Mke wangu amenipa Responsibility bila kunipa Authority. Hiki ni kilio cha wanaume wengi kwenye ndoa

MELEKAHE

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2023
Posts
1,340
Reaction score
5,588
Ndoa nyingi sana za kisasa mwanamke ndie anafanya maamuzi ya kufanya kitu bila kuomba ruhusa kwa mume wake . Ila mwanaume bado anafanya majukumu.

Mwanamke anaweza akaamua kwenda popote anapotaka bila kumuomba mumewe ruhusa zaidi ya kumpa taarifa tu.

Ila mwanaune huyo huyo ambaye haombwi ruhusa ( yaani hana Authority) bado anabebeshwa majukumu
 
pole kwa masaibu unayopitia.
 
Uongo. Huo uzoba na uzwazwa wako binafsi. Isituingize na kutujumuisha
 
Vp kwani ungependa uoshe vyombo au shida ni nini hasa
 
Yaan Ata ulicho andika siwez kupa authority uniendeshe lazima upelekeshwe 😹
 
Tafadhari usituingize sisi wengine kwenye huo uzwazwa wako.Ndoa zetu ziko ok,na wake zetu wanaomba ruhusa.
 
Bila shaka ulioa MWANAMKE mwenye ajira ili "msaidiane maisha" WANAUME WAPUMBAVU MTAENDELEA KILIA MPAKA MKOME. Haiwezekani kamwe uoe mama wa nyumbani ati atoke na kusafiri atakako bila kuomba ruhusa.

TATIZO hamuambiliki nimeandika nyuzi kibao kuwakanya kuoa mafeminist hamsikii. MWANAMKE akishakua na kazi na kakipato automatically anakua na tabia za kifeminist dharau, ujuaji, kiburi na jeuri. TATIZO hamtaki kusikia mnajifanyaa kwenda kisasa.

Yani hata kule kusaidiana maisha hakupo majukumi yote utabeba wewe na Bado utadharauliwa MWANAMKE MWENYE AJIRA NA KAKIPATO HAFAI KUA MKE.
 
Eti ndoa za kisasa dàaah mnawapa credit sana kataa ndoa....!!!
 
Nyie hawa viumbe mnawadekeza sana mwishoe wanaanza chezea mapumbuz yetu.
Mwanamke ni kwenda nae taliban style tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…