Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Hivi humu hamna I'd inayoanza na ALEX?,[emoji848]
 
Hahahahha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nasubir mrejesho wa jion

#DONE
 
inawezekana umeskia vibaya au umeskia ulichotaka kuskia sababu kuna vitu vilishakupa hint

Jf siku hizi chai nyingi...ni kunywa tu na kwenda kususu mbele ya safari!!!!

pole sana bro,pigs moyo konde okoa ndoa,mtazame tofauti now mkeo,nn anakosa from u.

Washamaliza.

NDOA kama NDOA.

#YNWA
 
Wakat unamtia alikuwa anavuta picha anatiwa na alex, (seems huwa wanatiana) bahat mbaya akamtaja pasipo kuwa na control yake
 
Cha Kusikitisha sana ALEX hana maisha yanii[emoji27][emoji27][emoji27][emoji27] Mkeo anatakiwa arudi kwao asubiri kupata mwanamme mwingine wa maana..!! Wanawake akili zao sijui zikoje anachepuka na mwanaume wa ovyoo...
Hapo ukute Alex alipewa usichopewa, naekampa usichompa. Ukisamehe na huo mtaa uhame kabisa sababu maji hayasahau baridi. Ukisafiri tuu jamaa anaingia mzigoni
 
Yaani mwanamke akishachepuka usiwah kumsamehe kaka. Ukiwaza kumsamehe ww kumbuka kuna mda ilitoka bahati mbaya...akaichukua yeye mwenyew akairudisha ndani halaf kasogea kwa chini ili isitoketoke[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Huwez msamehe!
Nakubali mkulungwa ukweli usemwe
 
wivu na wasiwasi ndo unakusumbua

ni vp kama alisema ‘aisss’ na siyo alex??

au kwa kuwa alex anapita na wake za watu hapo mtaani

wanaume mnaongoza kwa kutokujiamini
 
mkewangu kanitumia sms nying sana za kuomba msamaha nimepiga kmya,sauti ya kumtaja alex niliisikia kwa umakini mno ,
Ushauri wangu Kama anakuomba msamaha fanya Jambo moja tu ili umsamehe akuambie ukweli wote then msamehe ila akikudanganya achana nae maana anakuzuga,, kwa imani yangu akiweza kukuambia ukweli maana yake amekiri kosa na analijutia hawezi rudia lakini akikudanganya tafsuri yake ni kwamba anakupoteza ili aendelee kukusaliti
 
Alex Kamgongaaa tena siku za karibuni tuu...!! Yani hakuna namna Mwanamke au mwanaume anaweza mtaja Mtu mwingine wakati mnatiana na Hawajagongana.. HAIPOO...HAIPOO

ALEX KAMT....BA MKEO.
Usikute Alex amekula kimasikhara kabisa na kashatoa story kwenye uzi wetu pendwa
 
Mi naona hapo tarizo siyo alex kumega mkeo. Tatizo ni elex kujulikana kwa tabia ya kula wake za watu. Kwanini usiashumu tu wife alitaja jesus ukasikia vibaya ili uupe amani ya uongo moyo wako ndugu
...inawezekana alitaja neno lingine na kwa kuwa wewe uliishasikia Alex anakula wake za Watu ukahisi kama Mkeo ameita Alex, kumbe la !
 
Atakua yule kocha wa man u babu alex,mkeo ni shabiki wa man u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…