0.... Ilitakiwa utengeneze full picture ambayo hawezi ruka ikiezekana hadi umwite mshikaji na aje then unamwaga huyo mwanamke mazima.. umeharibu ushahd yani
PIGA CHININdo ana mimba sasa ila sijafunga naye ndoa ila mahari nishatoa. Nawaza kuachana naye tu arudi kwa bwana ake huko wakaendelee walipoishia.
Yani wewe ni VILLAGE FOOLER haswaa!Wapo waliowafumania wake zao ila still waliwasamehe na maisha yakaendelea.
Kusamehe ni ibada.
Hivi mkuu ingekua niwewe ndo umekutwa na hali kama hiyo na mke wako ungekubali??? tena kwa haraka namna hyo hii namba ni ya nani ungejibu ni ya mpenz wako au ex wako??
Uongo wake ulikua na lengo la kujidefend tu ambavyo hata wewe ungefanya.
Uamzi ni wako mkuu.
Ninyi watu wa siku hizi mmekuwa wa ajabu sana. Kwa hiyo huo ushahidi anakusanya ili nani autumie kama sio yeye. Yeye ndiye mwenye maamuzi yaani mpelelezi na hakimu. Hata hiyo sms tu bila hata kumuuliza maswali mwanamke inamtosha kufanya maamuzi akitaka. Zaidi ya hapo unataka kudanganywa na ndio hapo wanaume vilaza hushindwa.Kabisa yani,jamaa kaharibi ushahidi. Ila kwa hivo vielelezo vinatosha kabisa mtu kupakiwa kwenye Kimbinyiko kurudi kwao Migoli.