Mke wangu amepewa taarifa zangu na mtandao wa simu. Kisheria imekaaje?

Mke wangu amepewa taarifa zangu na mtandao wa simu. Kisheria imekaaje?

Wakuu!

Wiki 2 zilizopita nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa kazi ya siku 5. Siku moja kabla ya kurudi nyumbani nikaongezewa kazi ya wiki moja nyingine.

Kimbembe kikawa kwa wife nyumbani hakunielewa. Kukatokea kupishana ila mm sikujali sana coz sikuichukulia serious sana na kweli nilikuwa mkoani kikazi. Yeye akawa anadai nipo hapahapa Dar kwa michepuko yangu.

Sasa jana nimerudi home toka mkoa nimekuta ana printout ya mawasiliano yangu yote ya kwenye simu. Kwa maana ya kwamba niliifuma karatasi inayoonyesha nimewasiliana nani, wakati gani, yupo wapi na mm nikiwa wapi. Na nilimpombana zaidi akadai ana uwezo wa kupata mpk voice clip zangu kwa ninaowasiiliana nao.

Japo ilimthibitishia ni kweli nilikuwa nimesafiri lkn imeniogopesha sana. Kwa stage hii aliyofikia huyu anaweza kunidukua chochote kile kwenye simu yangu.

Wataalam wa sheria naomba mnisaidie hii kisheria imekaaje, Je kwa kuwa yeye ni mke halali wa ndoa, ni haki yake kupewa hizo taarifa? Vp kama nikiamua kuishtaki hiyo kampuni mimi kama mteja wao je sheria itanibeba?

Sina nia ya kuprocess kesi yoyote lkn nataka tu kufahamu.

Majibu yenu tafadhali.
Kafungue kesi aliyempatia print out atajulikana tuu
 
Sina nia ya kuprocess kesi yoyote lkn nataka tu kufahamu.
Ah ah ka-procces kesi ili ulipwe na kampuni na huyo aliyempa taarifa atiwe njaa ujipoze na machungu maana inaonekana humo ndani ya kampuni kuna bwana wa mkeo anayetaka kukuvurugia ili mkeo apate nafasi ya kukuacha yeye ale nae maisha.
 
Wakuu!

Wiki 2 zilizopita nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa kazi ya siku 5. Siku moja kabla ya kurudi nyumbani nikaongezewa kazi ya wiki moja nyingine.

Kimbembe kikawa kwa wife nyumbani hakunielewa. Kukatokea kupishana ila mm sikujali sana coz sikuichukulia serious sana na kweli nilikuwa mkoani kikazi. Yeye akawa anadai nipo hapahapa Dar kwa michepuko yangu.

Sasa jana nimerudi home toka mkoa nimekuta ana printout ya mawasiliano yangu yote ya kwenye simu. Kwa maana ya kwamba niliifuma karatasi inayoonyesha nimewasiliana nani, wakati gani, yupo wapi na mm nikiwa wapi. Na nilimpombana zaidi akadai ana uwezo wa kupata mpaka voice clip zangu kwa ninaowasiiliana nao.

Japo ilimthibitishia ni kweli nilikuwa nimesafiri lakini imeniogopesha sana. Kwa stage hii aliyofikia huyu anaweza kunidukua chochote kile kwenye simu yangu.

Wataalam wa sheria naomba mnisaidie hii kisheria imekaaje, Je kwa kuwa yeye ni mke halali wa ndoa, ni haki yake kupewa hizo taarifa? Vp kama nikiamua kuishtaki hiyo kampuni mimi kama mteja wao je sheria itanibeba?

Sina nia ya kuprocess kesi yoyote lkn nataka tu kufahamu.

Majibu yenu tafadhali.
Huyo ana shoga yake customer care
 
Ndiyo kama anatumia smartphone na mke ana access na hiyo simu ni rahisi kudukua na usalama/uangalizi wa simcard pamoja na simu ni mteja si kampuni ya simu.
Au itakua mkewe aliinstal trojan horse kwenye simu yake bila kujua😄
 
Wakuu!

Wiki 2 zilizopita nilisafiri kikazi kwenda mkoani kwa kazi ya siku 5. Siku moja kabla ya kurudi nyumbani nikaongezewa kazi ya wiki moja nyingine.

Kimbembe kikawa kwa wife nyumbani hakunielewa. Kukatokea kupishana ila mm sikujali sana coz sikuichukulia serious sana na kweli nilikuwa mkoani kikazi. Yeye akawa anadai nipo hapahapa Dar kwa michepuko yangu.

Sasa jana nimerudi home toka mkoa nimekuta ana printout ya mawasiliano yangu yote ya kwenye simu. Kwa maana ya kwamba niliifuma karatasi inayoonyesha nimewasiliana nani, wakati gani, yupo wapi na mm nikiwa wapi. Na nilimpombana zaidi akadai ana uwezo wa kupata mpaka voice clip zangu kwa ninaowasiiliana nao.

Japo ilimthibitishia ni kweli nilikuwa nimesafiri lakini imeniogopesha sana. Kwa stage hii aliyofikia huyu anaweza kunidukua chochote kile kwenye simu yangu.

Wataalam wa sheria naomba mnisaidie hii kisheria imekaaje, Je kwa kuwa yeye ni mke halali wa ndoa, ni haki yake kupewa hizo taarifa? Vp kama nikiamua kuishtaki hiyo kampuni mimi kama mteja wao je sheria itanibeba?

Sina nia ya kuprocess kesi yoyote lkn nataka tu kufahamu.

Majibu yenu tafadhali.
Hana haki kisheria,iwe ni hiyo kampuni iliyovujisha taarifa zako, au iwe ni yeye mwenyewe kafanya udukuzi.Na kama ukifungua mashtaka lazima wakutwe na hatia...
 
Inawezekana. Naitoaje hiyo kama ni kweli
Kama ujuavyo kuna mtambo wa pegasus wa israel, mahali, ulitumika sana enzi za chuma,, pengine kuna njema inafanya huko, inampa feedback😁
 
Ukiwa mjanja hiyo print out unapata Tena siku Moja tu inategemea umeenda na sababu Gani!.
Mimi nimewahi kujaribu hayo.
 
Opinion yangu Kama CPA (T) Mimi sio lawyer
-hapo Kuna uvunjifu wa sheria ya Electronic and postal communication act(epoca) kwa sababu kitendo cha kutoa taarifa zako ni kosa, hiyo ni unlawful interception of communication, Ili iwe lawful inatakiwa kuwe na kibali cha mkurugenzi wa mashtaka (Dpp)
  • Sheria ya usalama wa taifa na ujasusi i.e Tanzania intelligence and security services act inaruhusu kufanya interception ya Mawasiliano ya mtu Kama mtu huyo ni hatari kwa usalama wa taifa, subject to kibali cha mkurugenzi Mkuu wa usalama wa taifa
  • Sheria ya Kuzuia ugaidi nayo pia imeruhusu kuingilia Mawasiliano ya mtu lakini lazima kuwe na kibali cha mwanasheria mkuu wa serikali
  • Bottom line, Kama Mawasiliano yako yameingiliwa kinyume Cha sheria Hilo ni kosa kubwa sana, kuonyesha maudhui ya Mawasiliano bila kibali ni kosa.
 
Dawa ni kuacha umalaya. Japo alichofanya mkeo ni kosa, lakini imetokana na ishu za umalaya na kutoaminiana.
 
Ukitaka kukomesha hiyo tabia nenda TCRA ukawaeleze. Nakwambia utampata mpaka aliyemprintia hizo docs. Na usikute unachapiwa sasa anaona akuchunge wewe usiwe kama yeye
Kuna vitoto vimesoma IT havina ajira hizo program za spy ndio dili zao.

Hakuna cha Tcra hapo.
 
Back
Top Bottom