Mke wangu amepewa taarifa zangu na mtandao wa simu. Kisheria imekaaje?

Mke wangu amepewa taarifa zangu na mtandao wa simu. Kisheria imekaaje?

Kuna vitoto vimesoma IT havina ajira hizo program za spy ndio dili zao.

Hakuna cha Tcra hapo.
Kwa hiyo service providers wa bongo hawana security nzuri kwa wateja wao?
 
Hapo mzee baba una hela, tena mpange wife atatoa ushahidi ,lkn hata asipotoa kuwa na hiyo doc, hiyo kampuni wameuvaa tayari
 
Ukitaka kukomesha hiyo tabia nenda TCRA ukawaeleze. Nakwambia utampata mpaka aliyemprintia hizo docs. Na usikute unachapiwa sasa anaona akuchunge wewe usiwe kama yeye
Hapa ndo kuna hoja ya msingi. Anachapiwa!
Hivi tuwaambieje watu waachane na kuoa oa!
 
Ethics kitu gani bongo!
Dr anambaka mgonjwa sembuse print out!
BIla mwajiriwa kupata madhara ya kudumu hakuna wa kuogopa utaratibu.
 
nimechelewa kuona huu uzi
IKO HIVI,
MPAKA MTU AWEZE KUWA NA NYARAKA YA MAWASILANO YAKO, MAANA YAKE KUNA MFANYAKAZI AMABAYE SIO MWAMINIFU KAVUJISHA HIZO TAARIFA.
NA KWA UZOEFU WANGU, KUNA UHUSIANO MZURI KATI YA MKE NA MTOAJI TAARIFA.
TAARIFA ZA HIVYO ZINAPATIKANA KWA URAHISI KWA CUSTOMER CARE OPERATORS WA KAMPUNI ZA SIMU.

KWAMBA NAVUJISHA HIZO TAARIFA ZA MUME WA MTU, ILI NIJIWEKE VIZURI KWA MKE WAKE.

KUHUSU AUDIO/VOICE CLIP.
HAKUNA MWENYE UWEZO WA KUPATA HIZO AUDIO, NARUDIA HAKUNA. HAKUNA SERVERS ZENYE UWEZO WA KUWEKA VOICE ZA WATU MAMILIONI. HAKUNA
VOICE CLIP ZINATUMIKA ZAIDI KWENYE ISSUES ZA KIUSALAMA.
 
Kama unatumia Android kuna uwezekano amekudukua. Nenda Setting Permission Manager kitu kama angalia Application usioijua hafu umeipa access ya SMS Call Log etc.
 
Bado ni ngumu kutoa taarifa za mteja kwa mtu mwingine. Hili jambo labda tulirudishe jukwaa la Technology tujirizishe kuwa taarifa zake zimetolewa na kampuni ya simu bila ridhaa yake.
We jamaa aisee usiseme hivyo nimeona vyakuona nimefanya vyakufanya nakumbuka mara ya mwisho kuna jamaa alitaka kumchinja mkewe mbeya ndio nikaacha michezo michafu ila bro acha kabisa wabongo njaa kali ukimpa hela kidogo tu anasanua vizuri tu...
 
Trust me
Mna chance kubwa sana ya kutatua matatizo yenu mkiwa wawili kuliko kuhusisha watu
ndoa ni ya watu wawili.. kama kuongeza watatu awe Mungu kama yupo kati kati ya ndoa bado..

Boss na njaaa nitoe hata maji moto
 
Back
Top Bottom