Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado ni ngumu kutoa taarifa za mteja kwa mtu mwingine. Hili jambo labda tulirudishe jukwaa la Technology tujirizishe kuwa taarifa zake zimetolewa na kampuni ya simu bila ridhaa yake.Anawezekana ana mtu kwenye kampuni...
Trust me. Watu wanafanya mambo unayoyaona hayawezekani
SahihiTrust me
Mna chance kubwa sana ya kutatua matatizo yenu mkiwa wawili kuliko kuhusisha watu
Uchinga?Wahenga walisema usimuwekee mtego wa kumfumania kama huna uwezo wa kumuacha.
Kuchunguzana mambo ya simu kwa wapenzi au wanandoa ni ucccchinga na ushamba, kama mtu unaona humuamini si umuache kuliko kuforce maugomvi yasiyo na masingi.
Mchunguze mwenendo wake pengine umeoa JINI.Wakuu!
Wiki 2 zilizopita nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa kazi ya siku 5. Siku moja kabla ya kurudi nyumbani nikaongezewa kazi ya wiki moja nyingine.
Kimbembe kikawa kwa wife nyumbani hakunielewa. Kukatokea kupishana ila mm sikujali sana coz sikuichukulia serious sana na kweli nilikuwa mkoani kikazi. Yeye akawa anadai nipo hapahapa Dar kwa michepuko yangu.
Sasa jana nimerudi home toka mkoa nimekuta ana printout ya mawasiliano yangu yote ya kwenye simu. Kwa maana ya kwamba niliifuma karatasi inayoonyesha nimewasiliana nani, wakati gani, yupo wapi na mm nikiwa wapi. Na nilimpombana zaidi akadai ana uwezo wa kupata mpk voice clip zangu kwa ninaowasiiliana nao.
Japo ilimthibitishia ni kweli nilikuwa nimesafiri lkn imeniogopesha sana. Kwa stage hii aliyofikia huyu anaweza kunidukua chochote kile kwenye simu yangu.
Wataalam wa sheria naomba mnisaidie hii kisheria imekaaje, Je kwa kuwa yeye ni mke halali wa ndoa, ni haki yake kupewa hizo taarifa? Vp kama nikiamua kuishtaki hiyo kampuni mm kama mteja wao je sheria itanibeba?
Sina nia ya kuprocess kesi yoyote lkn nataka tuu kufahamu.
Majibu yenu tafadhali.
Ni rahisi kama mtu anayefanya huko unafahamiana nae ila ni kosa kisheriaBado ni ngumu kutoa taarifa za mteja kwa mtu mwingine. Hili jambo labda tulirudishe jukwaa la Technology tujirizishe kuwa taarifa zake zimetolewa na kampuni ya simu bila ridhaa yake.
NdioUchinga?
Tatizo watu wanachukulia hii mitandao poa.Kama mtu anaweza akadukua mawasiliano mpaka kuprint kizembe hivi basi ni hatari hii.
Utajiri huo binamu pambana na hiyo kampuni ya simu, hii kama ni kweli lakini najua mimi ni ngumu sana kupata printout kirahisi bila kuwasiliana na Afande Swila.Wakuu!
Wiki 2 zilizopita nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa kazi ya siku 5. Siku moja kabla ya kurudi nyumbani nikaongezewa kazi ya wiki moja nyingine.
Kimbembe kikawa kwa wife nyumbani hakunielewa. Kukatokea kupishana ila mm sikujali sana coz sikuichukulia serious sana na kweli nilikuwa mkoani kikazi. Yeye akawa anadai nipo hapahapa Dar kwa michepuko yangu.
Sasa jana nimerudi home toka mkoa nimekuta ana printout ya mawasiliano yangu yote ya kwenye simu. Kwa maana ya kwamba niliifuma karatasi inayoonyesha nimewasiliana nani, wakati gani, yupo wapi na mm nikiwa wapi. Na nilimpombana zaidi akadai ana uwezo wa kupata mpk voice clip zangu kwa ninaowasiiliana nao.
Japo ilimthibitishia ni kweli nilikuwa nimesafiri lkn imeniogopesha sana. Kwa stage hii aliyofikia huyu anaweza kunidukua chochote kile kwenye simu yangu.
Wataalam wa sheria naomba mnisaidie hii kisheria imekaaje, Je kwa kuwa yeye ni mke halali wa ndoa, ni haki yake kupewa hizo taarifa? Vp kama nikiamua kuishtaki hiyo kampuni mm kama mteja wao je sheria itanibeba?
Sina nia ya kuprocess kesi yoyote lkn nataka tuu kufahamu.
Majibu yenu tafadhali.
ukiwa na 'rafiki ndani' hakuna mlolongo hata kiduchuIli upate meseji yahitaji uwe senior sana, maana ina mlolongo hadi ufanikiwe pata hizo sms
Ndiyo kama anatumia smartphone na mke ana access na hiyo simu ni rahisi kudukua na usalama/uangalizi wa simcard pamoja na simu ni mteja si kampuni ya simu.Simu yako imewekewa spyware...usisingizie mitandao ya simu utaangukia pua
Kuna uwezekano mkubwa.Simu yako imewekewa spyware...usisingizie mitandao ya simu utaangukia pua
Alete Pesa Ya Uchakavu Tumfanyie Kazi ChapDocument husika unayo mkononi??
Ni kweli. Alitaka kujiridhisha kama kweli nilijuwa safari na kupitia hizo printout amethibitisha nilisafiri. Sasa mm ameshanitia hofu sijuzoea kuchunguzwa hivi. Hapa nakusanya nondo iki nimchemshe kidoggo asirudie tena. Nina uwezo wa kumbana mpka kunitajia walimomsaidia.Wahenga walisema usimuwekee mtego wa kumfumania kama huna uwezo wa kumuacha.
Kuchunguzana mambo ya simu kwa wapenzi au wanandoa ni ucccchinga na ushamba, kama mtu unaona humuamini si umuache kuliko kuforce maugomvi yasiyo na masingi.