pole kwa masaibu unayopitia.Ndoa nyingi sana za kisasa mwanamke ndie anafanya maamuzi ya kufanya kitu bila kuomba ruhusa kwa mume wake . Ila mwanaume bado anafanya majukumu.
Mwanamke anaweza akaamua kwenda popote anapotaka bila kumuomba mumewe ruhusa zaidi ya kumpa taarifa tu.
Ila mwanaune huyo huyo ambaye haombwi ruhusa ( yaani hana Authority) bado anabebeshwa majukumu
Uongo. Huo uzoba na uzwazwa wako binafsi. Isituingize na kutujumuishaNdoa nyingi sana za kisasa mwanamke ndie anafanya maamuzi ya kufanya kitu bila kuomba ruhusa kwa mume wake . Ila mwanaume bado anafanya majukumu.
Mwanamke anaweza akaamua kwenda popote anapotaka bila kumuomba mumewe ruhusa zaidi ya kumpa taarifa tu.
Ila mwanaune huyo huyo ambaye haombwi ruhusa ( yaani hana Authority) bado anabebeshwa majukumu
Duh,Ila mwanaune huyo huyo ambaye haombwi ruhusa ( yaani hana Authority) bado anabebeshwa majukumu
Vp kwani ungependa uoshe vyombo au shida ni nini hasaNdoa nyingi sana za kisasa mwanamke ndie anafanya maamuzi ya kufanya kitu bila kuomba ruhusa kwa mume wake . Ila mwanaume bado anafanya majukumu.
Mwanamke anaweza akaamua kwenda popote anapotaka bila kumuomba mumewe ruhusa zaidi ya kumpa taarifa tu.
Ila mwanaune huyo huyo ambaye haombwi ruhusa ( yaani hana Authority) bado anabebeshwa majukumu
Wewe si umepoa?Msiwege mnaoa
Tafadhari usituingize sisi wengine kwenye huo uzwazwa wako.Ndoa zetu ziko ok,na wake zetu wanaomba ruhusa.Ndoa nyingi sana za kisasa mwanamke ndie anafanya maamuzi ya kufanya kitu bila kuomba ruhusa kwa mume wake . Ila mwanaume bado anafanya majukumu.
Mwanamke anaweza akaamua kwenda popote anapotaka bila kumuomba mumewe ruhusa zaidi ya kumpa taarifa tu.
Ila mwanaune huyo huyo ambaye haombwi ruhusa ( yaani hana Authority) bado anabebeshwa majukumu
KwaniniYaan Ata ulicho andika siwez kupa authority uniendeshe lazima upelekeshwe 😹
Yaan unajua authority inakuja sababu ya alivyo kuona unamueka unaeza Kuta boda boda akimwambia Fanya iki anafanya Kwa sababu anajua uyu mtu ataki masihara apa he has to be a man bhanaKwanini
Ndoa nyingi sana za kisasa mwanamke ndie anafanya maamuzi ya kufanya kitu bila kuomba ruhusa kwa mume wake . Ila mwanaume bado anafanya majukumu.
Mwanamke anaweza akaamua kwenda popote anapotaka bila kumuomba mumewe ruhusa zaidi ya kumpa taarifa tu.
Ila mwanaune huyo huyo ambaye haombwi ruhusa ( yaani hana Authority) bado anabebeshwa majukumu
Nyie hawa viumbe mnawadekeza sana mwishoe wanaanza chezea mapumbuz yetu.Ndoa nyingi sana za kisasa mwanamke ndie anafanya maamuzi ya kufanya kitu bila kuomba ruhusa kwa mume wake . Ila mwanaume bado anafanya majukumu.
Mwanamke anaweza akaamua kwenda popote anapotaka bila kumuomba mumewe ruhusa zaidi ya kumpa taarifa tu.
Ila mwanaune huyo huyo ambaye haombwi ruhusa ( yaani hana Authority) bado anabebeshwa majukumu