dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
sema su, nitume doc hapabado sio rahisi mkuu hata kama kuna mtu unamfahamu..... ni ngumu kuliko tunavowaza...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sema su, nitume doc hapabado sio rahisi mkuu hata kama kuna mtu unamfahamu..... ni ngumu kuliko tunavowaza...
Kama unajiamini kua wewe ni msafi,sasa wasiwasi wako ni nini?Ni kweli. Alitaka kujiridhisha kama kweli nilijuwa safari na kupitia hizo printout amethibitisha nilisafiri. Sasa mm ameshanitia hofu sijuzoea kuchunguzwa hivi. Hapa nakusanya nondo iki nimchemshe kidoggo asirudie tena. Nina uwezo wa kumbana mpka kunitajia walimomsaidia.
Huyo kaenda kwa Hackers sio mtandao wa simu mzeeWakuu!
Wiki 2 zilizopita nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa kazi ya siku 5. Siku moja kabla ya kurudi nyumbani nikaongezewa kazi ya wiki moja nyingine.
Kimbembe kikawa kwa wife nyumbani hakunielewa. Kukatokea kupishana ila mm sikujali sana coz sikuichukulia serious sana na kweli nilikuwa mkoani kikazi. Yeye akawa anadai nipo hapahapa Dar kwa michepuko yangu.
Sasa jana nimerudi home toka mkoa nimekuta ana printout ya mawasiliano yangu yote ya kwenye simu. Kwa maana ya kwamba niliifuma karatasi inayoonyesha nimewasiliana nani, wakati gani, yupo wapi na mm nikiwa wapi. Na nilimpombana zaidi akadai ana uwezo wa kupata mpk voice clip zangu kwa ninaowasiiliana nao.
Japo ilimthibitishia ni kweli nilikuwa nimesafiri lkn imeniogopesha sana. Kwa stage hii aliyofikia huyu anaweza kunidukua chochote kile kwenye simu yangu.
Wataalam wa sheria naomba mnisaidie hii kisheria imekaaje, Je kwa kuwa yeye ni mke halali wa ndoa, ni haki yake kupewa hizo taarifa? Vp kama nikiamua kuishtaki hiyo kampuni mimi kama mteja wao je sheria itanibeba?
Sina nia ya kuprocess kesi yoyote lkn nataka tu kufahamu.
Majibu yenu tafadhali.
Mshtaki ulipwe pesa, fursa hiyoOk. Ila nimemsamehe wife ila nataka niwe na full information za kisheria ili nimtishe tishe kidogo
Yaani mawasiliano yake yamedukuliwa halafu unataka ajinyenyekeze kuongea kiurafiki kama vile yeye ndiye mkosaji?Mkianza kutumia sheria za mahakamani...na kuendeleea kudokoa dokoa simu
Dah hiyo combination hapo inazaa uadui wa kutosha.
Msifikie mbali sana kuchunguzana na kuhukumiana.
Usitumie sheria.
Kaa nae ndoa ikishaingiza zaidi ya mtu mmoja
Sio ndoa tena ni kikundi.
Ongea nae.
Utatia doa ndoa yako.yeye kashakosea ila wewe ukienda kisheria atakua kasawazisha...means itakua ndo mwanzo wa kupelekana mahakamani mpaka uzikwe wap itaamuliwa mahakamani.
Speaking from experience....ongea nae kwa urafiki zaidi usitumie sheria.
Ila kama hakuamini kwa kiwango hicho mzee
Mpo kipindi kigumu sana.
Muombe Mungu...usizid kufungua zaidi milango ya kuingiza shetani katika familia yako.
Ila muonye kwa maneno
Basi cheki na wakili kama sio story tuIpo mzee baba
Ujue hata mkewe ataunganishwa kwenye hiyo kesi na anaweza kwenda Jela.Mshtaki ulipwe pesa, fursa hiyo
Akitaka kufanya hivyo basi awe tayari kumpoteza Mkewe coz nae ataunganishwa kwenye hiyo kesi.Yaani mawasiliano yake yamedukuliwa halafu unataka ajinyenyekeze kuongea kiurafiki kama vile yeye ndiye mkosaji?
What if aliyempatia hayo mawasiliano mke wake ni mchepuko wa mke wake? Kwa hiyo ajinyenyekeze ili kumlinda mchepuko wa mke wake?
Hapo swala ni moja tu, kutafuta mwanasheria ampatie hiyo document kwa nia ya kufungua kesi ya kudai fidia.
Wakili wake ndiye ata follow up na mengine yatajulikana mbele ya safari.
Najua. Aende jela pesa ipatikane😀Ujue hata mkewe ataunganishwa kwenye hiyo kesi na anaweza kwenda Jela.
Na ndoa itaRest in peaceUjue hata mkewe ataunganishwa kwenye hiyo kesi na anaweza kwenda Jela.
Ndiooo, halafu sidhani kama atafungwa muda mrefu. Akitoka maisha yanaendeleaHahaaa pesa mbereee
Yani atoke Jela kisha arudi kwa mumewe tena?Ndiooo, halafu sidhani kama atafungwa muda mrefu. Akitoka maisha yanaendelea
Tatizo liko wapi?Yani atoke Jela kisha arudi kwa mumewe tena?