The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,228
- 1,447
ππππ kszi zangu za kuchoka mnooKwahio unavuliwa boksa hushtuki alo .... unalalaje ivyo jamani
Haoana unanikosea
Ndugu hapa ndio nipo kwenye gari leo atasema tu kusudi lakePole,
Haya ni maajabu kama maajabu mengine
Mimi cha kwanza ningehold simu, na nimuulize hizo pixha anafanyia nini,au anamuonyeshaga nani
Nina uhakika lazima kuna mtu kashawahi kuona hizo picha,
Make sure wakati unamhoji simu umeishika wewe,na ukifuta hakikisha na recycle bin umei empty,na google photo pia
Kanipiga na mgogo na kichwani hivy najua kichwa changu na theluthi tatu ta uso wangu inaonekanaWewe umejuaje kama makalio uliyoona kwenye hizo picha ni makalio yako? Sababu umesema "picha za makalio tu" sio rahisi mtu hasa mwanaume kutambua sehemu yake ya makalio tena kwenye picha
Najaribu kumchunguzaKama nikweli huo niudhalirishaji either anatatizo la kisaiklojia huenda yuko addicted mambo flnivi
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changuβ€οΈβ€οΈ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)πππ yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri
Usikute unavutia kuliko yeye kwahiyo anatumia izo picha kujidalalia.. anyaway.. kuanzia leo lala kimachale sana
Jinsi alivyopiga mgongo na hata theluthi ya sura yako unaiyona.Kama amepiga makalio tu, tena neked, umejuaje kama ni makalio yako, huwaga unajiangalia kwa background ya kioo na kukariri namna makalio yako yalivyokaakaa?
Muulize kwaza mwenye simu, majibu atakayokupatia ndiyo uyalete hapa tujadili.
Hapana mm si katika watu wa mambo hayo.Inawezekana kakuona una dalili za upinde,anapeleka picha kwa wajuzi waone kama ilipitamo,
Anyway,hii kama sio Chai basi ni tangazo la "Chakula"
Kuna watu haya mambo tukiwaambia wanaona ni masihara.Mimi niliwah ambiwa na mchepuko eti nina alama za kurogwa matakoni,
Wakat .mara nying nikiwa nae huwa nahis kama sisinzii,yeye ndo huwa anasinzia,eti alinifunua akaniangalia mim nimesinzia,yaan hili jambo huwa linanitafakarisha sana
Kama hii issue ni serious sio vichekesho basi unahitaji kuchukua hatua kali tena haraka ikibidi hata hatua za kisheria, sio kumuuliza tuKanipiga na mgogo na kichwani hivy najua kichwa changu na theluthi tatu ta uso wangu inaonekana
Ni kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
Kama alifunua mara moja akapiga picha 50haiwezekani afunuliwe mara 71 bila kushtuka hata mara moja
huu ni uongo
Oaaa mbona umenitagi nikiwa pamoja na huyo chogo..