Mke wangu amepewa taarifa zangu na mtandao wa simu. Kisheria imekaaje?

Mke wangu amepewa taarifa zangu na mtandao wa simu. Kisheria imekaaje?

Inawezekana. Naitoaje hiyo kama ni kweli

Mzee baba mimi ni mvivu kuandika...ila google how to get rid of spyware or stalkerware from android/ios phones...

Kama unaona ni kazi kusoma, basi backup your data and then factory reset simu au la hasha kama una simu nyingine achana na hiyo unatumia sasa...
 
Hapo walipo sasa hivi hawaaminiani😅😅
I hope so,inaonyesha Mume sasa hivi hamuamini tena Mkewe na Mke alikua hamuamini kabisa Mumewe ila baada ya kuhakikishiwa kua Mumewe alikua mkoani na sio Dar,huenda akapata unafuu nakubadilika But ikifikia stage ya Mume kusababisha mke kwenda Jela basi hakutakua na maana tena ya kuishi kama Mke na Mume,pia itavuruga mpaka maelewano ya familia zao na haitaleta picha nzuri kwa watoto wao wakija kukua na kujua hiyo habari,kama wana watoto.
 
Akitaka kufanya hivyo basi awe tayari kumpoteza Mkewe coz nae ataunganishwa kwenye hiyo kesi.
Mke alishakua tayari kumpoteza mume kutambo tu, ndiyo maana anafanya jitihada za kutafuta kila namna ya kutemana naye.
Akilazimisha matokeo yake mtakua wa kwanza ku post humu nyuzi za "mke amfanyi hivi au vile mume wake" na watu mtaanza ku comment "jamaa alizingua, pale alipoona hivi tu alitakuwa ampige chini maana hawasomeki". Mtamlaumu na kusema magonjwa ya akili yanazidi kukua.
kama itapelekea kuachana basi ni bora aachane naye huku akiambulia faida ambayo wanaweza kugawana pia
 
Mzee baba mimi ni mvivu kuandika...ila google how to get rid of spyware or stalkerware from android/ios phones...

Kama unaona ni kazi kusoma, basi backup your data and then factory reset simu au la hasha kama una simu nyingine achana na hiyo unatumia sasa...
Noted. Thanks
 
I hope so,inaonyesha Mume sasa hivi hamuamini tena Mkewe na Mke alikua hamuamini kabisa Mumewe ila baada ya kuhakikishiwa kua Mumewe alikua mkoani na sio Dar,huenda akapata unafuu nakubadilika But ikifikia stage ya Mume kusababisha mke kwenda Jela basi hakutakua na maana tena ya kuishi kama Mke na Mume,pia itavuruga mpaka maelewano ya familia zao na haitaleta picha nzuri kwa watoto wao wakija kukua na kujua hiyo habari,kama wana watoto.
Kabisa chifu
 
Wakuu!

Wiki 2 zilizopita nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa kazi ya siku 5. Siku moja kabla ya kurudi nyumbani nikaongezewa kazi ya wiki moja nyingine.

Kimbembe kikawa kwa wife nyumbani hakunielewa. Kukatokea kupishana ila mm sikujali sana coz sikuichukulia serious sana na kweli nilikuwa mkoani kikazi. Yeye akawa anadai nipo hapahapa Dar kwa michepuko yangu.

Sasa jana nimerudi home toka mkoa nimekuta ana printout ya mawasiliano yangu yote ya kwenye simu. Kwa maana ya kwamba niliifuma karatasi inayoonyesha nimewasiliana nani, wakati gani, yupo wapi na mm nikiwa wapi. Na nilimpombana zaidi akadai ana uwezo wa kupata mpk voice clip zangu kwa ninaowasiiliana nao.

Japo ilimthibitishia ni kweli nilikuwa nimesafiri lkn imeniogopesha sana. Kwa stage hii aliyofikia huyu anaweza kunidukua chochote kile kwenye simu yangu.

Wataalam wa sheria naomba mnisaidie hii kisheria imekaaje, Je kwa kuwa yeye ni mke halali wa ndoa, ni haki yake kupewa hizo taarifa? Vp kama nikiamua kuishtaki hiyo kampuni mimi kama mteja wao je sheria itanibeba?

Sina nia ya kuprocess kesi yoyote lkn nataka tu kufahamu.

Majibu yenu tafadhali.
1, hapo ni kwamba mkeo ana mtu ndani ya hyo kampuni ya simu na wana uhusiano mzito sana sabab mhusika alifanya hayo akiwa tayar hata kuikosa kazi yake.

2,Huenda mkeo akawa na mawasiliano na askari kitengo cha cyber ambao wanauwezo wa kutrack no yoyote na kupata kuanzia mesage/calls

3, amekuwekae spyapp kwenye simu yako so anajua kila sm inayoingia na kutoka

mwisho
HATUA ALIYOFIKIA MKEO NI KWAMBA ANA BWANA NJE NA YUKO TAYARI MUACHANE
 
Atakuwa aliongea na mtu wa kitengo akamwezesha kidogo akamtolea hizo taarifa kinyume cha utaratibu. Ukiutaarifu mtandao mke wako ataitwa aeleze ni nani alimpa na huyo aliyempa anaweza kufukuzwa kazi na hata kushtakiwa kwa kuvujisha taarifa za mteja bila kufuata utaratibu.
 
Mke alishakua tayari kumpoteza mume kutambo tu, ndiyo maana anafanya jitihada za kutafuta kila namna ya kutemana naye.
Akilazimisha matokeo yake mtakua wa kwanza ku post humu nyuzi za "mke amfanyi hivi au vile mume wake" na watu mtaanza ku comment "jamaa alizingua, pale alipoona hivi tu alitakuwa ampige chini maana hawasomeki". Mtamlaumu na kusema magonjwa ya akili yanazidi kukua.
kama itapelekea kuachana basi ni bora aachane naye huku akiambulia faida ambayo wanaweza kugawana pia
[emoji2297]🥱🥱
 
Unaeza ishi na mtu kumbe ni mkuu wa kitengo cha usalama wa taifa[emoji81][emoji81][emoji81]
 
Inawezekana, mimi nikiwa second year simu yangu ilidukuliwa na demu wangu wa 3rd year tena akaniambia kabisa hata ubadilishe line ntakudukua labda uhame mtandao wa tigo. Ilibidi tuachane tu
Aiseee anakwambia hata ubadili line?
Binadamu wanafika mbali
 
Back
Top Bottom