Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

Nitumie picha nithaminishe
 
Hata kama kuna joto kiasi gani,vaa pensi wakati wa kulala,then chukua simu yake na uzifute zote na kagua simu yake zaidi sehemu yenye password yoyote mwambie afungue nako uangalie,uenda kuna picha mbaya zaidi,jihakikishie nako ufute,usisite kunipa mrejesho,nikupe madini mengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…