aliekatakamba humutuu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 341
- 714
kwani unalalaje mkuu?Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
mumeo yake yamepauka?Ni kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
🤣🤣🤣🤣Kama yanachekesha kumbe huzuniJana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
ILi nigundue nini 😂😂 kalio linatakiwa mpaka litoe unga ungaNi kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
Ushauri wako muhimu sana kwang😭Dunia ina vitu na vituko hiki kikiwa kimojawapo
Kwamba amenipiga kwasababu alitaka ajue kama yamekauka au? Mbona hakuniambiaNi kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
Aibu aibuNenda Dawati la Jinsia lililo karibu nawe
Si ndio hapo sasaTuyapendezeshe ili iweje?
Sijakuelewa vzrDaaa sema sio mbaya mkeo anajaribu kutafuta soko ili mtoke kwenye nyumba ya kupanga
Aaaah! tupake ili nani ayaone? Wavaa nusu utupu ndo wanatakiwa kupaka
Hapana ndugu yangu ashiriki na wala hajawaiMkeo anashiriki mapenzi kinyume na maumbile.
Ni mwanamke tena mrembo hasa chombo ya pwaniUna uhakika huyo mkeo ni mwanamke?
Sijamuuliza kabsa ila leo sijatoa mwatumiz nimemwabia sina pesa kwa hasira🤣 🤣 🤣 🤣 aloo ulalaji gani uo adi ufunuliwe hustuki. Pole sana, mkalishe kwa busara umuulize lengo hasa za picha za kufedhehesha hivyo lilikuwa ni lipi?